uber

  1. A

    Dereva wa uber / bolt

    Habari naitwa hussein n dereva wa uber /bolt natafut gari ya kazi iwe hesabu au mkataba na uzoef miak 3 sas kam uko nay nichek 0689588127
  2. M

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta kazi

    Habari, mimi ni kijana wa kitanzania na mkazi wa daresalaam tabata, nipo mbele yenu natafuta gari kwa ajili ya biashara ya uber na bolt nipo tayari kwa mkataba au hesabu. Mawasiliano; 0622570507, 0657715052 au email me mdullanicholous@yahoo.com, mdullanick8@gmail.com Asanteni
  3. MTAU JR

    Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

    Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya Uber na Bolt. Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa...
  4. Daktari wa Manchester

    Uber facts thread

    Habari za mda huu .. twende Uber facts thread 'Harvard University is older than the United States' 'Denmark and New Zealand are jointly ranked as the least corrupt countries in the world' 'About 8.9% of the world's population — 690 million people — go to bed hungry every night' 'Smoking...
  5. Ernestcuthbert

    Dereva Wa uber na Bolt natafuta kazi

    Habari za muda naitwa Ernest mimi ni Dereva wa uber na Bolt Kama awali hapo mimi ni dereva wa Uber natafuta Gari ya hesabu au mkataba nina leseni class C3 na vigezo vyote vya kuendesha gari za Uber ikiwa plate number njano au nyeupe haina shida. Also apart from Uber, pia natafuta nafasi ya...
  6. mohamed habibu

    Natafuta gari ya kufanyia kazi ya Uber na kuleta hesabu

    Natafuta gari ya kufanyia kazi na kupeleka hesabu kwa boss. Iwe ya biashara account ninayo ya Uber pamoja na Bolt Leseni ninayo iko active Tutaandikiashiana kwa mjumbe ili uaminifu uwepo Barua ya utambulisho serikali za mitaa nitaambatanisha Yeyote mwenye gari yake naomba tuwasiliane...
  7. ommytk

    Nina milioni 5 nataka ninunue IST niifanye Uber

    Hali kwasasa changamoto kidogo sasa nina kihela changu kama milioni 5 hivi sijui ninunue ist nifanye uber niendeshe mwenyewe sijui itanilipa
  8. F

    Dereva wa uber na bolt nahitaji gari

    Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712 Gari iwe sienta...
  9. P

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari

    Mimi ni dereva wa uber natafuta gari kwa shuguli za kazi ya Uber ni kila kitu vinavyoitajika kama dereva wa Uber namba yangu ni 0684186585, 0766090933
  10. cpb

    Uber Jiji la dodoma

    Ninaomba kwa wale wanafanya biashara ya uber/ bolt au taxi mnisaidie mawazo nina gari yangu aina ya Raumu nataka nkafanye biashara hyo Jiji la Dodoma nipeni ushauri nini nifanye changamoto Ili nipate mwanga Nakaribisha mawazo yenu
  11. stevhinoz

    Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti Uber & Bolt

    Habari zenu, Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti ya uber na bolt. Nimejaribu kufanya mchakato wa kujiunga ila gari yangu imekosa baadhi ya vigezo haswa umri wa gari na ukubwa wa engine ila naona wenye gari kama yangu wengi wanazitumia kwenye hizi biashara so naamini inawezekana.. Kama...
  12. TURTEKING

    Dereva wa mtandaoni Uber/ Bolt natafuta gari ya mkataba au hesabu

    Mimi ni dereva wa mtandaoni - Uber/Bolt/InDrive na ping - natafuta gari ya mkataba au hesabu. Akaunti zote zipo active. uzoefu wa kutosha/uwaminifu mkubwa. Gari (IST/Raum/ )zitafaa zaidi sio lazima inaweza ikawa gari yoyote. Napatikana Dar es salaam/TEGETA. Mawasiliano 0656539177. Asanteni
  13. Y

    Maombi ya ajira kuendesha Uber\Bolt

    Habari zenu viongozi kwa jina naitwa Yasser Mikidadi natafuta kazi ya kuendesha Uber & Bolt pia nina leseni class c1,c2,c3 ni kijana muaminifu na ni mchapakazi. Kwa mawasiliano zaidi: 0623033336
  14. Abdul kalaam

    Biashara ya Uber, Bolt

    Habari wanajukwaa Mimi ni muajiriwa sehemu fulani, kutokana na changamoto za kazi nilitamani nijiajiri mwenyewe kupitia biashara ya udereva wa mtandao. Naombeni ushauri wenu juu ya hii biashara kama inalipa kwa kiasi gani na changamoto za biashara kiujumla. Asanteni
  15. Ene magari

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari la mkataba

    Kwa jina Naitwa Ernest ni dereva Uber na Bolt mwenye uzoefu katika kazii hii nina leseni yenye madaraja yote nilikuwa natafutaa Gari ya kazi iwe yenye private namba Au commercial kwa ajili ya kazi ' Kwa mawasailiano zaidi Ernest : +255628729873 Naomba ushirikiano wenu
  16. Askofug

    Natafuta kazi ya udereva, hasa Uber na Bolt

    Ninaitwa Eliah Gwamaka. elimu yangu ni diploma ya IT. Pia nina leseni yenye madaraja C1, C2, C3, E na D.nina uzoefu wa kufanya Bolt kwa zaidi ya mwaka mmoja. Napendelea mkataba hata kama gari sio mpya. Napatikana ukonga Banana Dar es Salaam. Namba yangu ya simu ni 0686 574164. Natanguliza...
  17. Marcel_10

    Nafasi ya kazi kwa Dereva wa Uber

    Habari ndugu Dereva wa Uber anatafutwa Awe na sifa zote za dereva wa Uber Awe msafi Mchapakazi Mwenye uzoefu Na mwenye nidhamu WhatsApp 0737480658
  18. instagram

    Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

    Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB. Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei...
  19. FRANCIS DA DON

    Napendekeza matumizi ya taxify na Uber kwenye kutuma na kupokea pesa; Je, inawezekana?

    Unaweka pesa kwenye bahasha, kisha unatumia application ya Taxify / Uber na kuita chombo cha usafiri kilichokaribu, kisha unamkabidhi mzigo ila humwambii kuna nini ndani na kumpa maelekezo ya wapi apeleke. Je, hii inawezakana?
  20. mkadiriajimajenzi

    Uber na Bolt zijifunze kutoka kwa Indriver

    Indriver ni app bora kuwahi kutokea katika teknolojia ya usafiri nchini Tanzania kwa sababu zifuatazo:- 1). Abiria anapendekeza bei ya safari kulingana na uwezo wa mfuko wake na Inatoa mwanya wa majadiliano ya bei na dereva mpaka kufikia muafaka. (Ukizingatia Wabongo kwa kupenda ku-burgain, hii...
Back
Top Bottom