ubunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Ukisoma 1 Timotheo 3: 1-10 utagundua kuwa kwa kugombea ubunge Dkt. Gwajima amepoteza sifa za uaskofu

    Hapa naongea kiimani zaidi na siyo kichama. Sifa kuu ya mtu atamaniye kuwa askofu ni lazima awe na KIASI. Kadhalika anapaswa kuwa ni mtu mpole, muafilifu, mwenye upendo, mwenye nidhamu, mume wa mke mmoja na asiyekuwa wa kulaumiwa. Haya yote yameelexwa katika kitabu cha Timotheo wa kwanza, sura...
  2. Sky Eclat

    Kipanya anatufafanulia sababu ya watu kuutaka ubunge kwa hali na mali

  3. M

    Mgombea Ubunge Chadema Jimbo la Bukene atishiwa kutekwa na kunyang'anywa Fomu

    Mgombea Ubunge wa Chadema Jimbo la Bukene Lumola Stephen Kahumbi amepokea taarifa za vitisho vya kutekwa na kunyang'anywa Fomu za Uteuzi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Katika taarifa yake kwa Umma Lumola amesema tayari ameshawasilisha taarifa hizo kwa Jeshi la Polisi ili zifanyiwe kazi. Lumola...
  4. Course Coordinator

    Uchaguzi 2020 CCM bado imekumbatia mfumo dume? Kati ya majimbo 200+ ni wanawake 14 tu ndo wamepenya kugombea Ubunge

    CCM ya Meko sio rafiki kwa akina mama . 1. Ummy 2. Gekul 3. Ndalichako 4. Stella Manyanya 5. Doroth Kilave 6. Jesca Msamvatavangu 7. Hamida 8. Salma Kikwete 9. Jenister 10. Leah Komanya 11.Tulia 12. Anne Kilango 13.Bonna Kamoli 14.Angelina Mabula Hakika inasikitisha CCM badilikeni. Wapeni akina...
  5. CUF Habari

    Mchungaji Lukere ajiunga na Chama Cha Wananchi (CUF) Kigoma Vijijini, akabidhiwa kadi na Mgombea Ubunge Kiza Mayeye

    MCHUNGAJI LUKERE AJIUNGA NA CHAMA CHA WANANCHI (CUF) KIGOMA VIJIJINI. HABARI Mchungaji lukere amejiunga wa chama Cha wananchi CUF katika kata ya kidahwe wilaya ya kigoma vijijini. Mchungaji lukere amejiunga na chama Cha CUF mapema Leo na kukabidhiwa kadi na makamu mwenyekiti wa juke taifa...
  6. M

    Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Wagombea Ubunge CCM ni tishio na funzo kubwa kwa Upinzani

    Siku ya Jana CCM ilitangaza majina ya Watu watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo yote, Bara na Visiwani, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu. Uteuzi huo unaweza kutazamwa kwa sura mbili, yaani sura ya kwanza kuwa ni tishio na ile pili...
  7. R

    Uchaguzi 2020 Balozi Adadi Rajabu tafuta chama (CHADEMA au ACT Wazalendo) uendelee na ubunge wako

    Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!
  8. J

    Uchaguzi 2020 Membe afurahishwa na uteuzi wa Wagombea Ubunge wa CCM, awakaribisha ACT-Wazalendo wale waliokatwa

    Mgombea urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amefurahishwa sana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa CCM na kuwapa pole wote waliokatwa kwa sababu walikuwa karibu naye. Membe amewakaribisha wale waliokatwa kujiunga na ACT-Wazalendo ili safari iendelee. Ameandika katika akaunti yake ya...
  9. Infantry Soldier

    Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Khamis Mwinjuma (Mwana FA) aliwahi kukiri kuwachukia baadhi ya watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama (Askari wa Jiji)

    Soma pia>>> Do African political activists actually fight for democratic change or they simply keep alive a well-known old saying that "It's Our Turn to Eat"? Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God...
  10. 7 ELEVEN

    Ombi: Serikali iwalipe mshahara watumishi waliotia nia Ubunge

    Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) na M/KITI wa Chama Cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli; Kwa heshima kabisa, ninakuomba uwakumbuke kuwalipa mishahara watumishi wa Umma ambao walijitoa kwa moyo mmoja kukipigania Chama Chetu – CCM huko majimboni kwa kujitokeza...
  11. Suley2019

    Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

    Dar es Salaam Jimbo la Kawe - Askofu Josephat Gwajima Jimbo la Temeke - Doris Kilave Tanga Jimbo la Muheza - Hamis Mwinjuma (Mwana FA) Mbeya Jimbo la Tunduma - David Silinde Manyara Jimbo la Babati Mjini - Pauline Gekul Kilimanjaro Jimbo la Vunjo - Charles Kimei Shinyanga Jimbo la...
  12. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

    Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kinakutana leo chini ya Mwenyekiti wake Rais Magufuli. Miongoni mwa agenda ni kupitisha majina ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Uwakilishi. Mkutano utarushwa mubashara na Channel ten, TBC na ITV Up dates; Wajumbe wa halmashauri kuu tayari wameanza kuingia...
  13. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge jimbo la Tabora Mjini kupitia CUF, Mirambo Camill akabidhiwa fomu ya uteuzi

    Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora Mjini Mhe. Mirambo Camill amekabidhiwa fomu ya uteuzi na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tabora Mjini mapema leo
  14. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Jimbo la Mchinga kupitia CUF, Hamidu Bobali akabidhiwa fomu ya uteuzi

    Mgombea Ubunge Jimbo la mchinga kupitia CUF, Mhe. Hamidu Bobali amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo mchinga
  15. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge jimbo la Ilala kupitia CUF, Rashid Mwinyishehe Kingwendu amekabidhiwa fomu ya uteuzi na msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ilala

    HABARI Mgombea Ubunge Jimbo la Ilala kupitia CUF, mhe. Rashid Mwinyishehe Ilala amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Ilala
  16. Doctor Mama Amon

    Swali kwa Joseph Magata: Padre Ildefonsi Katundu aliyegombea ubunge huko Bukoba alikuwa anatafuta jukwaa la kutetea haki za mashoga?

    Mwandishi anayejitambulisha kwa jina la Joseph Magata, amejenga hoja kadhaa kuhusu sakati ya Padre Ildefince Katundu wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera. Magata amefanya hivyo kupitia gazeti la Raia Mwema, ukurasa wa 10, kwenye toleo la 12-18 August 2020. Makala yake ina kichwa cha maneno Kanisa...
  17. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru Ali: Wote waliotia nia kugombea Ubunge wabaki kwenye Majimbo yao kusubiri majina yatakayopitishwa na Halmashauri Kuu

    KATIBU Mkuu wa CCM, Dkt. Ali Bashiru amewataka wote waliotia nia kugombea ubunge kubaki kwenye majimbo yao kusubiri majina yatakayopitishwa na Halmashauri Kuu ya chama hicho inayokaa Dodoma Agosti 20, 2020. Dkt. Bashiru amesema inabidi wabaki kwenye majimbo yao ili iwe rahisi kwa...
  18. B

    Uchaguzi 2020 Esther Bulaya achukua Fomu ya Bunge, afanyiwa sala na Viongozi wa Dini

    17 Agosti 2020 Bunda Mjini Tanzania ESTER BULAYA ALIVYOCHUKUA FOMU YA UBUNGE, MASHEHE, MAPADRI WAMPIGIA MAOMBI, SALA NA DUA KWA SAA NA NUSU Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Ester Bulaya akikabidhiwa fomu ya Kuwania ubunge wa jimbo hilo na Msimamizi wa Uchaguzi Janeth Mayanja ili...
  19. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Fedha CUF, Mhe. Zainab Mdolwa akabidhiwa fomu ya Ubunge na Msimamizi wa Uchaguzi Temeke

    #HABARI Mgombea Ubunge wa Jimbo la temeke kupitia CUF, mhe. Zainab Mdolwa amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Temeke.
Back
Top Bottom