uchaguzi chadema

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    Lissu anafanya mahojiano Clouds Media muda huu

    Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi . Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali. Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao. Narudia kusema, kuhojiana na...
  2. Replica

    Lissu: Mbowe aliitisha kikao nisitie nia ya kugombea uenyekiti, asema CHADEMA kimepoteza watu wa maana sababu ya 'kuatamia madaraka'

    Mgombea uenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema baada ya 'mastori ya town' kusambaa anataka kugombea uenyekiti aliitwa kwenye kikao na watu watatu wanaoheshimika kwenye jamii, anasema kwenye kikao hicho Mbowe alisema hatagombea uenyekiti lakini pia alimkatalia Lissu asigombee nafasi hiyo kitu...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

    Wakuu, Siku ya jana aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini kupitia akaunti yake ya X aliahidi kwamba siku ya leo Tarehe 14 January 2024 atakuwa anazungumza na wanahabari. Wengi wameshuku kuwa huenda Lema atazungumzia kuhusu Uchaguzi wa CHADEMA na kuainisha ni mgombea gani ya...
  4. chiembe

    LIssu alikuwa kiongozi wa Chama cha Wanasheria wa Mazingira (LEAT), kimekufa baada ya Lissu na Nshala kufanya ubadhirifu, ndio apewe CHADEMA?

    LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Nyanza ghorofa ya juu,. LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni...
  5. S

    Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wanaotarajiwa kumchagua Mwenyekiti wa chama Taifa, ni wenye sifa gani au ni kina nani hasa?

    Habari wadau! Ni vizuri watu wakaelewa ni kina nani hasa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA wana sifa za kushiriki kwenye huo mkutano wenye wajumbe wapatao 1,200(nilivyosikia). Binafsi nafahamu baadhi ya wajumbe ni kama vile wenyeviti na makatibu ngazi ya wilaya, mkoa na kanda pamoja na...
  6. Paulo

    Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

    Amani iwe kwenu Great thinkers Kwa kweli wote tumeona ushujaa uliooneshwa na Mbunge wa Chadema Arusha mjini katika kudai uchaguzi huru wa meya na naibu wake. Katika harakati hizo ilipelekea yeye kupigwa kionevu na polisi hadi kulazwa hospitali. Still hakukata tamaa, na akaanda maandamano...
  7. R

    Fikiri kwa kina kabla ya kuitisha press conference kama matamshi yako yatawaleta pamoja au yatawagawanya

    Lema kumbe naye ni hovyo! Unaona kuna mgawanyiko wa kukiua chama chako, bado unaita press conference to cut deep the line of disintegration already in place. Nilitegemea uje na kauli za "healing" the already vivid wounds of disintegration! LEMA, as a senior leader of chadema, a rationally...
  8. sifi leo

    Team Lissu tulieni dawa iingie, pole Freeman Mbowe unavuna ulichopanda

    Kwanza nianze kwa kudkrea interest Mimi ni mwachadema kindaki ndaki nilitejiunga na chama Cha demokrasia na MAENDELEO Mwaka 2011 nikiwa chuo kikuu Mwaka wa kwanza. Wakati tunajiunga tulikuwa vijana wengi, tusio pungua Saba wakiwemo wakina Lijualikari na wengine wengi ambao baadhi wameisha unga...
  9. Mindyou

    Pre GE2025 Afande Sele: Ushindi wa Mbowe ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA

    Wakuu, Uchaguzi wa CHADEMA nafasi ya Uenyekiti umezidi kupamba moto. Haya ni maneno ya Afande Sele ambaye ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za Bongo. Mbowe ajitafakari. Hiki ndicho alichoandika Afande Sele kupitia ukurasa wake wa Instagram: Baraza lote la vijana limeshikiliwa na watu...
  10. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Pesa za jana zilitoka wapi?, alizodakwa nazo mjumbe Uchaguzi wa BAVICHA

    Makamu Mwenyekiti CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye Kikao amehoji; "Wananisema kuwa sina Pesa, siwezi kuendesha Chama, hebu watueleze pesa za Jana usiku zilitoka kwa nani? Tumeshuhudia vitendo vya rushwa kwenye Uchaguzi wa BAVICHA" Soma, Pia: • Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa...
  11. Dialogist

    Busara zangu kwa Freeman Mbowe, kubali tu, huna ushawishi tena

    Wanandugu Habarini... Nimekaa na kutafakari kama mtu mzima, na nikiwa safarini kuelekea pale makao makuu ya nchi, na kwa kuzingatia mahusiano yangu ya mbali na huyu Bwana, nimeona ni heri nami niandike neno. Bwana Mbowe, natambua kuna mijadala mingi sana inaendelea kwenye mitandao ya kijamii...
  12. D

    Mtazamo wangu wa CHADEMA baada ya uchaguzi

    Kwa mtazamo wangu upepo ulivyo Mbowe ana nafasi ndogo ya kushinda na kama kweli anatembeza pesa na kukafanyika janja janja akashinda basi chama kitapasuka vipande vipande. Pia haijalishi nani atashinda, kwa jinsi mambo yalivyo bado kutakuwa na mpasuko maana watu watabaki na vinyongo na wengine...
  13. MamaSamia2025

    Ni bidhaa gani inaweza kuuza sana ukitumia jina la Tundu Lissu?

    Wakuu kwa jicho la kibiashara jina la Lissu ni brand inayoweza kuuza kwa hapa bongo. Unadhani ni bidhaa gani inaweza ku-fit hilo jina na kufanya vyema sokoni? Binafsi nimefikiria pombe kali na energy drinks. Pia mashine, mabati, nondo na bidhaa zingine jamii ya chuma
  14. mtetezi wa MAGU

    Pre GE2025 Lissu ukishashinda uchaguzi wa uenyekiti, tuombe radhi kwa kumtukana Hayati Magufuli tukupe nchi

    Hatuna shaka na uzalendo wa Lisu wala misimamo yake katika kukataa Rushwa, chama kikiwa mikononi mwake ukombozi wa kweli wa Taifa utapatikana. Magufuli alitenda Mengi Mazuri lakini kama ilivyokawaida ya binadamu hakuna aliyekamilika mazui yalikuwa mengi kuliko Madhaifu, Lissu mara baada ya...
  15. Lord denning

    Baada ya Lissu kuwa Mwenyekiti Chadema tujiandae kuwaona tena Wabobezi wa Sheria kina Andrew Chenge na wengine wakirudishwa CCM

    Inahitaji kuwa na akili kubwa sana ili uweze kupambana ki hoja na Tundu Antipass Lissu. Naziona siasa za Tanzania zikibadilika sana kuelekea kupata Tanzania yenye Katiba Bora kabisa upinzani ukiongozwa na Tundu Antipas Lissu Naona kurejea pia kwa watu wanaojua Sheria katika Chama cha Mapinduzi...
  16. Rozela

    Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

    Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama. Bimkubwa usalama wako ni...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Lissu akishinda tunatarajia CCM italazimika kuibua akiba yake ya makada wenye akili. Machawa nafasi yao inaweza kuwa hatarini

    Tupo salama wote! Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia. Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye...
  18. Waufukweni

    Pre GE2025 CHADEMA Mbeya: Mkituletea Mbowe Chama kinakufa

    Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoani Mbeya wamewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho watakaoshiriki uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya Taifa kumchagua Tundu Lissu ili aweze kushika wadhifa huo. Wakizugumza katika mkutano na...
  19. Waufukweni

    Shangwe la CHADEMA Arusha wakifurahia ushindi wa Deogratius Mahinyila kama Mwenyekiti MPYA wa BAVICHA Taifa

    Shangwe la WanaCHADEMA kutoka soko kuu Arusha wakifurahia ushindi wa Wakili Deogratius Mahinyila kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa. Soma: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) CHADEMA Taifa 2025 Wanachama hao katika wakisherehekea ushindi...
  20. Ubaya Ubwela

    Edo Kumwembe: Ningekuwa mshauri wa Mbowe, ningemshauri ajiondoe katika kinyang'anyiro

    Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo kutoka Wasafi Fm, Edo Kumwembe amesema angekuwa mshauri wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe angemshauri kujiondoa katika kinyang'anyiro cha Uenyekiti kisha atangaze kumuunga mkono mpinzani wake Tundu Lissu Edo amesema “ningekuwa...
Back
Top Bottom