uchaguzi chadema

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Godbless Lema: Kwenye vyama vya upinzani kuna watu wabaya kuliko kina Makonda na Chalamila. Hawana tu madaraka!

    Wakuu, Godbless Lema anatema cheche muda huu kuhusu mchakato unaoendelea kwa sasa wa uchaguzi. Lema anasema kuwa hata upinzani kuna kina Makonda na kina Chalamila sema tu bado hawajapata madaraka. Mambo yanazdi kuchemka
  2. D

    PCCB wanazidi kuvuliwa nguo tu kwamba hakuna wanachofanya zaidi ya kukaa ofisini tu na kungoja wizi wa kuku

    Rushwa kwa sasa tanzania ipo nje nje na tena inasemwa hadharani as if hatuna takukuru tena. Ona chama cha chadema kinavyojaa rushwa tena nyingine kutika kwa abdul lakini takukuru kimya. Rushwa iko wazi wazi lakini takukuru kimya. Lisu anaonesha mpaka mifano ya rushwa ndani ya chama lakini...
  3. Bezecky

    Pre GE2025 MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki

    Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili. Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp...
  4. chiembe

    Poleni sana watangazaji wa Clouds, mlikuwa na kazi kubwa kuchuja maneno ya Tundu Lissu

    Jana Clouds FM walifanya jambo muhimu sana kisheria, kuiepusha taasisi na kesi ya defamation, walionyesha kwamba taasisi hai-own maneno machafu yaliyokuwa yakitolewa. Vyombo vingine vya habari muwe lakini msije mkajikuta mnasambaza udhalilishaji mkalipa fidia za mabilioni.
  5. F

    Kuelekea siku ya uchaguzi mkuu CHADEMA, tuanze sasa kuhitimisa hili jambo la Mbowe vs Lissu na mustakabali wa Taifa letu

    Ni ukweli usiopingika kuwa CHADEMA ndicho chama kinachovuta hisia za Watanzania walio wengi bila shaka kuliko CCM na chama kingine chochote cha siasa na kwamba katika mazingira huru CHADEMA kinauwezo wa kushinda uchaguzi mkuu na kuwa chama tawala. Kwanini CHADEMA pamoja na haya yote kinaishia...
  6. Waufukweni

    Mbowe akiri kusikia tuhuma za kupinduliwa Uenyekiti kupitia Join The Chain

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa na mgombea wa nafasi hiyo kwa mara nyingine Freeman Mbowe akizungumza siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV Soma: Ezekiel Wenje: Lema ndiye aliongoza...
  7. Rula ya Mafisadi

    Godbless Lema Godbless Lemma amjibu Ezekiah Wenje, asema ni muongo hastahili kuwa CHADEMA

    Mpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje “Jana nilipoamka niliona tweet ya Mnyika na jana Waandishi mlikuwa na Wenje na nilimsikia, niliona alichokipata kule mitandaoni na Wananchi wote wa Tanzania, Wafuasi na Wadau mbalimbali wa sera za mabadiliko...
  8. Waufukweni

    Mbowe: Mwenye ushahidi wa Rushwa CHADEMA alete, hakuna aliye msafi kama Mtume

    Wakuu "Tunakubaliana wote kwamba rushwa ni kitu kibaya, wala asitokee mtu akijifanya yeye ni mtakatifu sana kwamba yeye katika maisha haya ni msafi kama Mtume, kwamba wengine tu ndio wa rushwa, yeye ana haki na monopoly ya usafi kuliko wote si kweli" "Mimi kwasababu sina ushahidi, siwezi...
  9. M

    Pre GE2025 Mbowe: Hawa wanaongea uzushi uzushi kila siku kwenye vyombo vya habari baada ya Uchaguzi tutawashughulikia

    === Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii. Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya...
  10. N

    Mbowe: Mimi Watanzania wananipenda sana, tatizo hii Mitandao inapotosha na hii ni kazi ya kakikundi kadogo ka watu wabaya

    Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na bado anasifa za kuendelea kuwa kiongozi wa Upinzani. Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia...
  11. JOHNGERVAS

    Viongozi CHADEMA wameendelea Kutoa Elimu kwa waandishi wa Habari

    Baada ya Jana Tundu Lissu kutoa Elimu kwa Mtangazaji Kijakazi Yunus wa CLOUDS TV kupewa Elimu na Makam Mwenyekiti wa CHADEMA, Leo Freeman Mbowe ameendelea Kutoa Elimu ya aina Hiyo na hapa ni azam TV https://www.instagram.com/azamtvtz/reel/DE6vkQ3Bufu/
  12. Cute Wife

    Pre GE2025 Mbowe: Lissu kusema hajui nilichozungumza na Rais ni Umbea

    Wakuu, Wakiwa kwenye vikao wanatabasamu na kucheza pamoja, wakitoka hapo ni spana kwa kwenda mbele! Ni huzuni! :PepeHands: :KEKLaugh: "Taarifa kwamba sikusema nilichozungumza na Rais ni umbea, na unapoona kiongozi mwandamizi kama kweli amesema..mimi sijasikikia ila kama kweli amesema...
  13. Patriot missile

    Mwaifunga: Wajumbe tukimchagua Mbowe hata Kama hatujahongwa Wananchi Watasema tumehongwa tu tukimchagua Lissu Wananchi Watatuita sisi ni "Mashujaa"

    Anaandika Moses Mwaifunga === MUONEKANO WA WAJUMBE ENDAPO MBOWE ATATANGAZWA MSHINDI KWA WADAU NA WAPENDA MAGEUZI, Wakimuona tu mjumbe anacheka watamwangalia mdomoni je alilambiswa nini,wakiona tu mifuko imetuna watamwangalia kwa makini awemeka nini kwenye pochi,mjumbe akipita kwenye ATM ndo...
  14. Patriot missile

    Mbowe: Tatizo la Upinzani ni kukosa uvumilivu wa kusubiri, Wabunge wakishapoteza Kipato

    Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema; "Moja wapo ya changamoto kubwa tunayoipata kwenye Vyama vyetu vya Upinzani ni uvumilivu wa watu kusubiri miaka mitano, kumi, ishirini. Wanapokuwa wabunge, kwa mfano, hakuna kipindi tumejua...
  15. J

    Prof Kitila: Hakuna Chama chenye Akili Duniani kitaruhusu Mwenyekiti na makamu wake wakaingia Kwenye Ushindani hata kama Kuna Demokrasia

    Waziri wa Uchumi na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo amesema Hakunaga chama chenye akili Duniani kitaruhusu Mwenyekiti na makamu wake wakaingia Kwenye Ushindani hata kama Kuna Demokrasia Waziri huyu Msomi mbobevu ameongea huko ukurasani X na wengi wametafsiri Chadema ni Chama kisicho na akili...
  16. Cannabis

    Wenje: Kati ya wenyeviti wa kanda (8) kati ya (9) wanamuunga mkono Mbowe, viongozi wa mikoa (3) tu nchi nzima ndio wanamuunga mkono Lissu

    Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Ezekia Wenje amepiga mahesabu yanayoonyesha kuwa Freeman Mbowe ataibuka na ushindi mkubwa dhi ya Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa taifa unaotegemewa kufanyika hivi karibuni. Kwa kujiamini amesema katika wenyeviti wa kanda nane, tisa...
  17. Waufukweni

    Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha, Wafuasi wa Lissu na Mbowe wazichapa

    Wakuu Katika hali isiyokuwa ya kawaida, ugomvi wa ngumi umezuka nje ya Ukumbi wa Ubungo Plaza unapofanyika mkutano wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Ugomvi huo ulikuwa kati ya wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu dhidi ya wafuasi wa...
  18. N

    Bunda Mjini: Tutamfuata Lissu chama chochote kama atadhulumiwa

    Hakika Umma wa Watanzania na Mungu wa Mbinguni wako na Lissu, Mbowe ajitafakari sana kulinda heshima yake kidogo aliyosalia nayo atangaze kujiondoa tu kwa heri bila kukigawa chama
  19. Cute Wife

    Pre GE2025 CCM wamefanya mpaka maigizo ya kaole lakini bado mkutano wao umedoda! Watanzania wako bize na CHADEMA

    Wakuu, Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA. Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa. :BearLaugh: :KEKLaugh: Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu...
  20. Waufukweni

    Pre GE2025 Prof. Kitila Mkumbo: Lissu na Mbowe wametusaidia kupata hoja za kuipiga CHADEMA

    Wakuu Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL 😂 == Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia Soma: Kitila...
Back
Top Bottom