The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.
Lissu ndio kiongozi pekee asiye na kisasi ndani ya CHADEMA,
Pamoja na matusi ya kila namna aliyemtukana Lissu Leo wako pamoja wanacheka na kufurahi,
Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
Nimekutana na Joseph Kusaga kwenye Kolido za Ukumbi wa Mlimani City hadi nimeshangaa
Katika Nchi ya kutekana na kubambikiwa kodi kama hii inawezekanaje Mfanyabiashara kama huyu kujitokeza kwenye Mkutano wa CHADEMA?
Nafahamu kwamba amepewa mwaliko , lakini Mwaliko kama huo wamepewa wengi mno...
Uchambuzi wa Numerology
Numerology inahusisha kupunguza tarehe ya kuzaliwa hadi Nambari ya Njia ya Maisha (Life Path Number) ili kufunua sifa za kibinafsi na uwezo.
Uchambuzi:
Mbowe akiwa na 4 anaonyesha uongozi wa utulivu na wa vitendo, jambo linalovutia wanaotaka kuendeleza hali ilivyo.
Lissu...
Wakuu,
Akiwa anazungumza kwenye mkutano mkuu ambao utaenda kuamua nani atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Lissu amshukuru Mwenyekiti wa Chama, Freeman Mbowe kwa kufanya nae kazi kwa kipindi cha miaka 20, licha ya kutofautiana kimitazamo lakini amekiri hawajawahi kugombana.
"Mheshimiwa mwenyekiti...
Inadaiwa wanakata umeme na kuwasha mara kwa mara
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa Ukumbini hapo.
Nashauri wazime umeme wa Tanesco wawashe Generator.
Kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu M/kiti fuatilia LIVE - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya...
Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA...
Baadhi ya Wanachama wa CHADEMA wahoji ulinzi wa Polisi kwenye Mkutano wao wa Uchaguzi huu ikiwa hawajawahi kufanya hivyo kwenye chaguzi zao zilizopita.
Wakuu,
Kama unafuatilia kwa ukaribu Uchaguzi unaoendelea sasa hivi hapo Mlimani City utagundua kuwa kwa nje kuna mkusanyiko wa makada tofauti tofauti wanaojitambulisha kama Team Lissu na Team Mbowe
Kinachonipa maswali ni namna ambavyo wanachama wa wanatetea na kunadi wagombea wao hadharani...
Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi...
"Mbowe na Lissu watakuwa salama…wasiogope" Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ngazi ya Taifa, Charles Odero akizungumza dakika chache kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa chama hicho, akiwatoa wasiwasi wagombea wenza kuwa watakuwa salama baada ya yeye...
Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari...
Nakumbuka NCCR Mageuzi walimdharau Lyatonga Mrema Lakini alivyowatenda Chama kimedumaa hadi Leo
CUF nayo ndio wale wale
Sasa ni zamu ya chadema
Nawatakia uchaguzi mwema!
Uhuni huo uliofanyika na CCM akina Samia et al kujivika madaraka ya kuvunja Katiba ya nchi, Katiba ya CCM , sheria zoooote, upinzani sahau kuwa kupata katiba Mpya na Tumehuru ya uchaguzi!
sasa ni full swing DICTATORSHIP!
MADIKITEIT WANAWEK WALIOWAHI KUWEPO DUNIANI
Indira Gandhi
Isabel...
Lisu ameongozana na wafuasi wengi ambao badala ya kushawishi wachaguliwe wanashawishi wanachama waamini kwamba Mbowe anatumia fedha.
Lakini najiuliza mbona uchaguzi wa mabaraza yote hakuna rushwa iliyoonekana wala kuthibitika? Nataka kujiuliza mjumbe aliyefutwa uongozi kwenye kanda yake...
Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).
Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!
=====
Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu...
Nimekutana na hii picha, imenifanya nitafakari sana. Ngoja tuone.
Huyu mbowe hawezi kushinda kirahisi labda system iingilie kati kwa nguvu zote.
Pia nikakumbuka na thread ya Pascal Mayala
Thread 'Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA'...
Kaka , toka hapo Baraza Kuu. Nenda Makao Makuu ya Chama , kuna malalamiko ya watu wengi wanaweza kukosa vitambulisho !
Mod hii ipo account yake ya twitter katembeeleni.
Swali. Kama Lissu anaendeshwa hivi na Lema. Mwenyekiti ataumudu?
Baraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.
Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.
Je, kuna swali?
Anaandika Ntobi
Viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, wametishia kujitoa unachama wa chama hicho endepo Mwenyekiti wa Chadema Taifa atachaguliwa kuwa Freeman Mbowe katika Mkutano Mkuu unaofanyika Januari 21, 2025.
Pia, Soma:
- Mbowe: Nikishindwa...
Mbowe is very smart, he is always speaking confidently, ndio maana habagazi mtu.
Anaposema chama kitaendelea maana yake atashinda kwa vyovyote vile Iła atampa LISSU agombee urais.
Atashinda uchaguzi Iła wale wote waliomtukana atawaingiza kwenye Kamati Kuu.
Mbowe hana kinyongo lkn ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.