The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.
Nimesikitika sana na vitendo viovu na hujuma mnazosema mmefanyiwa.
" Wote mliokatwa majina,
Wote mlioenguliwa,
Wote mtakaodhihakiwa,
Wote mnaopenda demokrasia pana,
Kwa mikono miwili na kwa upendo wa hali ya juu mnakaribishwa ktk chama kizuri cha CCM.
Ulizeni waliokuja i.e Msigwa, Mtatiro...
Wakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa...
Katika ukurasa wake wa X Lema ameandika hivi, "LEADERSHIP IS A BEHAVIOR NOT A TITLE."
Swali: Kwanini anahangaika Lissu na Heche ili wawe viongozi kwani hawana Title?
Pia, Soma: Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA
Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Januari 20, 2025 ulilipuka kwa shangwe kutoka kwa wajumbe wa mkutano wa Baraza Kuu la Chadema unaoendelea baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, kuwatambulisha wagombea wa ngazi ya juu ya uongozi wa chama hicho.
Mnyika...
Katika vikao vya Baraza Kuu vinavyoendelea leo hii, tayari mambo kadhaa yameanza kutolewa maamuzi.
La kwanza ni hili la kuidhisha mtanange wa Wagombea wa Juu wa uongozi wa Chama hicho.
Taarifa yao hii hapa
Usiondoke JF kwa Taarifa za uhakika za Vikao hivi, Hii ni kwa sababu Mimi Mtumishi...
Wakuu kesho ndio kesho..
Je serikali itakubali chadema ionekane?
Je Media zitakubali kutangaza ikibidi 'live"
Kama walivyofanya kwa CCM?
Binafsi naona matangazo yakikatwa katikati
Mhe. Tundu Antipas Mughway Lissu, Mwenyekiti Mtarajiwa wa Chadema na Mgombea Urais Mtarajiwa Katika Uchaguzi wa 2025
Kutokana na mikutano mikuu ya Chadema na CCM inayofanyika kwa kufuatana ndani ya Januari 2025 sasa ni wazi kwamba busara kongwe za wanazuoni zitaanza kutimia.
Wanazuoni wengi...
Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe
Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi
Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba...
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu
Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria...
Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA 2025 kinafanyika muda katika makao makuu ya chama yaliyopo Mikocheni, ambapo viongozi wakuu, Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wakutana uso kwa uso. Huu ni mkutano muhimu unaojadili masuala mbalimbali yanayohusu mustakabali wa chama kuelekea kesho Januari 21 kwenye...
Freeman Mbowe amekodi kampuni binafsi ya ulinzi kulinda uchaguzi wa CDM.
Amefanya hivi bila idhini ya Kamati Kuu.
Hakutaka uamuzi huo uhojiwe.
Maswali: kampuni imepatikanaje. Ni ya nani. Itakuwa na vipenyo wangapi.
FAM is clearly terrorising party electoral process.
Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA
Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU
Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo...
==
Mwl Nyerere aliwahi kusema mwanasiasa yeyote atakayeta kuchaguliwa kwa minajili ya kabila au dini yake huyo ni sawa na mwanasiasa mfu Mkataeni.
Leo Freeman Mbowe Mchaga wa Machame anaonesha kuigawa CHADEMA kwa minajili ya Ukabila,
Leo CHADEMA kuelekea Uchaguzi wake mkuu wenyeviti na...
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Joseph Haule ‘Prof Jay’ leo Januari 20, 2025, amefika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kikao cha baraza hilo kinachotarajia kufanyika ukumbini hapo.
Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Kenani na...
Wakuu,
Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.
Kama wao kwa wao...
Hayawihayawi!
Kesho tarehe 21 itafanyika Operation kubwa kwa mgonjwa ambaye hapa ni CHADEMA.
Madaktari wasiopungua 1200 wataendesha zoezi hilo. Kiukweli mgonjwa yupo taabani. Upasuaji huu ni muhimu Sana lakini pia ni Upasuaji Hatari kama madaktari hao hawatakuwa Makini kufanya zoezi Hilo...
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.
Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.