uchaguzi serikali za mitaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Waziri Mhagama: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hatuna mashaka kwa sababu Viongozi wa mashina wameshaamua Peramiho ni ya CCM

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jensita Mhagama (Mb) Peramiho, amewapongeza Wenyeviti wa Mashina na Kata kwa kazi nzuri wanayofanya ya kulinda na kukipigania Chama Cha Mapinduzi. Pongezi hizo amezitoa wakati alipokutana na kufanya vikao na Wenyeviti wa Mashina...
  2. Roving Journalist

    Pre GE2025 Rais Samia: Uchaguzi utakuwa huru na wa haki

    https://www.youtube.com/watch?v=st-YFWzMvWQ RAIS SAMIA: UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA WA HAKI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema haki, demokrasia, sheria na utawala bora utadumishwa kwa watu wote wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika...
  3. K

    Pre GE2025 Hali ya kiasiasa joto na mvuke katika mchakato wa uchaguzi 2024-2025

    Nielekee kwenye mada. Naona mambo yanaendelea na joto linaendelea kukolea. Katika chama cha Mapinduzi kile kiitwavyo uhuru wa kugombea utaleta doa kwa wale wasiokubaliana na Mama. Wanauhuru kugombea na Mama lakini haiwezekani kujitokeza hadharani. Hawa watafukia vichwa vyao ardhini hadi 2030...
  4. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Mbunge Cherehani atoa Madawati 975, awasihi wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    MBUNGE CHEREHANI ATOA MADAWATI 975 YA MIL 63.3: MAADHIMISHO MIAKA 47 YA CCM Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye thamani ya Shilingi 63,375,000 ili kuimarisha sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na...
Back
Top Bottom