uchaguzi wa serikali za mitaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    LGE2024 Makalla: CHADEMA acheni visingizio, migogoro ya ndani ya chama chenu na maandalizi mabovu ni kisiki kwenu kufanikiwa Uchaguzi Serikali za mitaa

    KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makalla ameitaka Chadema kuacha visingizio vya kulalamikia wagombea wake bali iseme ukweli kuwa haikufanya maandalizi kuingia katika Uchaguzi wa serikali za mitaa. Pia, amesema chama hicho...
  2. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Dkt. Pindi Chana: Amewaomba wananchi wa Makambako kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Balozi , Dk. Pindi Chana amekinadi Chama cha Mapinduzi huku akiwaomba wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024. Ameyasema hayo katika Mkutano wa hadhara...
  3. Allen Kilewella

    LGE2024 CHADEMA "yapata ushindi mkubwa" Serikali za mitaa

    CHADEMA iliingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu 2024 ikiwa na malengo mawili. Kwanza CHADEMA walikusudia kuonesha kwamba kwa kutumia mfumo huu wa uchaguzi unaopendelewa na CCM, uchaguzi hautakuwa huru wala wa haki. Jambo la pili ambalo CHADEMA walikusudia kuonesha ni kwamba...
  4. Mindyou

    LGE2024 Kagera: Polisi waahidi "usalama" siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Wakuu, Mbona kama kuna watu wame-targetiwa kutokana na tangazo hili? Jeshi la polisi mkoani Kagera limewataka wananchi wa mkoa huo kushiriki uchaguzi wa serikali za mtaa kwa utulivu kwakuwa limeimarisha ulinzi na usalama kwenye maeneo yote ya mkoa huo kuelekea kwenye siku ya uchaguzi huo...
  5. Mlalamikaji daily

    LGE2024 Katika kubalance mambo tuonekane tuna demokrasia vyama vidogo vidogo vya upinzani vitashinda baadhi ya maeneo ila sio CHADEMA!

    Kuna maeneo utaona sijui chauma, UDA ,ACT n.k Vinaweza kupewa baadhi ya vijiji au ubalozi.. Ili kufukia mashimo nchi ionekane ina demokrasia.. Ila once again CHADEMA poleni Hii itakuwa zaidi ya 2020..
  6. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Idrisa Kweweta: Wananchi ikataeni CCM kwa vitendo Novemba 27, 2024

    Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kitongoji cha Madiga, Kijiji cha Darajani, Kata ya Kipatimu, Jimbo la Kilwa Kaskazini, Mkoa wa Lindi, Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo, Idrisa Kweweta amewataka Wananchi kuikataa CCM kwa vitendo. Soma...
  7. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 RC Chalamila: Jitokezeni kupiga kura tuepuke siasa za chuki

    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akizungumza na wanahabari leo, Jumatatu Novemba 25.2024 ametoa wito kwa wakazi wa jiji hilo waliojiandikisha kwenye daftari la mkazi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Novemba 27.2024 ili kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaowataka. Sambamba...
  8. Pfizer

    LGE2024 Juma Aweso: Wananchi jitokezeni kwa wingi kupiga kura tarehe 27 Nov 2024

    Mbunge wa Jimbo la Pangani na Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ameendelea na kampeini jimboni Pangani katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Aweso akiambatana na wajumbe wa kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Pangani ameendelea kuwanadi wagombea wa CCM kata kwa kata na kijiji kwa kijiji huku...
  9. L

    LGE2024 CCM kuhitimisha Kampeni Kwa Kishindoo.Yatawanya Makada Wa Kamati Kuu Nchi Nzima kufunga Kampeni hapo Kesho

    Ndugu zangu Watanzania, Ukisikia chama kiongozi basi hii ndio Maana yake.Ambapo CCM imeonyesha ukubwa wake , umadhubuti wake,uimara wake na uhodari wake katika kuwafikia wananchi.kwa hakika siasa ni sayansi na CCM imethibitisha wazi kuwa ni bingwa wa sayansi ya siasa katika Nchi hii,kikanda na...
  10. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Katavi: MwanaCCM akigawa rushwa kwenye uchaguzi mshughulikieni kwelikweli

    Kauli za kishujaa zinazidi kutawala kutoka kwa viongozi wa CHADEMA. Hii ni kuwajengea kujiamini wananchi katika kipindi hiki cha uchaguzi wasibabaishwe na watu wenyenia ya kuharibu uchaguzi. ================== Mwenyekiti wa CHADEMA @chadematzofficial Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela, amesisitiza...
  11. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Katavi: Mwenyekiti wa CHADEMA: Tunaamini katika haki, maendeleo na kutetea Watanzania kuliko matumbo kama wanavyofanya CCM

    Bado siku moja kutoka sasa kuelekea katika siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa ambao utafanyika Novemba 27, 2024. Wagombea kutoka vyama mbalimbali wamendelea kunadi sera zao na Ilani ya chama ili wananchi wakafanye hukumu yupi anafaa kuwa kiongozi katika Kitongoji, Kijiji, au Mtaa wao...
  12. Mindyou

    LGE2024 Kada wa CCM Njombe: Kwenye suala la kushika dola CCM hatuna mzaha

    Wakuu, CCM wameendelea kutoa tambo na confidence waliyonayo katika kushinda Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa. Soma pia: Msimamizi wa Uchaguzi Njombe: Hakuna kijana atakayeweza kutumika kuvuruga zoezi la uchaguzi Kwenye kampeni za CCM za kuwanadi wagombea wote wa kijiji cha Tandala wilayani...
  13. Mindyou

    LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA Katavi: Ninawaomba muwe na hasira mlinde kura zenu na polisi wakija msitishike na mabomu!

    Wakuu, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela, amewataka wananchi wa mtaa wa Kampuni, kata ya Misunkumilo, Mpanda Mjini, kujitokeza kwa wingi na kufanya maamuzi sahihi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Soma pia: Mwenyekiti CHADEMA Katavi...
  14. Mindyou

    LGE2024 Dotto Biteko: Upinzani hata wakibaki kushiriki Uchaguzi watapigwa. Naomba msijitoe bakini twende hadi mwisho!

    Wakuu, Vuguvugu la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa limeendelea kuwa kali. Hivi karibuni Dotto Biteko ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya (CCM) Taifa ametoa tahadhari kuwa hata kama vyama vya upinzani vimeahidi kutojitoa kwenye Uchaguzi lakini bado vitapigwa tu. Soma pia...
  15. Mindyou

    LGE2024 Freeman Mbowe: Tuliwasusia mwaka 2019, kosa hilo haturudii tena. Safari hii tutabanana mpaka tone la mwisho la damu

    Wakuu, Akiwa kwenye kampeni siku ya leo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema CHADEMA haitosusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu kama ilivyosusa mwaka 2019 na kusema pamoja na changamoto za kuenguliwa kwa Wagombea wao bado wataendelea kushiriki Uchaguzi huo. 'Tuliwasusia...
  16. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Ikungi Singida: Mzee amtabiria Tundu Lissu kuwa Rais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2025

    "Kama mnavyosikia kote wagombea wameenguliwa hata hapa kwetu Ikungi hali ni hivyohivyo, lakini mwamba huu hapa Tundu Lissu umefanya kazi na kazi ya wananchi mwakani nikuchagua Diwani, Ubunge lakini Rais tunaye ambaye ni Tundu Lissu" Mzee, Jumanne Mwiko Kuahanya maarufu kama (Waodimo) kutoka...
  17. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Mbeya: Picha Katibu Mwenezi CHADEMA wa Kata ya Iganjo akiwaombe kura wagombea kwa namna yake

    Ukitazama hii picha kiongozi huyu ameonyesha hisia na hamasa kubwa katika kuhakikisha anatimiza majukumu yake bila kujali hali aliyokuwa nayo. Nyie! kuna watu wanavipenda vyama vyao katika kila mazingira. ============== Katibu Mwenezi wa Kata ya Iganjo, mkoani Mbeya, Muhamed Mwanitwe akiwanadi...
  18. Erythrocyte

    LGE2024 Freeman Mbowe afika Mbalizi kuwaombea Kura Wagombea wa CHADEMA

    Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Pamoja na Mikutano kadhaa aliyohutubia leo, Mwenyekiti wa Chadema amefika Mbalizi na kuwaomba wananchi wachague Wagombea wa Chadema ili kuepuka laana ya Mungu Wakati CHADEMA ikipita huku na kule kuomba Kura Wao wanahangaika kuomba Msamaha Swali ni Je...
  19. Idugunde

    LGE2024 Wazo lenye mantiki: Watanzania tuichague CHADEMA Serikali za Mitaa ili tuisimamie Serikali

    Kwa ngazi ya viongozi wa serikali za mitaa ndio msingi wa kuja kupata wabunge ambao wataisimamia vyema serikali. Tukiwa na bunge imara lenye meno tutaweza kuisimamia serikali. Njia pekee ni kuichagua CHADEMA na si wapinzani wengine. Viongozi wa serikali za mitaa watatengeneza njia ya kupata...
  20. The Watchman

    LGE2024 Suphian: Tundu Lissu na CHADEMA yao wanaiogopa Ikungi

    Video: Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Suphian Nkuwi akiwanadi wagombea wa serikali za mitaa kupitia CCM Kitongoji cha Ikungi, Novemba 23, 2024. Suphian Nkuwi amesema CHADEMA imebarikiwa maneno matupu lakini CCM imebarikia Maji, umeme, barabara, afya, elimu bora. Soma Pia: Singida: Wagombea...
Back
Top Bottom