uchawi

  1. TheDreamer Thebeliever

    Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

    Habari wadau poleni sana na msiba wa jemedari Hayati Magufuli. Leo nimeamua kuwaletea simulizi ya kweli inayoitwa "jinsi teseka miaka mingi na kunusurika kufa baada ya kurogezewa uchawi wa bundi". Kwanza niwaombe samahani kwa mwandiko mbaya maana simulizi hii ninapoanza kuiandika inaweza...
  2. LIKUD

    Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

    SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio...
  3. S

    Riwaya ya kichawi- Mama Usinifundishe Uchawi

    MAMA USINIFUNDISHE UCHAWI. SEHEMU YA KWANZA “Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Kibaoni, na kijiji cha Maharaka. Anga yote ilikuwa imetanda kuashiria mvua saa yoyote inanyesha. Hali ya hewa si shwari baridi lilikuwa kali kupita maelezo. Ardhi baada ya muda ukali wa jua...
  4. Mtu Asiyejulikana

    Uchawi wa Simba Hadharani sasa. Hivi mpira wetu Unaelekea wapi?

    Huu ndo Uchawi Mkubwa wa Simba. Duniani hamna Siri. Mpira ni mchezo wa wazi unachezwa kwenye Mwanga. Tumeona kilichotokea. Hapa Simba wamemchukua kimazingara Messi na kumpa ngozi na nywele nyeusi. Wakambadilisha na jina. Huu uchezaji si wa kawaida kwa huyu bwana mdogo. Mpira wety unaelekea...
  5. Tuttyfruity

    Je, kuna uchawi wa bendera?

    Mambo vipi wana Jf. Natumai wote mko poa. Moja kwa moja kwenye mada. Kwenye pitapita zangu kama mnavonijua mimi ndugu yenu nimekutana na jambo moja geni sana kwenye masikio yangu. Hivi mshawahi kusikia kuhusu uchawi wa kutumia bendera? Yani bendera hizi hizi mfano ya 🇹🇿 Mostly zinazotundikwa...
  6. Da Vinci XV

    HEDGE WITCH: Uchawi usiopendwa zaidi duniani

    HEDGES WITCH Wachawi wa Hedge, au Hedges kwa kifupi, ni Wachawi ambao hufanya uchawi bila kuwa na elimu rasmi katika shule za Kichawi labda kwa lugha rahisi tuseme wachawi wa kienyeji Kwa sehemu za nje(nchi za mbele au nchi ambazo kuna shule maalumu za uchawi aina hii ya uchawi wa hedges...
  7. LIKUD

    Ni Uchawi tu huo! Benard Morrison kimbia haraka kwa Mwamposa au kwa Kuhani Mussa Richard Mwacha ukaponywe hiyo ngiri ya kichawi

    " Benard Morrison yupo mbioni kufanyiwa upasuaji wa ngiri ambao utamfanya akae nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita" . Vyombo mbalimbali vya habari nchini Tanzania. Ukitazama maradhi ya Benard Morrison kwa jicho la Mshana Jr unaweza kusema kwamba Benard Morrison...
  8. S

    Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

    Wakuu; Jumapii ya leo imenoga Niko na rafiki yangu hapa tuko na karatasi imeandikwa Jina lake mara nyingi sana pamoja na maneno ya kiarabu halafu ikachomwa sindano.Ilikuwa imehifadhiwa ndani ya nyumba yake.Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Huu ni uchambuzi wa michezo au uchawi na husda?

    Huyu Kitenge Hapa akajibiwa na Haji Huyu naona hafai hata kuchambua rede. Akachambue tembele
  10. Red Giant

    Kwa jinsi wabantu tunavyoamini uchawi, naamini kuwa Kinjekitile alijua dawa yake itafanya kazi

    Vitabu shuleni tuliaminishww kuwa Kinjekitile alifanya vile ili kuwapa wanajeshi moyo wa kupigana. Mi natilia shaka hili jambo. Limepotoshwa tu kumfichia aibu yule mzee. Kwa jinsi tunavyoamini ushirikina naona kuwa Kinjekitile aliamini dawa yake itafanya kazi. Hadi leo watu wanajikinga kwa...
  11. Sa 7 mchana

    Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

    Habari zenu wakuu. Moja kwa moja naomba niende moja moja kwenye mada. Naomba kuuliza hivi wazungu nao hurogana katika small scale yani man to man? Diasporas naomba mtusaidie hili. Habari zao za Ushirikiana tunazozile kubwa kubwa kama Freemason, Blue Order nk. Maana kinachoonekana nikuwa...
  12. I AM NO ONE

    Kuna Uchawi au Uganga unaweza kufanya ukaongezwa mshahara au kupandishwa cheo kazini?

    Habari, Aise mimi kuna mahali nafanya kazi ila sasa kuna mtu nafanya nae kazi ananiambia we kaa hivyo hivyo usihangaike. Sasa huyo anaenimbia hivyo ni mtu alikuwa kitengo kingine akahamishwa akapelekwa kingine chenye nafuu kidogo Halafu sasa ananiambia kashapewa barua ya kuongezewa mshahara...
  13. sky soldier

    Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

    Muwe mnasikia tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta ndo mtaijua anaeisimulia mvua basi iliwahi kumnyeshea, Nguvu za giza haziwezi kuonekana kwa macho yetu ya kawaida wala kupimwa na vifaa vya kisayansi, Aliedhuriwa na haya mambo kumbishia ni sawa na...
  14. T

    Kupenda vya gizani ni dalili ya uchawi!

    04.11.2020, Saa nne usiku: Kwani uchaguzi si umeisha? Kwani ushindi wa ‘kishindo’ si tayari? Kwani ‘watu wengi’ si wanawakubali? Kwani maandamano si yameshadhibitiwa kwa nguvu kubwa? Sasa nini sababu ya kuendelea kuminya minya mitandao ya kijamii na ‘kutupimia kwenye vijiko’? Hivi wanajua...
  15. Red Giant

    Kuamini Sana uchawi huwa kunaambatana na ujinga

    Ukikaa na watu wanaoamini uchawi na kupiga stori za uchawi huwa Kuna mambo ya kushangaza Sana. 1. Mmoja anasimulia eti Kuna mzee alikamatwa na radi ameiweka kwenye mfuko wa salfeti. polisi kumuuliza akasema huwa anaiuza. 2.Mwingine anasema eti radi ikipiga sehemu huwa inataga yai . Basi...
  16. fungi06

    Maana ya kauli ‘Uchawi hauendi kwa mentally’ ni ipi?

    Nimeskia huu msemo kwenye mwimbo wa professa j... Zali la mentally, rejea ukauskilize... Sasa nataka nijue je huu msemo (uchawi hauendi kwa mentally) unamaanisha nini? Cc Mshana Jr
  17. matunduizi

    Mmewahi kukumbana na uchawi wa kusahaulishwa

    Yani jamaa anakuroga usahau au uwe unahairisha kila ukitaka kuchukua hatua. Nilikutana na mganga flani akawa ananipa story yaani hata kama mtu anakesi ya kuua anaweza kumfanya hata Mahakama au ndugu wanaomshtaki wasifuatilie kesi. Nimesikia kuna maeneo pwani ukilima Shamba ukikaribia kuvuna...
  18. Ben Zen Tarot

    Uchawi wa kimapenzi mkali kabisa yaani ni balaa

    Katika masuala ambayo uchawi una ishi na kutawala basi ni suala la mapenzi. Asilimia kubwa ya watu wanao enda kwa waganga, huenda huko kwa sababu ya mapenzi au kwa sababu ya mambo yanayo sababishwa na mapenzi. Uchawi wa mapenzi upo wa aina nyingi sana. Nikisema nianze kutaja na kuelezea kwa...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Propaganda za uchawi na ushirikina

    PROPAGANDA ZA UCHAWI NA USHIRIKINA. Na, Robert Heriel Je, uliwahi kuuona uchawi kwa macho? Je, uliwahi kupatwa na uchawi? Ulijuaje huo ni uchawi? Je, uliwahi kumuona ndugu yako au jirani aliyelogwa? Je, ulijuaje amelogwa? Je, uliwahi kusikia habari za uchawi? Je, ulijuaje huo ni uchawi pale...
  20. Equation x

    Uchawi wa Mahusiano ni pesa

    Nimeamini uchawi wa mahusiano ni pesa. Yaani ukiwa nazo, utabembelezwa kama mtoto mchanga; ila ukiishiwa usishangae mpenzi wako kukuita majina ya ajabu ajabu kama vile, wee mbuzi, mbwa, paka n.k Tutafute vyanzo vya pesa wakuu, tule mema ya dunia
Back
Top Bottom