uchawi

  1. Molleli

    Kwa Video Hii Nimeamini Kuwa Ukiwa Mtumishi Wa Serikali Uchawi Muhimu Aiseh!!!

    Zambia hii wajameni
  2. JASUSI LA MBINGUNI

    Kwanini wachawi hutupia watu majini?

    Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo. Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu? Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida? cc Mshana Jr Rakims
  3. Kiranja Mkuu

    Mafunzo rasmi ya uchawi:Je hirizi na tunguri zinatoaje taarifa kwa mmiliki wake?

    Mshana Jr tusaisidie majibu mujarabu
  4. Sa 7 mchana

    Katika ulimwengu wa kishirikina, nguo yako ni wewe

    Habari zenu wakuu natumahi mu wazima wa afya. Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo. TUKIO LA KWANZA (1): Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es...
  5. B

    Matunguli au uchawi uliocha ofisini na mtangulizi wako unautoaje kuitakasa ofisi?

    Kuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki...
  6. Da Vinci XV

    Unaamini katika uchawi? Tushirikishe uliyowahi kukumbana nayo

    Do you believe In Witchcraft? Share you Experiences Wasalaam, Years ago in life movements, huko Songea katika harakati za msaka tonge, kama ilivyo silka ya Mwanaume kula kwa kutafuta Japo hata Tunda huliwa kimasihara lakini hutafutwa. Binafsi yangu sijawahi kukumbana na Kioja chochote wala...
  7. Zaburi 23

    Nimehamia nyumba yenye skendo ya uchawi

    Habarini wakuu, Mada tajwa hapo juu inajieleza. Nimehamia nyumba moja hapa mtaani kila mtu unaekutana nae anasema aliyekuwa mwenye nyumba (marehemu) alikuwa ni mchawi na mtaa mzima ulikuwa unamuogopa. Pia kuna binti yake makamo ya kati ndo kama karithishwa huo uchawi na ndie aliepokea kodi...
  8. M

    SoC01 Tuachane na ushirikina, uchawi tupate maendeleo

    Lengo la makala haya ni kuonesha kwamba kuendekeza ushirikina au uchawi na waganga wa kienyeji (wapiga ramli) kunaathiri maendeleo ya jamii. Tuachane na hiyo imani maana badala ya kutusaidia kusonga mbele, tunajenga chuki, uadui na moyo wa kulipiza kisasi kwa kuwadhania wengine ndio vyanzo vya...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Code za Uchawi na Miujiza; Fahamu haya machache

    CODE ZA UCHAWI NA MIUJIZA, FAHAMU HAYA MACHACHE. Na, Robert Heriel. uchawi ni nguvu za Giza zinazotenda kinyume na akili ya mwanadamu. Miujiza ni nguvu za Nuru zinazotenda kinyume na akili ya mwanadamu. Ili Jambo liitwe uchawi au muujiza lazima liende kinyume na akili ya mwanadamu, liende...
  10. K

    Ukufanikiwa kuwadhibiti Yanga kwenye uchawi unawageuza kama chapati

    Hawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao. Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi. Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
  11. fatherhood

    Ulikabiliana vipi na changamoto za uchawi?

    Habari JF. Kwenye jamii zetu kuna changamoto nyingi sana ikiwemo uchawi . Kama vitabu Vingi vitakatifu vinavyosema uchawi upo. Direct kwenye mada nakumbuka way back nipo form 3 , huku kijijini kwetu nilikuwa naumwa sana kiasi ambacho nilikuwa siwezi kusoma kabisa. Hali hii iliendelea kwa muda...
  12. Mshana Jr

    Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

    Huwa nacheka sana baadhi ya watu wakipinga kwa nguvu zote kuwa hakuna uchawi. Hawa hawajatembea wakajionea kwa macho yao na kushuhudia live kabisa, SIO KUSIMULIWA. Last week kuna picha ilitrend mitandaoni ikionesha gari la Landcruiser pickup likiwa limekita pua juu ya paa la nyumba ya udongo na...
  13. L

    Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

    Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza. Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa proof uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani? Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini? Hizo ni drama za kufikirika...
  14. R

    Kuna uchawi wa levels ngapi?

    .
  15. GENTAMYCINE

    Je, umesikia nini cha nje ya Uwanja (Kamati za Umafia na Uchawi) kuelekeaa 'Mtanange' wa leo wa Simba SC na Kaizer Chiefs FC?

    Nilizonazo hadi Asubuhi hii ni kwamba Wachezaji wa Kaizer Chiefs FC Usiku hawakulala Mbezi Beach bali wamelala Ubalozini Kwao na kule Hotelini Mbezi Beach wamebaki wale wasiocheza leo. Nilizonazo hadi Asubuhi hii ni kwamba kuna aliyekuwa Kiongozi Mmoja wa Simba SC (sasa yupo Yanga SC) kwa...
  16. KAGAMEE

    Uchawi wa Kaiza Chiefs

    Muda unasonga sana magoli yanakaribia kujaa kikapu.Wengi wanasema Kaizer waliloga kwao hivyo Simba lazima walipize kwa Mkapa.Msemaji wao ameenda mbali zaidi na kusema kesho mtu anakula mkono as is atacheza. Baada ya kipigo kikali wanasimba wote na viongozi wao wameelekeza nguvu zao kwa masangoma...
  17. GENTAMYCINE

    Kwa 'Uchawi' unaofanyika ambao ni wa 'Kufuru' Wajukuu wa Hayati Mandela watajuta kuwafahamu Wajukuu wa Hayati Nyerere kwa Mkapa Kesho

    Kuna Watu niliambiwa kuwa wakilitaka lao wanajua kulipata kwa 'Kuroga' vibaya tena kwa 'Kufuru' kabisa nikawa siamini, ila kwa nilichokiona na Kukisikia kuna Mtu aliwacheka Watu Kidharau akiwa ' Benchini ' huenda Kesho akanuna na hata Kulia hadi Kuzimia na hata Kufa pia. Wewe zitengwe Milioni...
  18. Heisenberg

    Ijue Historia ya mchawi mmoja toka huko Kilombero - Morogoro

    Dunia ina mambo Mengi sana na mengine usiyoyajua Nikiwa Maeneo hayo ya kilombero Niliwahi kuona uchawi ambao sitasahau. Kuna kijana mmoja aliombwa aangue nazi kutoka kwenye mnanzi wa mzee fulani, Jamaa akavaa kamba miguuni akapanda akashusha nazi za kutosha. Wakati anaendelea na hararakati...
  19. Mshana Jr

    USIHADAIKE: Hakuna uchawi wa kumfanya mtu akulipe deni

    Humu mitandaoni watu wanapigwa sana. Kuna madalali humu wamejaa shuhuda za kutunga na zinavutia sana! Kama kungekuwa na huu ushirikina wa kumfanya mtu akulipe mahakama kusingefurika kesi za madai. Ama mahakama zetu zingekuwa na afueni kubwa sana. Sikiliza nikwambie kuna uchawi moderate tu tena...
  20. mediaman

    Nilikuwa nimelala chali, "tembo" akanigandamiza sana kifuani

    Wakuu, hii ni habari ya kweli kabisa. Hivi majuzi niienda mji fulani nikakutana na kisa cha ajabu sana. Baada ya kufika katika mji huo mwenyeji wangu alinipokea na kunikaribisha kwake. Baada ya kufika kwake nikatambua kuwa anaishi katika vyumba viwili katika nyumba ya kupanga. Tulipokuwa...
Back
Top Bottom