udaktari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Uhandisi ndiyo fani pekee duniani inayotoa majibu halisi kwa walaji tofauti na udaktari ambao umeshindwa kuichambua chanjo ya COVID-19 ieleweke

    Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam! Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado...
  2. B

    Nachelea kukubali Udaktari uliopo ndani ya Hamis Kigwangalla

    Zamani tuliamini na kunasibisha matendo ya wasomi na tabia zao. Ila naangalia mwenendo, matendo na maisha ya Hamis Kigwangala yananifanya nijiulize kuwa Daktari ni uwezo wa akili kupambanua mambo au inategemea na kufanya mitihani ya darasani? Unapokuwa na Daktari ambaye kila jukumu...
  3. namriny

    Tanzania tuamue kubaki na fani ya Ualimu na Udaktari

    Habari, Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi. Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na...
Back
Top Bottom