ufaransa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Return Of Undertaker

    Ufaransa yaikopesha Tanzania zaidi ya Tsh. bilioni 500 kwa miradi ya REA na maji Mwanza

    Leo Bwana Dotto James kapokea mkopo mpya wa zaidi ya shilingi bilioni 500 toka ufaransa kwa ajili ya miradi ya umeme wa REA na miradi ya maji jijini Mwanza. Chanzo: RFA habari === Ufaransa yaipa Tanzania bil. 600/- za miradi mitatu SERIKALI ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD)...
  2. mamayoyo1

    Ufaransa yaipatia Serikali mkopo nafuu kujenga mradi wa maji mjini Morogoro

    Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA). Mkataba wa...
  3. The Mongolian Savage

    Nawapa Ufaransa masaa 48 wamwache huru Felician Kabuga hatutaki double standard

    Mzuka Nikiwa mdau wa haki na usawa sipendi maonevu. Ufaransa mara moja imuache huru ndugu Felician Kabuga aende ajumuike na familia yake. Naipa hadi jumanne tofauti na hapo naingia chumba maalum cha maombi halafu matokeo yake mtaona. Inawezekanaje kuwe na double standard kwa kumuacha Mr...
  4. Analogia Malenga

    Ufaransa: wasafiri wasiovaa barakoa watalipa faini ya zaidi ya Tsh. laki 3

    Uvaaji wa maski sasa ni lazima mjini Paris Ufaransa, huku ikiwataka wasafiri kuwa na vyeti kutoka kwa waajiri wao vinavyotoa sababu ya kwa nini wanasafiri Watakaokiuka agizo hilo watakuwa katika hatari ya kulipa faini ya $145 sawa na takribani Tsh 335,000. Aidh katika uvaaji wa barakoa ni...
  5. FRANCIS DA DON

    Ufaransa yasalimu amri na kuondoa lockdown, ni baada ya uchumi kuyumba vibaya

    Baada ya kujifungia ndani kwa muda mrefu, wafaransa wameamua kama kufa na wafe tu, lockdown haivumiliki tena, wame ‘ease’ lockdown ili kunusuru uchumi. Source: BBC TV usiku huu Watu wakipanga foleni ya kupewa msaada wa wali maharage huko Paris, Ufaransa.
  6. simplemind

    Ufaransa kuhimiza matumizi ya baskeli kukabiliana na Corona Virus

    France to pay 50 euros per person for bike repairs to boost cycling post-lockdown "(Reuters) - France will contribute 50 euros per person towards bicycle repairs after a nationwide coronavirus lockdown ends on May 11, taking an innovative step to encourage cycling and keep cars off city...
  7. Influenza

    Ligi Kuu soka nchini Ufaransa yafutwa kutokana na CoronaVirus. Maamuzi ya PSG kupewa Ubingwa au la kujulikana Mei

    Ligi Kuu Soka nchini Ufaransa (The Ligue 1) na Ligi Daraja la Pili (Ligue 2) zimefutwa baada ya Waziri Mkuu wa nchini hiyo kusema michezo yote itatakiwa kuendela Septemba 2020 Amesema kuwa michezo yote iwe inachezwa bila mashabiki au na mashabiki haitaweza kuendela nchini humo kabla ya Septemba...
  8. CHIPESI NAMISUKU

    Ukakasi wa majibu ya Naibu Waziri juu ya ongezeko la bei ya Sukari Nchini

    Mwaka 1879 Malkia aliyekuwa anaiongoza Ufaransa Bi Marie Antoniette aliambiwa wananchi wake hawana Mikate akajibu kwa kifaransa “Qu’ils mangent de la brioche” kwa maana ya kiingereza “Let them eat cake" kwa kiswahili kisicho rasmi Sana ni kuwa Waambie wale Keki. Inatajwa kuwa Brioche...
  9. S

    Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain

    Corona yaendelea kuwatoa utu mabeberu. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa tiba ya Uswizi, imelalamika kuwa Ufaransa imewachezea rafu mbaya mno Italy na Spain baada ya kuhodhi mzigo wa mamilioni ya mask za uso na glovu zilizokuwa zinasafirishwa kwenda kwenda Itali na Spain kupunguza maambukizi ya...
  10. H

    Wimbo wa Burna Boy ''On the Low" wafika mauzo ya kiwango cha Gold nchini Ufaransa

    Msanii wa Kimataifa kutoka Nigeria Burna Boy wimbo wake wa "On the Low" wafikisha mauzo ya kiwango cha Gold, yaani umenunuliwa na watu 500000 nchini Ufaransa. Msanii huyo mwaka huu na mwaka jana ameweza kupata mafanikio makubwa kuliko msanii yoyote wa Nigeria. Big up to him. Nini umejifunza...
  11. J

    Maseneta wa Ufaransa wampongeza Rais Magufuli wasema ni kiongozi mwenye maono barani Afrika

    Kiongozi wa maseneta wa Ufaransa waliopo nchini kujionea shughuli za maendeleo hasa mipango miji na miundombinu wamempongeza Rais Magufuli na serikali yake. Kiongozi huyo amesema Rais Magufuli ni kiongozi mwenye maono na bara la Afrika linapaswa kujivunia. Ujumbe huo wa maseneta 8 wa Ufaransa...
  12. B

    Tanzania yashiriki katika maonesho ya kimataifa ya paris 2020, Ufaransa

    February 24, 2020 Paris, Ufaransa TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA KWANZA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki Tanzania...
  13. FRANC THE GREAT

    Ufaransa: Rais Macron na mkewe wavamiwa na waandamanaji

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe walilazimika jana kuondolewa kwa dharura kutoka ukumbi wa sinema baada ya waandamanaji kujaribu kuingia ukumbuni na kuvuruga onesho lililokuwa likiendelea. Polisi wa kutuliza ghasia walijiweka tayari wakati waandamanaji kadhaa walipokusanyika nje ya...
  14. britanicca

    Ufaransa yazuia ndege zake kwenda nchini Iran

    Wakati Jeshi la Marekani likitoa comment. "The Pentagon has sent six B-52 strategic bombers to the military base on the Indian Ocean island of Diego Garcia, which is beyond the range of Iran’s ballistic missiles, to prepare to hit Tehran if given the order." Shirika la Ndege la Ufaransa...
  15. FRANC THE GREAT

    Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael ya Israel pamoja na Atos ya Ufaransa ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo" ama "Glass Battlefield"

    Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael pamoja na Atos ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo" Kampuni ya uzalishaji wa mifumo ya kijeshi ya Rafael (Rafael Advanced Defense Systems) ya Israel imeshirikiana na kampuni ya Atos (Atos Information Technology) kwenye mradi unaohusu uundwaji wa "uwanja wa...
  16. Nyendo

    Rais Putin na mwenzake wa Ukrain Zelensky kukutana huko Ufaransa

    Kwa mara ya kwanza leo katika kipindi cha miaka mitatu kutafanyika tena kile kinachoitwa Mkutano wa Kilele wa Normandy kuhusu mzozo wa mashariki mwa Ukraine. Mkutano huo ulioandaliwa na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel utawaleta pamoja Rais wa Urusi...
  17. FRANC THE GREAT

    Maandamano makubwa yaitikisa Ufaransa

    Mgomo wa kitaifa umeathiri shule na usafiri wa umma nchini Ufaransa Shughuli za usafiri zimesitishwa, shule zimefungwa, na katika mnara wa Eifel, hakuna watu baada ya vyama vya wafanyakazi kuitisha migomo kupinga mipango ya serikali ya kuufanyia marekebisho mfumo wa pensheni. Jiji la Paris...
  18. Nyendo

    Mgomo mkubwa kuhusu pensheni waathiri usafiri Ufaransa

    Ufaransa imeathiriwa na mgomo mkubwa ambao unafanyika leo wa wafanyakazi katika sekta ya usafiri wa umma. Treni nyingi hazifanyi kazi, shule zimefungwa na wasimamizi wa mnara wa Eiffel wametoa onyo kwa wageni kutozuru eneo hilo; kufuatia maandamano na mgomo dhidi ya mpango wa serikali kuufanyia...
  19. Nyendo

    Marekani kulipiza kisasi kwa kodi ya kidigitali ya Ufaransa

    Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umependekeza ushuru wenye thamani ya dola bilioni 2.4 dhidi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka Ufaransa kama jibini na mikoba ya wanawake, kulipiza kisasi hatua ya Ufaransa ya kuyatoza kodi makampuni maarufu ya kidigitali kutoka Marekani, kama Google, Amazon...
  20. FRANC THE GREAT

    EURO 2020: Kundi la kifo, Kundi F kuzikutanisha Ufaransa, Ujerumani na Ureno

    Habari! Tayari baadhi ya timu zimekwisha kupangwa katika makundi kwa ajili ya mashindano ya 'UEFA EURO 2020', droo iliyofanyika mjini Bucharest nchini Romania ingawa bado haijakamilika huku Kundi 'F' likitajwa kama "Kundi la Kifo" litakaloyakutanisha mataifa matatu 'vigogo' wa soka barani Ulaya...
Back
Top Bottom