Mgomo wa kitaifa umeathiri shule na usafiri wa umma nchini Ufaransa
Shughuli za usafiri zimesitishwa, shule zimefungwa, na katika mnara wa Eifel, hakuna watu baada ya vyama vya wafanyakazi kuitisha migomo kupinga mipango ya serikali ya kuufanyia marekebisho mfumo wa pensheni.
Jiji la Paris...