Nilitembelea mgahawa x kupata chakula ili nisijekufa kwa njaa, akatokea jamaa mmoja mtu wa miraba minne naye akawa amekuja kupata huduma ya chakula...kama mnavyojua tena, kula ni muhimu ili kuupa mwili afya na nguvu; akaagiza mahitaji yake naye akahudumiwa.
Mbaya zaidi alikuja na dereva wake...
Hivi kuna jambo lolote baya litatokea kama Tanzania tukiamua kuvunja uhusiano na Shirika la fedha Ulimwenguni (IMF), Benki ya Dunia (WB), au nchi ya Marekani? Badala ya mjadala wa kuendelea ama kutokuendelea kuwa na uhusiano na taasisi hizo ama nchi ya Marekani kwa nini kama taifa tusiamue...
Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kusitisha mahusiano na China kutokana na dhima ya taifa hilo katika kusambaa kwa virusi vya corona ambavyo hadi sasa vimesababisha vifo vya zaidi ya watu 300,000 duniani.
Katika mahojiano yaliyorushwa jana Alhamis Rais Trump amerejea shutuma zake dhidi...
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 (SARS Cov 2) na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi (HIV) vinafanana katika mifumo vinayoiathiri na pia tabia zake.
1. Virusi vya HIV vina Ribonucleic acid(RNA) halikadhalika virusi vya Corona vina RNA.
2...
Wakuu heshima nyingi ziwafikie
Naomba kujuzwa uhusiano wa kiasi cha mafuta unachoweka kwenye gari na matumizi yake. Zipo habari kwamba ukiweka mafuta mengi kwenye tenki la gari yako (mfano full tank), yanadumu muda mrefu kuliko ukiwa unaweka kidogo kidogo (vibaba). Ikoje hii technically...
Jamani bei ya sukari imeanza kupanda sasa kilo ni 3200 huku bei ya unga nayo ikipanda sana hadi 2100 kwa kilo
Sukari ni baada ya serikali kupiga marufuku kuingiza sukari kutoka nje?
Nashindwa kuelewa kwanini bidhaa nyeti kama sukari izuiwe kutoka nje kwa maneno eti wanalinda viwanda vya ndani...
Hivi karibuni kumetokea uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya ugonjwa wa corona na Teknolojia ya 5G.Miongoni mwa hoja zinazotolewa ni kama zifuatazo:-
1. Kuwa karibu na 5G kuna sababisha corona, ndio maana nchi zilizo athirika zaidi ni zile zilizoanza...
Kuna msemo kwamba mtu anaweza kutenda au kufanya kitu ambacho kitamfanya hadi mtu aliyekufa na kuzikwa kaburini ageuke. Ndivyo nilivyohisi Nyerere akifanya kufuatia kauli ya Kanali Ngemela Lubinga juu ya msimamo wa sasa wa CCM katika suala zima la uchumi wa kidiplomasia.
Akihojiwa na mwandishi...
Wadau kama heading inavyoeleza, mimi kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na single mother kabla sijaoa, ambaye amefankiwa kunizalia mtoto.
Baadae kidogo nikaoa msichana mdogo ambaye ndo mke wangu wa maisha.
Nimekaa natafakari kuwa huyu single maza namwachaje? Je, nimuoe awe mke mdogo?
Nipo...
Kufuatia tukio lililotokea hivi karibuni la Ndugu Paul Makonda (RC wa Dar es Saam) pamoja familia yake kuzuiwa kuingia Marekani limeacha doa la mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Marekani huku kukiwa na maoni tofauti katoka kwa watu; watu fulani wakiipongeza Marekani huku wengine...
Wabunge nchini Burkina Faso wamepitisha kwa kauli moja muswada utakaowezesha raia wa kupewa silaha ili kupambana na makundi yenye ya waasi.
Muswada huo ambao sasa unasubiri kutiwa saini na Rais unalengo la kupunguza mashambulizi yanayofanywa na wanamgambo wenye uhusiano na makundi ya al-Qaeda...
Hastings Kamuzu Banda
Joyce Banda
Wiki iliyopita nilijaribu kuwapa historia fupi ya Rais wa kwanza wa Malawi Mh Kamuzu Banda. Leo ninataka niwapitishe kidogo kwenye historia ya Joyce Banda moja ya akina Mama waliowahi kutikisa Afrika na Dunia kwa ujumla na kujizolea umaarufu. Alijipatia...
Kuna jina la kipande cha ardhi cha Africa mashariki kinaitwa "Kenya". Wakati huo huo kiongozi aliyekiletea Uhuru kipande hicho cha ardhi kutoka kwa wakoloni waingereza anaitwa " Kenyatta". Nini maana ya "Kenya" na "Kenyatta", kwa kiswahili?
Na Elius Ndabila.
0768239284
Taifa lolote duniani ili liweze kuendelea na wananchi wake kunufaika na maendeleo ya nchi yao inategemea sana uhusiano wa kimataifa.
Uhusiano wa Kimataifa unasimamiwa na sheria za kimataifa ambazo nchi mbali mbali duniani zilitia saini.
Lakini nchi hailazimishwi...
Kwa mapenzi makubwa kabisa nasema, nawapenda wanawake wa rangi zote, weusi na weupe.
Kuna uhusiano wowote Kati ya rangi nyeusi na ukali wa joto la mwilini?
Kusema kweli, imenitokea Mara zote nilipokula tunda la mwanamke mweusi/black Sana nakuta wana papuchi za Moto Sana,kuzidi wanawake weupe...
JUBA, Sudan Kusini
SERIKALI ya Marekani imeonya kuwa italazimika kuutazama upya uhusiano wake na serikali ya Sudan Kusini baada ya viongozi wa Sudan Kusini kushindwa kuendeleza mchakato wa amani.
Tamko hilo limekuja baada ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na Kiongozi wa upinzani Dkt. Riek...
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kwa upande wangu hakuna ila nilikiona kwa rafiki yangu, alimnunulia mpenzi wake gari ikiwa yeye mwenyewe hana.
Uhusiano wao haukudumu baada ya huyo mpenzi wake kumsaliti rafiki yangu vipi kwa upande wako?
Halo JF siasa.
Mkimbiza mwenge Kitaifa 2018 Engineer Charles Kabeho ambaye sasa ni DC Chato, ana uhusiano wowote na waziri wa zamani wa Elimu, hayati Charles Kabeho?
Looks like Rotimi, aka Nigerian butterscotch, has been taken off the market and his new bae is an East African super star!
Rotimi is currently boo’d up with Tanzanian singer/songwriter Vanessa Mdee, who also goes by Vee Money. She’s also an activist and television personality who is currently...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.