uhusiano

  1. B

    Nasikitishwa na uhusiano wetu na Kenya, unaumiza wakulima na wafanyabiashara

    Kati ya majirani zetu ambao wanapaswa wawe soko letu kubwa la bidhaa za kilimo na biashara nyingine ni Wakenya. Ila Kati ya watu ambao tumekuwa tukiishi nao Kama maadui kwa miaka sita Sasa ni Kenya. Nchi inayotaka kuinua wakulima na wafanyabiashara uwekeza kwenye diplomasia ya eneo lilipo...
  2. M

    Je, kuna uhusiano kati ya mwanamke kuwa muasherati na kabila analotoka?

    Habari zenu wana jukwaa. Ni matumaini yangu weekend imeenda vizuri kwetu sote. Kwa wale ambao weekend haikuwa nzuri kwao kutokana na matatizo ya kiafya basi nawaombea Dua Mungu awaponye. Nirudi kwenye mada yetu kama inavyojieleza hapo juu. Nianze kwa kusema kuwa nimekuwa nikikutana na hoja...
  3. Idugunde

    Ziara ya Waziri Kabudi yazaa matunda. Ni dhahiri Tanzania ina uhusiano mzuri na mataifa ya nje

    Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda. Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania. Mradi ambao utazalisha ajira...
  4. D

    Kuna uhusiano wowote wa kutohoa neno TANZIA kutoka kwenye TANZANIA?

    Wataalam! Ukiangalia Utofauti wa neno TANZIA na TANZANIA ni mdogo sana! Je, kuna uhusiano wowote wa inchi na neno hilo? Je, hakuna namna yoyote neno hilo likafutwa kwenye kamusi na kutaftiwa neno mbadala?
  5. B

    Mara ya kwanza kuwa na Uhusiano na Msichana wa Kitanzania. Tulishangaana sana. Ila alichofanya siwezi sahau

    Kipindi hicho ndio nimefika Tanzania toka Sweden kwetu. Nikakaa kaa hapa Dar mwishowe nikakutana na binti mmoja tukaanza urafiki. Siku nimemwambia kama hatojali awe girlfriend wangu akakubali nikamwambia then sasa naweza mfikisha hata home Oysterbay nakoishi. Nlimwambia tukutane duka fulani la...
  6. my name is my name

    Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

    Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation. Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi. Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda...
  7. M

    Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

    Ushauri wenu ni muhimu sana. Umri wangu ni miaka 50, nimeoa mke kanisani huu ni mwaka wa 25 naishi naye na tumejaliwa watoto wanne, wa kwanza na wapili wamemaliza tayari chuo kikuu na wa tatu yupo chuo kikuu mwaka wa pili. Wa nne kamaliza kidato cha 4 mwaka jana, katikati hapo miaka 18...
  8. S

    Uhusiano kati ya Tanzania na Kenya kulikoni?

    Habari wakuu, Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia. Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka. Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi. Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi...
  9. incognitoTz

    Je, na wewe unadhani Uhusiano mbaya kati ya walimu na wanafunzi ni moja ya chanzo cha kuwapo kwa maisha magumu kwa walimu?

    Wataalamu na watafiti wa elimu ya mendeleo ya watoto wadogo wanaamini kuwa zaidi ya asilimia 90 ya maendeleo ya ubongo hutokea kati ya kipindi cha umli wa mwaka mmoja (1) hadi miaka mitano (5). Hiki nikipindi muhimu sana kwa mtoto na hapa huwa anajua kipi kizuri kufanyiwa na kipi kibaya kufanyia...
  10. C

    Kukopa na kutokulipa deni, Kama una tabia hii jitathimini sio nzuri kwani inapunguza uaminifu na kuvunja uhusiano pia

    Mambo vipi wakuu Kuna baadhi ya watu katika jamii tunayoishi, wengine ni ndugu, jamaa na rafiki zetu. Huwa wanatabia ya kukopa na kutolipa deni kwa wakati au wengine kutolipa kabisa, na baada ya muda mtu anataka umkopeshe tena hali ya kuwa deni la mwanzo hajalipa. Kiukweli hili jambo...
  11. sky soldier

    Ushuhuda: Leo nimekutana na kipanga jeuri wa darasani. Kweli hakuna uhusiano wa uwezo darasani na wa maisha halisi

    Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa. Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao...
  12. ommytk

    Hivi mwanamziki Diamond Platinum Dangote wa Tanzania ana uhusiano familia ya Dangote Nigeria

    Wanajf habari wakuu naomba tu kujua mwanamziki Diamond Platinum Dangote wa Tanzania je ana uhusiano wowote na tajiri billionaire kutoka Nigeria aliko dangote?
  13. Sky Eclat

    Gazeti la Congo laongelea uhusiano wa Diamond na baba

  14. ommytk

    Kuna uhusiano wowote kujitegemea mtoto wa kike na kuchelewa kuolewa

    WanaJF hebu tupeane uzoefu kwenye hili Je, kuna uhusiano wowote wa kuchelewa kuolewa na kuanza kujitegemea kwa wadada kuna watu wanasema wadada wakianza kujitegemea wanakuwa wahuni kupelekea watu kutokuwachumbia na kuwaoa. Watu wanasema wanawake wakiwa makwao wanaolewa haraka je ni kweli.
  15. Blue Bahari

    Kuna uhusiano gani kati ya nyimbo na uchungu wa nafsi?

    Habari za mwaka mpya wandugu. Natumai mko poa kabisa. Nina hoja ambayo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, kwamba inatokana na nini? Ni hivi, je umewahi kusikiliza wimbo fulani kisha ukajikuta unaanza kupatwa uchungu wa nafsi? Namaanisha unapousikiliza wimbo fulani unajikuta ni kama unataka...
  16. Sky Eclat

    Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamebadili tabia zetu kama binadamu

    Maendeleo ya sayansi na tekinolojia yameua mahusiano ya kijamii. Leo hii kila mtu anatembea na simu. Akiwa anasubiri huduma iwe mahakamani au hospitali anaingia Instagram au Facebook. Hakuna muda wa kumsalimia aliyekaa pembeni yako. Miaka ya nyuma ilikua ni kawaida kugonga mlango katika...
  17. Mr Dudumizi

    Hili suala lina uhusiano gani na vifo vya watu

    Kwanza kbs natanguliza salam kwa kila mwanachama mwenzang hapa JF, na pia nawatakia heri ya xmass na mwaka mpya ujao. Niende sasa kwenye mada kuhusu mambo ambayo nimeyaona na kuyasikia kwa watu mbalimbali, lkn kwa kuokoa muda leo nitazungumzia matukio mawili ambayo nimeyashuhudia kwa macho...
  18. Course Coordinator

    Kwangu mimi Rais Magufuli amefanya jambo la haraka kumuondoa Naibu Waziri wa Madini, hakuna uhusiano wowote kati ya kuzungumza na kufanya kazi

    Francis Ndulane alikuwa Mhasibu Mkuu wa Tanroads Mkoa Lindi, Magufuli alipo ingia Madarakani kama Rais akamteua kuwa Mkurugenzi wa Mji Ifakara. Mwaka huu akagombea ubunge, kwenye kura za maoni ndani ya chama akashika nafasi ya tatu kwa kupata kura 21 nyuma ya Ahmed Raphael Bongi aliyekuwa...
  19. T

    Relationship between Africa and Europe should be respectful, Paul Kagame

    In the opening ceremony of Africa - Europe foundation which was attended by various personalities from both continents, including the President of the Republic of Rwanda, Paul Kagame. President Paul Kagame has emphasized that the relationship between Africa and Europe should base on mutual...
  20. Uwesutanzania

    Je, Kuna uhusiano gani kati ya msimamo wa mzazi na uzao wake?

    Inasemwa mara nyingi kuwa eti ndani ya nyumba kama baba ndiye mwenye kauli basi kuna uwezekano mkubwa wa mke kuzaa watoto wa kiume. Na kama mama ndio mwenye kauli na mamlaka basi hata kizazi yaani wanazaliwa watoto wengi wakike tena waweza ona kalibia wote ni wakike. Je kuna uhuusiano gani hapa...
Back
Top Bottom