Uingereza yaanza kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa tatu chini ya miaka mitano.
Uchaguzi huu, ambao ni wa kwanza kufanyika mwezi Disemba karibia miaka 100, unafuata ule uliotangulia ndani ya miaka ya 2015 na 2017.
Vituo vya kupiga kura ndani ya maeneo 650 kutoka Uingereza, Wales, Uskochi na...