uislamu

  1. Analogia Malenga

    Mufti wa Tanzania asema maadili ya Uislamu yanataka marehemu wote wakumbukwe kwa mazuri

    Mufti wa Tanzania, Aboubakar Zuberi ametoa pole kwa Watanzania wote na walioguzwa na taarifa za kifo cha Rais Magufuli kilichotokea Machi 17, 2021. Amesema kwa maadili ya dini ya kiislamu marehemu anatakiwa kukumbukwa kwa mazuri. Hivyo ametoa wito kwa watanzania kukumbuka mazuri ya Rais...
  2. Webabu

    Ureno yaanza kuzinduka na historia yake ya Uislamu

    Ureno kwa nchi za Afrika Mashariki iko pembe ya mbali sana na mbele ya kaskazini magharibi ya Afrika.Hata hivyo eneo hili la Afrika limejaa historia inayofungamana na Ureno kuanzia Kenya mpaka Msumbiji. Hii nchi inayojulikana rasmi kama Porugal kwa sasa inajinasibu sana na Ukristo wa madhehebu...
  3. Mzukulu

    Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

    Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro...
  4. C

    Ni upi uhalali wa ndoa ya mkeka?

    Kiukweli nashindwa kuelewa uhalali wa ndoa ya mkeka Ndoa ya mkeka ni ndoa ambayo huwalazimisha vijana kuingia katika ndoa kuwaepusha na kuendeleza zinaa Hufanywa kwa kuwavamiwa watoto hao wawapo faragha na muda huo huo ndoa hupishwa na kufungishwa na shekhe Ndoa hizi zimekuwa zikihusishwa na...
  5. Influenza

    Haki ya Mwanamke kabla ya Uislamu: Sheria Mbalimbali zinazolinda Haki za Mwanawake

    Ulinzi wa haki za binadamu ni haki ya msingi kwa kila mwanadamu ambapo mwanamke na mwanamme wana haki sawa katika kufaidi haki hizo. Kukosekana kwa haki hizo kunapelekea kudharaulika, kuongezeka umasikini na kukosekana kwa amani ya wanawake. Mikataba mbalimbali imepitishwa ili kuhakikisha kuwa...
  6. Dr Orb

    Je, wewe ni Mkristo au Muislamu? je, kalenda unayoitumia unaijua?

    Historia kuu inayozingatiwa kuhusu hesabu za miaka ni ile yenye mlengwa wa kidini. ambapo historia hiyo inasema miaka 2019 ilianzia mwaka 1 ambapo Yesu kristo alipozaliwa kwa mujibu wa Dionysius Exiguu. Hesabu hii haikuwa na uhakika na ilikuwa kimakadirio tu ya bwana Dionyius. Sababu kuu ya...
Back
Top Bottom