26 April 2023
Berlin, Germany
JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN
Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na Kukuza Demokrasia katika jimbo la Berlin Ujerumani.
Kufuatia mazungumzo marefu ya maridhiano hayo ya...
Marekani, Ujerumani na Hungary zinapinga majaribio ya Poland na mataifa ya Baltic la kuipatia Kiev "mpango" wa kuwa mwanachama wa NATO katika mkutano wa kilele wa NATO wa Julai.
Washington ina wasiwasi kwamba kuzidisha uhusiano na Kiev na muungano huo wakati wa vita kunaweza kuchangia katika...
Mbunge mmoja wa Ujerumani ametoa mito wa kufukuzwa nchini humo vikosi vya jeshi la Marekani ambavyo vimekuwepo nchini humo kwa karibu miongo minane.
Sevim Dagdelen wa chama cha mrengo wa Kushoto katika Bunge la Ujerumani (Bundestag) amesema kuna haja kwa serikali ya Berlin kuangalia upya...
Mamilioni ya wasafiri nchini Ujerumani leo Jumatatu wanalazimika kutafuta njia mbadala ya usafiri baada ya kushuhudiwa kwa mgomo katika sekta ya uchukuzi.
Viwanja vya ndege,vituo vya mabasi na treni njia za majini kote nchini vinatazamiwa kuwa vitupu kufuatia mgomo huo unaotajwa kuwa mkubwa...
Ndege ya kivita ya Urusi ilijaribu kutumia anga ya Estonia kupokea mafuta angani, hiyo ni baada ya kusahau hako kataifa ka Estoni kako ndani ya NATO, ghafla ndege za Ujerumani na Uingereza zikaibuka na kuifukuzia mbali....
========================
UK and German military aircraft have...
Ndiyo hivyo wakuu, kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
---
====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amerejea wito wake wa kutaka kusitishwa kile alichokiita vita vya "kipuuzi na kikatili" nchini Ukraine.
Wito huo ameutoa Jumatano mjini Vatican, katika hadhara yake ya kila juma, ikiwa ni kipindi kifupi kabla ya kutimia mwaka mmoja tangu...
Nadhani wengi mmesikia kuhusu tukio la Lissu kutekwa akiwa nje ya Ubalozi baada ya uchaguzi mkuu.
Sasa Naibu Balozi wa Ujerumani aliyemchomoa Lissu toka kwa watekaji wake ni huyo anayeonekana ktk video.
Je, bila huyu Mama nini kingemtokea Tundu Lissu? Je, tungekuwa naye leo hii?
Unaweza...
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Anna Baerbock amesema "hatoizuia " Poland ikiwa itatuma vifaru vya Leopard 2 nchini Ukraine.
Ukraine imetoa wito kwa nchi za Magharibi kutoa vilivyotengezwa na Ujerumani ambavyo wanasema ivtawasaidia kuishinda Urusi.
Lakini Ujerumani bado haijatoa magari ya...
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Christine Lambrecht amejiuzulu kwenye nafasi, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC Swahili).
========
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ajiuzulu
- Hatua ya Ujerumani kuisaidia Ukraine silaha kufuatia mapigano yanayoendelea baina ya taifa...
Salaam Wakuu,
Huyu Baba wetu wa Kiroho nimeanza kumkatia tamaa. Ana ahadi za Uongo. Alidai kanunua vichwa vya treni ya Mwendo kazi kwa Matumizi ya Tanzania, akadai ataleta bodi za Uvuvi na kuwapeleka Vijana wa Jimbo la Kawe Marekani na Japan kubadilishana Uzoefu.
Tutachambua moja moja ila leo...
Watu kadhaa wamekamatwa nchini Ujerumani katika jaribio la mapinduzi. Zaidi ya polisi 3000 wamesambazwa kwenye miji mbalimbali ya nchi hiyo tokea Berlin mpaka Hamburg.
Mpaka sasa jumla ya viongozi 22 wa mapinduzi hayo wameshakamatwa na jeshi linaendelea kufuatilia mtandao wa wapangaji hao wa...
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.
Ndiyo maana ya demokrasia: the majority...
Hamna namna kwa waarab sasa, na wao wameona wachangamkie fursa, Mrusi hana wa kumuunga mikono labda waarab wa Bongo tu...
=================
Germany will receive liquefied natural gas (LNG) from Qatar from 2026 and for a period of at least 15 years, Qatari Energy Minister Saad Sharida al Kaabi...
Ujerumani Ni taifa kubwa kiuchumi sana
Ingawa juzi kwenye kuwasili kwenye kombe la dunia akitokea mjini Frankfurt aiifika na nembo za kuashiria kukubali ushonga na kusapoti ushoga lengo na makusudi yake ilikuwa kuwaudhi waarabu, waarabu wakawakatalia kutua katika uwanja wao waondoke wakabadili...
Ujerumani walikuwa wamevurugwa baada ya tamanio lao la kupigia kampeni LGBTQ kugonga mwamba, maana Qatar ilisimama kidete kusema haiwezi kuruhusu kwenye ardhi yake mambo machafu kupigiwa kampeni waziwazi!!
Timu ya Ujerumani wakaingia uwanjani huku wakilalamika kuwa WAMEZIBWA MIDOMO, na wakatoa...
Germany To Withdraw Troops From Mali By May 2024
Germany's government has decided to start withdrawing its troops from Mali in mid-2023, with the pullout to be completed by May 2024, several sources said on Tuesday.
Berlin has deployed some 1,000 troops to Mali, most near the northern town of...
Inadaiwa kuwa mabehewa 30 na vichwa 2 vya treni za SGR mali ya TRC vinapigwa mnada 25/11/2022, nchini Germany kufuatia mgogoro wa TRC na EUROWAGON Railways Limited (Turkey), iliyopewa kazi ya kukarabati na kutia nakshi. TRC wamelipa Sh. 23 bilioni (35% ya kazi).
Inadaiwa kuwa Mkurugenzi...
Pesa, noti za Tanzania zina printiwa Ujerumani.
Nchi mbili tu Afrika Mashariki ndo zinachapa fedha nchini mwao ( Kenya na Congo), pia ni nchi tisa tu kiujumla Afrika ndio zinachapa fedha zao ndani ya nchi zao.
Chanzo: DW
Nchi za afrika na chapa za fedha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.