Kwenye mada. Umewahi kutana au kusikia wabongo wakijisifu ujinga? Sijui ni kutojua au sijui ni nini? Mi nawakutaga wa hivi.
1. Mi mvivu sana kunywa dawa, yaani si malizagi kabisa. Wamenisema wameacha wenyewe. Hapo anongea kwa sifa. Hajui kuwa kutomaliza dawa kuna madhara makubwa na si jambo la...