ujumbe

  1. Kurzweil

    Rais wa TEC atoa ujumbe wa Kwaresma, asisitiza Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya COVID-19

    Askofu Nyaisonga kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) asema wanatambua Dunia nzima inahangaika kupambana na maradhi ya #COVID19 yanayosabishwa na #VirusiVyaCorona Awahimiza Watanzania kutokuwa watumwa wa hofu na kuchukua tahadhari. Asema ni wajibu wa kila mtu kuufuata ukweli na...
  2. Sky Eclat

    Mke wa Rais wa Marekani ameweka ujumbe wa Valentine kwenye bustani za White House

    Jill Biden ameweka alama za moyo na katika kila moyo ameandika ujumbe Healing, Courage, Love, Compassion, Gratitude, Peace, Amor, Strength, Kindness, Family, Unity. Love Jill
  3. J

    Spika Ndugai: Marehemu Nditiye alinitumia ujumbe wa kunishukuru kwa kumuinua wiki chache zilizopita!

    Akitoa salamu zake za rambirambi wakati wa kumuaga mwendazake Nditiye, Spika wa bunge mh Ndugai amesema marehemu alimtumia meseji kwa njia ya simu akisema " mh Spika nimefanya ibada mara mbili nikikuombea kwa Mungu aendelee kukuweka hai kwa jinsi ulivyoniinua tangu niingie bungeni " Spika...
  4. M

    Ujumbe kwa Mh. Job Ndugai: Ujasiriamali una principles zake

    Mh. Speaker, ningependa kufikisha ujumbe huu kwa ufupi sana. Nimeamua kuandika baada ya kukusikia kwa mara ya pili ukiongelea ugumu wa ajira kwa vijana. Sitaki kujikita sana kwa wajibu wa serikali duniani kote kutengeneza ajira na kuhakikisha sekta binafsi inakuwa kwa kasi ili kutoa fursa za...
  5. Mromboo

    Vodacom sasa hii imezidi, tunaomba msitishe huu ujumbe wenu ambao unachukua zaidi ya sekunde kumi kuhusu uhakiki wa namba

    Wanajukwaa jumapili njema, Hivi hii kitu vodacoma wameleta wakati mtu unapiga simu kwenda voda mnaionaje? Wameshindwa kutuma ujumbe mmoja kwa kila mteja waache kutupigia kelele kila tunapotaka kupiga simu? Inafikia kiwango mpaka sasa mtu unaona tabu kupiga simu. Muda mwingine unapiga unaweka...
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Tanzania na Corona: Ujumbe wa Masoud Kipanya

  7. Sky Eclat

    Madam Rais wa Ethiopia na ujumbe wake wamepiga barakoa

    Pamoja na kuaminishwa kuwa anakuja COVID free zone lakini Madam President alikumbuka kuvaa barakoa. Hata sanitizer bila shaka alibeba.
  8. D

    Kofi la mkunga kwa mama mjamzito limebeba ujumbe mzito; Wakunga wana mema mengi ya kusimulia

    Hata mimi hapo zamani nilikuwa nawasema vibaya sana wakunga! Ikanibidi nifanye utafiti; je lawama zile kwa wakunga zinawastahili!? Katika chunguza chunguza niliweza kufika kwenye hospitali moja kama mme wa mzazi mmoja aliyekuwa leba kusubili kujifungua! Nilifanikiwa kuwa karibu sana na...
  9. Akili zangu hazipo sawa

    Tabia ya vodacom kichukua hela ya muda wa maongezi bila idhini ya mteja na kituma ujumbe "samahani umefanikiwa kununua tiketi lakini hukiweza kishinda

    Kama umewahi kukumbwa na kitu kama hiki karibu tushauriane nn tatizo la huu mtandao au ndo namna ya kujiongezea kipato chao
  10. Mkogoti

    Baba Mwenye Nyumba ana ujumbe gani kwangu?

    Nilikuwa Nacheck game ya Simba kwa baba mwenye Nyumba ambaye ni shabiki wa Utopolo FC. Nimeshindwa kushangilia maana baada ya goli nimeonekana na uso wa tabasamu, Mara nikamwona kasimama kaingia chumbani na kurudi na karatasi na kalamu Sijui alikuwa anataka kubeti lakini anasema ana ujumbe...
  11. BAK

    Ujumbe wa wazi wa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa kwa Askofu Methodius Kilaini

    Ujumbe wa wazi wa Mkt Bavicha Taifa kwa Mhashamu baba Askofu Methodius Kilaini Askofu msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba. Na John Pambalu Baba Askofu salamu. Kwanza nakutakia heri ya Krismasi na mwaka mpya. Ninakushukuru pia kwa ajili ya mahubiri/ maoni yako kuhusu mwaka 2020 kama...
  12. Mwanahabari Huru

    Ujumbe wa wazi wa Mwenyekiti Bavicha taifa kwa Mhashamu Baba Askofu Methodius Kilaini, Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba

    Baba Askofu salamu. Kwanza nakutakia heri ya Krismas na mwaka mpya. Ninakushukuru pia kwa ajili ya mahubiri/ maoni yako kuhusu mwaka 2020 kama yalivyochapishwa katika gazeti la Mwananchi. Umesema kutokana na changamoto za uchaguzi mkuu wa mwaka 2021 umetaka tusameheane kwa yote yaliyotokea...
  13. Dr am 4 real PhD

    Utajisikiaje ukipata ujumbe huu kutoka kwa mkeo?

    Mkeo amesafiri ameenda kula Sikukuu nyumbani. Anakutumia UJUMBE Kama huu. Jana nilishindwa kukuwish heri ya mwaka mpya nilikua nangoja foleni iishe. Heri ya mwaka mpya mume wangu kipenzi najivunia kua na mume kama wewe, mchapakazi, mwenye upendo wa kweli, mvumilivu, smart man, mwelewa, usiejua...
  14. Leak

    Harmonize amtumia Diamond Platinumz ujumbe wa mwaka mpya kuhusu umuhimu wa wazazi

    Wasalaam wana jamvi Msanii Harmonize kupitia wimbo wake mpya wa "WAPO" AMEMTUMIA salamu za Mwaka mpya 2021 Harmonize amemkumbusha Diamond kuhusu umuhimu wa wazazi wote wawili hasa wakiwa hai kabisa. namnukuu anasema "Kama baba na mama ndo nguzo ya dunia Wapende wote Sio wa kike anacheka wa...
  15. B

    Ujumbe wa viongozi wa dini siku ya Chrismass!

    Walezi wetu kiroho wametueleza nn leo makanisani? Huku Kagera mafundisho yamejikita kwenye Mambo makuu manne; 1. Tuombe toba kwa Taifa letu 2. Tusameane 3. Tujifunze kuwasikiliza walio na mawazo tofauti na sisi 4. Tumuenzi kristo kwa kupendana ..huko ulipo Mambo ya rohoni yaliendeshwa...
Back
Top Bottom