ukimwi

  1. C

    Vijana vyuoni kuelekea siku ya Ukimwi duniani, mwakumbushwa kuwa wapo waliozaliwa na maambukizi ya VVU

    Ni katika kuwakumbusha wale waliosahau na kuwatahadharisha wale tu wasiojua kuwa vijana muwapo vyuoni kuweni makini usiingie katika suala la kufanya mapenzi na kijana mwenzio huku ukijiaminisha huyu ni mdogo na akakwambia hajawahi kufanya mapenzi kabla ukaingia kwenye hatari.Nawakumbusha kuwa...
  2. Parabora

    Sirudii tena kupima wanawake Ukimwi tukiwa faragha, kilichonikuta jana sitakaa nisahau, tutapima hospitali

    Wakuu, Tusizoee kupimana ndani bila elimu ya counseling. Jana kidogo mtu anifie, mimi kuanzia leo tutaenda kupimana hospitali habari za ndani hapana aiseee. Usiombe yakukute
  3. Miss Zomboko

    Watoto na Vijana 300 hufariki kila siku kutokana na UKIMWI

    Ripoti kuhusu watoto na UKIMWI iliyotolewa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF, inaonyesha kuwa watoto na vijana karibu 320 wanakufa kila siku kutokana na sababu zinazohusiana na ugonjwa huo. Chanzo kikubwa cha vifo hivyo ni upatikanaji mdogo wa matibabu ya ARV na ukosefu...
  4. GENTAMYCINE

    Ukiona Mkeo / Demu wako anapenda sana Kupanda Pikipiki ( BodaBoda ) jua imekula Kwako na UKIMWI hauko mbali Kukufikia

    Waendesha Pikipiki maarufu Bodaboda hatarini kupata maambukizi ya VVU kutokana na Kushawishika kwa kile wanachodai kuwa baadhi ya abiria wao wa kike huwalazimisha kufanya ngono zembe kutokana na Kutokuwa na Nauli za Kuwalipa na Kuwaambia Wamalizane. Pengine serikali ianzishe utaratibu wa kuwa...
  5. Suley2019

    Dodoma: Bunge lakubaliana kuwa Wanaoambukizwa Virusi vya UKIMWI makusudi walipwe fidia

    Bunge limefanya marekebisho ya sheria ya udhibiti wa Virusi vya Ukimwi (VVU) na UKIMWI, ambapo pamoja na mambo mengine imeipa mahakama kutoa amri ya fidia kwa mtu ambaye ameambukizwa VVU kwa makusudi Pia, Bunge limepitisha umri wa mtoto kujipima VVU ni 15, huku wabunge wa upinzani wakitaka iwe...
  6. Miss Zomboko

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Sheria inayotoa mamlaka kwa mtu kujipima UKIMWI

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, amesema kuwa hadi kufikia Ijumaa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litaipitisha Sheria inayotoa mamlaka kwa mtu kujipima UKIMWI. Hayo ameyabainisha leo Novemba 11, 2019 wakati wa ufunguzi wa semina elekezi kwa...
  7. Miss Zomboko

    Kasi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa UKIMWI katika Jiji la Tanga Imeshuka kutoka asilimia 5 mpaka 2.2

    KASI ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi katika Jiji la Tanga yameshuka kutoka asilimia tano mwaka juzi hadi asilimia 2.2 Julai mwaka huu. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Ukimwi wa Jiji la Tanga, Mosses Kisibo wakati akiongea na gazeti hili kuhusu mikakati ya utekelezaji wa shughuli za...
  8. goldcall

    Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

    Naona vijana hufungua majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utaalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini. Ujumbe ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama...
  9. Kaka Pekee

    Kumbe hawa tunaowadharau ndio wanaotupa Trillioni Tisa kwenye Afya!

    Kumbe hawa tunaowadharau na kuwakumbatia Wachina ndio hutuchangia Asilimia 80% katika budget yetu ya Afya. Kutoa Dawa za ARV’s na Support ya kupima VVU / UKIMWI.
  10. mr vata

    Nilipokoswa koswa kuambukizwa UKIMWI nikiwa mdogo

    Katika maisha tunapitia visa vingi sana ambavyo vingine kama tukiwa makini vinatuachia funzo kubwa. Tuna mikasa mingi ambayo kama ukipata mtu wa kuisimulia kwa kuiweka kwenye kitabu au filamu basi vitu hivyo vitapata soko kubwa kutokana na mikasa iliyopo ndani yake. Leo nataka niwasimulie kisa...
Back
Top Bottom