Watu tumefadhaika, tumepagawa. hasikiki Ukimwi mtaani!
Wasio nao wameusahau na sasa tafadhali zote wamezielekeza kwa bwana Corona!
Nina mashaka wenye nao na wenye roho mbaya wasije wakajifanya wamesahau na wao ikala kwa mtu.
Tuwe macho, tusiusahau UKIMWI
Ever since antiretroviral treatments against HIV infection were introduced in 1996, scientists have eagerly been hunting for a cure for the disease.
Although drugs can allow people who carry HIV to live normal, healthy lives, people who carry HIV have to take antiretroviral treatments for as...
Earvin Johnson Jr maarufu kama Magic Johnson alizaliwa August 14, 1959, huko Lansing, Michigan, U.S. Alikuwa Mcheza Kikapu maarufu aliyeiongoza timu ya Los Angeles Lakers kushinda mataji matano ya Ligi Kuu ya Kikapu nchini Marekani ya National Basketball Association (NBA)
Johnson alipata jina...
Mimi ni binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo. Nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidato cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada...
Kuna mbaba mmoja wa kirangi mtaani ni mtu mwenye hela zake, lakini anaishi na virusi vya ukimwi (mwathirika). Huyu mzee kwa sababu ana vijihela, basi amekuwa akiwarubuni watoto wa kike yani hachagui wanafunzi, Malaya, wake za watu, ndugu zake, mpaka mashoga wote pakia. Huyu jamaa alishawahi...
A woman who exposed her friend’s HIV status has been ordered to pay her Sh 250,000 as compensation for damages.
A special HIV and AIDS Tribunal mandated with handling such cases delivered the ruling last month.
Court documents show that the claimant, identified as SNW, had been living with the...
Huyu mtoto nimemfahamu mwaka jana alipokuja Dar kwa mjomba wake. Anaishi Dodoma, hana pesa wala uhandsome ila ni hatari. Wiki mbili tu alizoishi hapa Dar kwa mjomba wake kawatafuna sana mabinti.
Kwa umri wake wa miaka 22 ana watoto 2 na mabinti 2 wanatazamia kujifungua watoto wake. Miezi...
Wadau kheri ya mwaka mpya 2020!
Nimeamua nijipinde mgongo kuandika ujumbe huu maana naona kizazi cha vijana wabichi kinaangamia huenda kwa kujua au kutojua.
Mimi ni kijana niliyelelewa kwenye maadili ya kumcha Mungu na wazazi. Niliyaishi maisha hayo yakuwa na hofu ya Mungu hadi kufikia umri wa...
Naomba kuuliza wataalam, unapaswa upime mara ngapi kujua kama una ukimwi.
Jana nimempima mtu majibu yakaja positive ila yeye anasema kapima juzi ana negative, pia alipima last month alikua na negative. Tumeenda hospitali dokta akasema lazima majibu yathibitishwe na unigold test na kua hizi test...
Serikali naomba iweke utaratibu wa kuwagawia condom.
Vijana wa kike na wa kiume kuanzia shuleni kama wanavyofanya kuwapa pedi.
Maana hali ni tete jinsi wanavyoshiriki ngono zembe
Hasa kipindi cha likizo,sikukuu na mvua kiukweli hali ni tete sana
Niko mkoani niliyoyaona hali ni tete sana...
Habari ndugu zangu maana Watanzania wote ni ndugu. Mimi ni mkazi wa Tanga na siku yangu ya kwanza ya maisha yangu kwenda kupima UKIMWI katka hospitali fulani.
Nimeyakimbia majibu kwa kuwa na hofu ya kupata majibu. Je ni njia gani sahihi ya kupata majibu yangu?
Na wewe unaweza kutoa ushuhuda...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Rais wa Tanzania, John Magufuli amesaini sheria ya Watanzania kujipima wenyewe Virusi vya Ukimwi (VVU).
Novemba 12, 2019 Bunge la Tanzania lilipitisha marekebisho ya Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa VVU na Ukimwi yaliyoruhusu umri wa kupima virusi vya...
Utafiti wa vipimo vya awali vya Virusi vya Ukimwi(VVU) kwa vichanga waliozaliwa na akinamama wenye maambukizi umeonesha vipimo vipya vimefanya vizuri asilimia 100.
Utafiti wa ‘BABY’ uliofanywa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kipimo cha Early Infant...
Sijajua kwa Mikoa mingine bali kwa Mkoa niliopo wa ‘ Wajanja ‘ na ambao Mimi GENTAMYCINE ndiyo nasema Mji Mkuu wa Tanzania (na siyo Dodoma ) kuna ‘ Kajitabia ‘ ka Kipuuzi nimeanza Kukaona na naona kanaanza Kuota Mizizi ambapo utakuta Muathirika wa VVU/ UKIMWI anaishi Mbagala lakini cha...
Wakubwa Shikamooni...
Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mada mbalimbali ambazo zimekuwa zikiwekwa humu kwa kuanisha jinsi gani Wadau humu wanavyoloweka na walivyo wakwale kwenye sekta nzima Ngono zembe.
Nimekaa nimetafakari nikajiuliza hivi mleta Mada lengo lake nini? Ni kuaminisha Umma kuwa...
Baada yakujionea takwimu za maambukizi ya ugonjwa mwezi huu sasa hebu tutete kidogo. Kiukweli serikali na mashirika yanahaha kupunguza ongezeko la maambukizi mapya ya UKIMWI kila kukicha lakini wapi. Licha ya kutoa elimu mbalimbali lakini bado somo halieleweki na hapa sasa hebu tuulizane tatizo...
Ugumu wa maisha umefanya familia nyingi za uswahilini kushindwa kuelekeza maadili mema kwa watoto wao, watoto wanaishi kama watoto wa kuku aliyeanza kutetea, hili ni jambo linalofichwa, halielezwi wazi wazi.
Tukitaka kuadhimisha siku ya Ukimwi ni lazima tuanzie ngazi ya chini kabisa, ni...
Kuna jamaa alikuwa rafiki yangu wakati nipo chuo miaka kadhaa iliyopita. Sasa kuna siku alilala na msichana bila kupima. Baada ya kumaliza ngono akawa amemsisitiza akapime baada ya mwezi halafu amtumie majibu, msichana akamwambia sawa.
Kama mwezi mmoja hivi kupita jamaa alimkumbusha msichana...
Habari wana Jamvi.
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kutupa uzima tena hadi wakati huu. Mambo mengi yametokea katika wiki hii lakini cha muhimu tuko hai basi tumshukuru Mungu.
Nikienda kwenye mada moja kwa moja ni kwamba, katika wiki hizi mbili kuelekea siku ya leo ambayo ni siku ya UKIMWI duniani...
Siku ya UKIMWI Duniani huadhimishwa kila tarehe 01 Desemba ikitoa mwanya kwa kusherekea na kuunga mkono jitihada zinazofanyika Ulimwenguni za kuzuia maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI, kuongeza uelewa kuhusu UKIMWI na kuwafariji wale waishio na Virusi hivyo
Tangu Siku ya UKIMWI ilipoanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.