umasikini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sigara Kali

    Kipato changu kwa mwezi ni 150,000/- nipeni mbinu ya ku-save nami niondokane na umasikini wa kipato

    Najua hili sio jukwaa la uchumi ila kutokana na unyeti wa jukwaa hili maana naamini ndio jukwaa linaloongoza kutembelewa zaidi na watu mbalimbali mmoja wapo Mimi Sasa kama mada inavyojieleza, kutokana na hali halisi ya maisha na ugumu wa ajira nilipata mchongo flani ambao salary yake ndo hiyo...
  2. kavulata

    Sababu za CCM kutoanguka tangu Uhuru hadi sasa

    CCM ni chama cha ukombozi, na vyama vingi vilivyopigania Uhuru wa nchi zao havipo tena madarakani lakini CCM bado ipo tu. Yafuatayo ni baadhi ya michango iliyosababisha CCM iendelee kubaki madarakani: 1. Haina ubaguzi mkubwa wa wananchi wake: Baada ya uchaguzi kwisha Hakuna tofauti kimaisha...
  3. vanlizer_fx

    Biashara ya fedheha iliyonitoa kwenye umasikini

    Nchi yetu watu wanaotupenda hatuwajui na watu wanaotuchukia hawatufahamu Thread in a nutshell[emoji993]
  4. Kamanda Asiyechoka

    Huku viongozi wa CCM wakizidi kutakata na kushereheke miaka 45 ya chama chao, Watanzania wanazidi kuteseka na umasikini

    Wananchi wakihangaika kupata Maji. Viongozi was CCM wanatakata kama dhahabu
  5. C

    Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

    Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata. Naitwa...
  6. BAKIIF Islamic

    Kwetu sisi waislamu, tunaamini umasikini ni dalili ya kiama

    Inafahamika kuwa umasikini ni ukosefu wa chakula, makazi, mavazi, huduma za afya na mahitaji mengine ya msingi kwa sababu ya kipato duni. Licha ya fursa zinazopatikana kutokana na maendeleo ya teknolojia, umasikini hivi leo ni moja kati ya matatizo makubwa kabisa yanayoukabili ulimwengu. Katika...
  7. Abraham Lincolnn

    Kusherehekea siku ya kuzaliwa hali ya kuwa wananchi wanateseka na umasikini

    Wakuu nisipende kuwachosha Ila inasikitisha sana kuona ikulu ambapo Nyerere aliwahi kusema kuwa ni mahala patakatifu imebadilika na kuwa pango la walanguzi. Leo ikulu hapafanyiki tena mikutano ya kujadili mikataba ya madini,utiaji saini miradi ya maendeleo n.k Bali imekuwa sehemu ya kufanya...
  8. Sky Eclat

    Haya ndiyo maisha halisi ya takriban 70%; bado tunapigana na ujinga, maradhi na umasikini

    Haya ndiyo maisha ya takriban 70% ya Watanzania. Bado tunapigana na maadaui tuliowarithi kwa Wakoloni miaka 60 imiyopita Ujinga, maradhi na umasikini. Mtoto anaezaliwa katika nyumba hii anategemewa akue salama, fikiria changamoto za kudhibiti mbu katika nyumba hii na uepukane na malaria...
  9. L

    FOCAC yanyanyua wakulima wa Afrika kimapato na kuondokana na umasikini

    Mkutano wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC), umemalizika hivi karibuni mjini Senegal, Senegal. Mkutano wa mwaka huu ni muhimu sana kwasababu umeonesha hatua kubwa zilizopigwa katika miongo miwili tangu mkutano wa kwanza ufanyike mjini Beijing mwaka 2000. Wakati ushirikiano...
  10. beth

    Rais Samia: Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi unakua kwa kasi. Tumepunguza kiwango cha umasikini

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ni miongoni mwa Nchi 10 za Afrika ambazo Uchumi unakua kwa kasi. Pia, imekuwa na utulivu wa Mfumuko wa Bei na Thamani ya Fedha. Ameeleza, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini...
  11. karv

    Kwanini maeneo mengi ambayo CCM ina nguvu ndio yanayoongoza kwa umasikini?

    Habari zada huu Naomba moja kwa moja niende kwenye mada maana nina ushahidi pia licha ya kwamba kama upo wanajamvi mnaweza kuuweka Katika pita pita yangu humu jf nilikutana na reply moja na ukuu "maeneo mengi ambayo CCM inanguvu ni masikini sasa" Moja kwa moja ikabidi nianze kuangalia maeneo...
  12. Yoda

    Familia pana tegemezi (Extended Family) ni chanzo cha umaskini kwa watu wengi nchini

    Kwa wale waliosoma Civics watakumbuka aina mojawapo ya familia ya "extended family" ambayo kwa kiswahili kisicho rasmi ni aina ya familia pana inayokusanya watu wengi zaidi ya wazazi na watoto wao. Hii ni familia inayohusisha watu wengine wengi wasio watoto wa mwenye familia. Vijana wengi...
  13. P

    Nisaidieni, umasikini wa familia unanitatiza

    Wakuu habari zenu, Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia. Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income. Lakini Kuna sense of...
  14. Frumence M Kyauke

    Bill Gates: Sipo tayari binti yangu kuolewa na masikini. Asema washinda kamari ni maskini pamoja na hela nyingi wanazoshinda

    BILL GATES AFAFANUA KWANINI BINTI YAKE HATAOLEWA NA MASIKINI: Mwandishi mmoja wa habari katika kikao kilichofanyika Marekani alimuuliza Bill Gates. Je, angekubali binti yake kuolewa na masikini? Bill Gates alijibu kama ifuatavyo: "Kwanza kabisa, elewa kuwa utajiri haimaanishi kuwa na akaunti...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Sikukukataa mwanangu; Umasikini ulifanya mama yako anikimbie

    SIKUKUKATAA MWANANGU; UMASIKINI ULIFANYA MAMA YAKO ANIKIMBIE. Kwa Mkono wa, ROBERT HERIEL. © maandishi ya Robert Heriel Kwa lugha ya Kiswahili. Taikon wa Fasihi Anawasilisha "Sasa nimebaki Peke yangu, hata waliowangu hawanitaki, sio wangu tena, ingawaje ni Mali yangu kiasili lakini dunia...
  16. Mshuza2

    Dalili mojawapo ya umasikini ni kufurahia tajiri anapopata matatizo

    Ni kwanini masikini huwa wanafurahi sana wakiona tajiri kapata matatizo?Nafsi zao zinasuuzika sana wakiona tajiri kapata majanga! Yaani roho fulani hivi za kichawi. Yaani badala wajifunze kwa waliofanikiwa wao kwao ni furaha eti "tumefanana". Si ajabu kuwakuta sehemu wamekaa wakiteta kwa...
  17. Miss Zomboko

    #COVID19 Mamilioni ya Watu watumbukia katika Umasikini mkubwa kutokana na janga la CoronaVirus

    Kulingana na Benki ya Dunia, kati ya Watu milioni 88 hadi 115 wanasukumwa katika Umasikini kutokana na Janga la CoronaVirus, na wengi wanapatikana Nchi za Asia Kusini na Kusini mwa Jangwa la Sahara Makadirio yanaeleza Mwaka 2021, idadi hii inatarajiwa kuongezeka kati ya milioni 143 na 163...
  18. Da Vinci XV

    Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

    They say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree But, what can poverty buy? Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii. Hapa duniani hakuna...
  19. G

    SoC01 Umasikini chanzo cha maswaibu

    UMASIKINI CHANZO CHA MASWAIBU. Tarehe 21/07/2021 usiku wa sikukuu ya Eid-el-Hajj, ambapo baada ya shamra shamra za mchana katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Mnamo saa tano usiku tukiwa tunarejea nyumbani tukaona gari imenasa kwenye mchanga na watu wakifanya jitihada za kulinasua...
  20. Jeef George

    Maisha bila umasikini wa fikra

    Habari karibu katika andiko hili la story for change,Lenye kuhamasisha jamii kuelimisha na kubadili mitazamo hasi kuwa chanya yenye kuleta msukumo wa jamii iliyolala katika wimbi la umasikini na kuamka katika mafanikio ya utajiri na jamii yenye kipato. Ndimi mwandishi wako Ndugu jeef george JF...
Back
Top Bottom