Umaskini wetu ambao mahala kwingine umetopea, ujinga tulionao unaosababisha maradhi kwa watanzania wengi chanzo chake ni CCM.
Siku CCM ikiondoka madarakani, Umaskini utapungua, ujinga utakuwa kwa watu wachache na maradhi yatadhibitiwa.
Japokuwa sina elimu au ufahamu mkubwa kuhusu ile ishu ya viongozi wa umma kuweka wazi mali zao kwenye mamlaka husika lakini nina uhakika kuna vitu havipo sawa.
Nawaza hivi kweli viongozi wetu wanaandika mali zao wanazomiliki za ukweli TAMISEMI au tunapigwa changa la macho?
Kama vipi tuwe kama...
Wakuu poleni na majukumu,
Moja kwa moja kwenye mada,kuna hizo indicator of poverty tulizosoma huko shule kama vile lack of capital,lack of education, poor infrastructure nk. Hizo mimi hazinihusu Naomba tuziangalie hizi dalili halisi za Umasikini kwa watanzania kama ifuatavyo👇
1: Unaamini sana...
Mtazamo wangu;
Kama tukichukua matajiri wakubwa 1000 wanaotokana na umiliki wa viwanda; viwe vya kati au vikubwa.
Pamoja na matajiri 1000 wanaotokana na kilimo; wakapewa sera nzuri ya kodi, sera nzuri kwa masoko ya nje, sera nzuri katika kuagiza vipuli, na wakawezeshwa kwenye mitaji ya...
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI
Na. Habibu Mchange
Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali
Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.
Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa...
Hivi kweli Afrika ni masikini? Na kama ni kweli Afrika ni masikini kwanini Afrika ni masikini? Hili ni swali ambalo waafrika wengi na watanzania wamekuwa wakijiuliza, lakini je kwanza tujiulize ni kweli Afrika ni masikini?
Licha ya bara la Afrika kuwa na utajiri mwingi wa rasilimali na amali...
Tafsiri ya umasikini ni laana. Yaani nimeangalia Familiya za kibongo watoto wa kike ndo wanaleta umasikini yaani mtu anazalia kwao bila hata Aibu
Yaani wazazi wamekulea Kwa shida bado unashindwa kuolewa unaishia kuzalia kwenu huku baba wa mtoto hachangii chochote
Unazaa mtoto then hujui nani...
TUACHE KUFARIJIANA; UMASIKINI NI LAANA!
Anaandika, Robert Heriel
Angalizo; Kama hutaki ukweli pita kushoto sio lazima usome, Kama hutaki andiko refu pita kushoto. Kama unapenda maneno matamu matamu! Pita kushoto, leo sina hayo maneno ya uongo uongo!
Ukweli usemwe! Ukweli ndio utakaotuweka...
Moja ya majukumu yangu ni kuwasaidia wafiwa kuandaa nyaraka muhimu za mirathi na kuwapa ushauri ni namna gani wanaweza kulinda mali za wapendwa wao marehemu na haki za warithi wao kisheria pindi wanapokuwa wamefiwa ikiwemo ufunguaji na uteuzi wa wasimamizi wa mirathi.
Katika utendaji wangu huu...
Salaam Wakuu,
Natamani kuona kila mtu akihesabiwa kwa maendeleo sawa ya nchi yetu.
Ila bado nailaumu Serikali na NBS kwa kulifanya lionekane swala la Kisiasa.
Wameshindwa kutumia Teknolojia kufanikisha hili swala kwa 50% siku ya kwanza badala yake siku ya kwanza wanaenda kufanyiwa Sensa watu...
Thamani ni Chakula, fedha ni namba huna uhakika nazo.
Utajiri ni chakula, Walioamua kulima wakisema hawauzi chakula chao, sijui kama tutaweza kula hela. Chakula ndio utajiri kwa kuwa ni mfumo asilia wa kimungu.
Hela sio utajiri hela ni mfumo wa namba ulioanzishwa na wasiokuwa na mali...
Ngoja nikuambie kitu kitakachokushangaza,siku moja nikiwa ninarudi nyumbani jioni,baada ya kumaliza shughuli zangu za kujenga taifa, nilimuona mzee mmoja akiuza matikiti maji kandokando ya barabara .Orodha ya bei yake ilisomeka tikiti maji1 kwa TSh. 3,000 na matikiti maji 3 kwa TSh.10,000...
Picha kwa hisani ya Haki Elimu
1. UTANGULIZI
Elimu ni moja ya sekta za kipaumbele zilizoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, na katika Sera ya Mafunzo ya Elimu (ETP, 2014) ambayo Serikali imejitolea kutoa miaka 11 ya elimumsingi bila malipo kwa wote kuanzia elimu ya awali hadi...
Akitoa mada yake katika mazungumzo ya miaka 30 ya vyama vingi vya siasa, Zuberi Zitto Kabwe, alieleza kwamba kwa miaka mitatu tu, utawala wa JPM ulitengeneza masikini milioni nne, ambao,hapo awali, walikuwa wanajimudu kimaisha.
Hii maana yake JPM angetawala miaka 10 basi robo tatu ya watanzania...
Kwenye mnakasha huu nitaangazia Ajenda za vijana na matatizo yanayo wakumba na Suluhu ya Changamoto zao.
Kulingana na sensa ya 2012 vijana ndio kundi kubwa kwenye muundo wa demographic ya nchi yetu.Vijana wanachukua kwa makadilio zaidi ya 75%.
"Uchawa" vijana wao huita hivyo wakiimaanisha ili...
Nguvu inayomsukuma mwanamke, kuingia kwenye mahusiano, kwa asilimia kubwa huwa ni umasikini.
Wengi wanaingia kwenye mahusiano, ili kupata uhakika wa kula, kuvaa, kumiliki majengo, magari, kumiliki miradi, kupanda vyeo n.k
Hawaingii kwenye mahusiano, kwa sababu ya mapenzi ya kutoka moyoni; ndio...
Takriban Watu Milioni 71 kutoka Nchi zinazoendelea wametumbukia katika umasikini ndani ya miezi mitatu (Tangu Machi 2022). Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) inasema hali hiyo imetokana na kupanda kwa Bei za Vyakula na Nishati kutokana na Vita inayoendelea...
Bila kuwepo Mikakati, Shirika la Kazi Duniani (ILO) linakadiria kuwa, Idadi ya Watoto wanaotumikishwa inaweza kuongezeka kwa Milioni 8.9 ifikapo mwisho wa 2022, kutokana na umasikini pamoja na kuongezeka kwa mazingira magumu
Hali ya Ajira kwa Watoto inatajwa kuwa mbaya zaidi katika Nchi...
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi
Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.