umasikini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mtungu

    Mgodi wa Kigwase Tanga kuna umasikini wa kutisha, hakuna maji wala umeme

    Ni kweli unatoa kalibu madini yote yanayochimbwa duniani; kwanini kule kuna umasikini wa kutisha hakuna maji wala umeme. Kuna mto umba ndo mtetezi wao kwa maji japo yana magadi ukibandika maharage siku mbili hayaivi. Tabu ni nyingi sana kule hakuna mawasiliano mitandao ya simu haikamati mpka...
  2. Barugize

    Natamani kujua kinachosababisha umasikini kwa vijana wasomi

    Habari za Muda huu wana JamiiForums. Mimi ni kijana mjasiliamali kwa muda wa mika 10, kuna mambo huwa najiuliza kila siku nikiwa peke yangu sasa leo nimona ni changie na wana JamiiForums wenzangu. Suala la Umasikini na Utajiri. Kwanini vijana wengi hususani Wasomi ndio wanao hangaika sana...
  3. Mhafidhina07

    Tukiachilia mbali umasikini /ufukara wa wazazi wetu ilishawahi kujiuliza unakwama wapi?

    Umasikini si ukilema ila ni hali ya kukosa mambo muhimu ambayo mtu unayahitaji katika maisha yako ya kila siku ,japo wapo watu wanajaribu kusema masikini ni kilema ila anaekosa hayo mambo muhimu anaitwa fukara,siwezi kubisha ila mtazamo wangu umependa kuamini nivyoamini. Nimeona kwa asilimia...
  4. F

    Umasikini ni Kikwazo cha Ukuaji Demokrasia Afrika

    Kuna mtazamo duniani kuwa wasio na kazi ya kipato ndiyo hutengeneza hadhira kwa wanasiasa majukwaani na pia hufanyika ama wateja au abiria wa difenda na karandinga. Umaskini wa kipato unakwaza ukuaji wa demokrasia barani Afrika: 1. Chaguzi za Afrika zimeghubikwa na rushwa hatarishi kwa...
  5. K

    Tuache unafiki kipato cha tsh 7,000 kwa siku ni umasikini wa kutupa

    Watanzania tutafute suluhisho na sio kuwa wanafiki. Kipato cha tsh 7,000 kwa siku hakitoshi na ni umasikini. Tunaweza kutofautiana kwenye siasa lakini sio ukweli hili. Badala ya kujidanganya tutafute mbinu bora. Vilevile boda boda hazija tengenezwa kwasababu ya usafiri wa abiria na inatakiwa...
  6. Nigrastratatract nerve

    CHADEMA wasemehewe hawajui walitendalo kwani umasikini wao unawaponza na kufanywa kuwa mavuvuzela

    ELEWA, waathirika wakubwa wa utawala wa Rais Magufuli sio CHADEMA au vyama vya upinzani, bali waathirika wakubwa ni kikundi fulani ndani ya CCM, ambacho kinajulikana kwa sasa kama Walamba asali/WAHUNI. Hayati Magufuli aliwahi kusema kuna kikundi fulani ndani ya CCM ambacho hakipo tayari kwa...
  7. Mamujay

    Aina 4 za utajiri na aina 5 za umasikini

    Aina 4 za utajiri na aina 5 za umasikini 1. Utajiri kutoka kwa Mungu. 2. Utajiri kutoka kwa shetani. 3. Utajiri wa kurithi. 4. Utajiri wa bidii yako ya kupambana Aina 5 za umasikini. 1. Umasikini kutoka kwa Mungu. 2. Umasikini kutoka kwa shetani. 3. Umasikini wa kurithi. 4. Umasikini wa...
  8. Mr. Purpose

    Mpaka sasa mitandao ya kijamii imekusaidiaje katika harakati za kupambana na umasikini?

    Mkuu kwema? Pole na uchovu wa safari ya kuperuzi JF. Boss, ebu tuongee kidogo kuhusu hii mitandao ya kijamii mpaka leo imekusaidia chochote ? Au unaonaga mauzauza tu 😅? Graduate uliyehitimu chuo na hauna Ajira, vipi hii mitandao ya kijamii unaichukuliaje? Ni sehemu ya kupotezea muda na...
  9. M

    Ukosefu wa ajira na umasikini unasababishwa na viongozi wa serikali wasio kuwa na maono

    Bila shaka mu wazima kabisa. Leo katika mizunguko yangu ya kusaka tonge,, nimepita barabara ya g/mboto... Nimeona wameanza Ujenzi wa barabara na vituo vya magari ya mwendo kasi,, wakati gari imesimama kwenye foleni nimetafakari mengi sana... 1. Nimeona wakandarasi wa kichina, hivi kwanini...
  10. Makonde plateu

    Mimi nasimama na Bashe, Mpina alikuwa katili na amewapa umasikini wavuvi wengi sana

    Mpina leo hii ndiyo ujifanye mwanaharakati wa kuikosoa serikali? Hivi ninyi wanasiasa acheni unafiki acheni kuwachezesha Shere waTanzania au kisa mnawaona waTanzania mburula? Mpina kipindi ni waziri tunajua madudu yako uliyoyafanya kwa wavuvi wale wa ziwa Victoria mpaka ikafikia hatua...
  11. Nyankurungu2020

    Bashe unaumiza Watanzania kwa faida zako binafsi. Luhaga Mpina alisimamia Sheria, hakutia umasikini wavuvi

    Luhaga mpina alisimamia sheria ya Bunge. Sheria zipo wazi kabisa pamoja na kanuni zake. Sasa kama hairuhusiwi kuvua kwa nyavu haramu kwa nini waziri asisimamie sheria? Ila wewe umejitoa fahamu. Umeshindwa kulinda maslahi ya mlaji nafaka sasa watanzania wanahangaika. Maharage yamekuwa ni anasa...
  12. Yoda

    Kwa wale ambao hamjawahi kupitia umasikini kabisa

    Bei za vyakula zikipanda kama nyakati hizi maskini ndio wanaoteseka zaidi,inabidi wabadili ratiba za milo na kiasi . Ugali ukibaki hautupwi, unaliwa asubuhi na chai. Maskini ndio wanaoteseka na huduma mbovu za Afya, wanasongamana hospitali, wanachelewa kupata huduma au wanaweza wasipate huduma...
  13. Kamanda Asiyechoka

    Miaka 46 ya tukitawaliwa na CCM huku watanzania wakiwa na umasikini wa hali ya juu. Rais Samia akikata keki ikulu na kuchekelea.

    Kila kona kuna shida ya maji. Wanafunzi bado wanatembae umbali mrefu kuta kutafuta elimu Kodi kandamizi na tozo za kibabe Leo hii mkuu wa nchi anakula keki bila huruma kwa wananchi.
  14. Mwanga Lutila

    Wenzetu mmewezaje kuvunja 'cycle' ya umasikini wa ukoo/familia?

    Kuna familia na Koo zipo hakuna aliyemaliza form 4 wote elimu iliwashinda. Kuna familia na Koo mmoja tu kafanikiwa kufika chuo na kumaliza ila kazi hana. Kuna familia na Koo ndio unakuta masikini wa kukufuru, mabinti wote wamezalia nyumbani, hakuna aliyeolewa na vijana nao wote wameleta wake zao...
  15. mdukuzi

    Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

    Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba. Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko. Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea. Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu. Tukaenda...
  16. T

    Umasikini unaanzia kwenye mfumo wetu wa elimu ambao umepitwa na wakati

    Nauona umaskini unaanzia pale mtu uko zako chuo halafu unakaa miaka zaidi ya mitatu bila kufanya kazi unakamua pesa tu za wazazi kukulipia ada na malazi bila kuingiza chochote na mwisho wa siku ajira hakuna! Huu ni umasikini tuliokubali kujitengenezea bila kujua kuwa ni chanzo cha umasikini...
  17. saidoo25

    Mgawo wa umeme ulivyowaachia umasikini watanzania 2022

    12 Septemba 2021 ni siku ambayo Tanzania iliingia kwenye mgogoro mkubwa wa kiuchumi baada ya kuteuliwa Januari Makamba(MNEC) kuwa Waziri wa Nishati. Mwaka 2022 unaelekea kufikia mwisho ni mwaka ambao watanzania wengi wa hali ya chini wamefilisika na wengine biashara zao nyingi zimekufa na...
  18. P

    Hakuna mpango wowote wa kuwanasua Watanzania na umasikini uliyotopea!

    Nilimsikiliza Rais Dkt. Samia akigusia suala la behewa zetu used akisema, zimeagizwa ili zianze kutumika kabla ya zile mpya na nzuri na zenye gharama kubwa kuja, na ambapo amesema zitakuja mwaka kesho 2023. Swali la kujiuliza, kulikuwa na uharaka gani wa kutumia pesa zingine ambazo ninahisi...
  19. raxx

    Je, mfumo wetu wa elimu ni chanzo cha umasikini?

    Moja kwa moja kwenye mada!! Mara nyingi najiuliza kwamba suala hili la mfumo wetu wa elimu kuzalisha mbumbumbu, Serikali hailioni imeshindikana kuubadilisha, au kuna manufaa gani inapata kwa mfumo huu. Miaka 7 ya primary school tunafundishwa Mkwawa alikufa mwaka gani? Mara Kinjekitile Ngwale...
  20. Expensive life

    Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

    Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa. Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada. Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote...
Back
Top Bottom