Naomba kutumia mifano ya vijana wawili; Esau na Yakobo
Esau alikuwa mwindaji na Yakobo alipenda kukaa nyumbani (mfugaji, mkulima)
• Esau anategemea kuamka asubuh kwenda kutafuta chakula(kuwinda), bila kutoka siku hiyo anashinda na njaa. Tatizo lake sio kwamba ni mvivu, hapana tatizo lake ni...