Haya Wana Tanga, karibuni kwenye mapokezi ya kishindo ya wanetu Oddo Ummy na January;
MAHALI: Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
TAREHE: 19 Agosti 2024,
MUDA: Saa 8 Mchana.
Chakula, Vinywaji na burudani vitakuwepo.
NB: Msafara utaanzia Maweni mpaka Mjini (Mkwakwani Stadium) - Nyumbani ni nyumbani...