unafiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Superbug

    TBC KIPINDI CHA DURU ZA SIASA NI UNAFIKI MTUPU. MBONA SIASA ZA TANZANIA MNAZIKWEPA?

    TBC SIASA ZA TANZANIA hamzijadili kama mnavyochambua SIASA ZA nje. Mambo ya kina mdee bungeni na utekaji watu mmekaa kimya ila siasa za Kenya mnazichambua vema
  2. Hypersonic WMD

    Ukitaka Rafiki wa kweli fuga mbwa! Hawa viumbe hawanaga unafiki

    Wakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
  3. GENTAMYCINE

    Je, Mbwana Samatta karejeshwa Taifa Stars kwa Shinikizo, Uwoga, Unafiki au kwa sasa Kiwango chake Kimeimarika huko aliko?

    Manake nakumbuka pia Baba yake Mwanae alipoachwa alifura kweli kweli utadhani Tanzania Mchezaji ni Mwanae tu.
  4. Gabeji

    Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko acha unafiki wewe unaacha lini siasa?

    Tanzania na Afrika kwa ujumla tumekuwa na tabia na tatizo sugu la viongozi wetu kuwa na tabia ya unafiki, ubinafsi, uroho wa madaraka," what they preach is contrary what they are doing" Watanzania tuamka sasa tabia za namna hii tuwe tunazikemea hadhalani, hawezekani kiongozi yeye kaacha taaluma...
  5. B

    Maandamano ya leo ya CHADEMA yamedhihirisha unafiki wa Watanzania hasa vijana tofauti na Wakenya

    Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road) Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio...
  6. G

    Demokrasia ya Marekani na unafiki katika mataifa mengine

    Marekani ni taifa ambalo mara nyingi linaonekana kama mfano wa demokrasia kwa mataifa mengine duniani. Hata hivyo, kuna muktadha wa kipekee ambao unahitaji kuangaliwa kwa karibu: wakati nchi hii inapojisifu kwa kuimarisha demokrasia na haki za binadamu, hali ya ndani ya nchi hiyo siyo kila...
  7. UMUGHAKA

    Mke wa mtu ni Sumu ila Mume wa mtu ni Asali?

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Kumekuwa na Video ya Binti mmoja inayozunguka mitandaoni ikionyesha namna anavyobakwa na kukawitiwa na Vijana kadhaa,Vijana hao ambao wamesikika wakitamka hadharani na kumshurutisha yule Binti akili hadharani na kumuomba radhi Afande. Kwa akili ya...
  8. M

    Waonyeshe kuwa umejua unafiki wao ila hujadhurika chochote

    WAZUSHI WAKIKOSA UBAYA WAKO BASI WATAZUSHA, NI FURAHA YAO KUONGELEA MABAYA TU YA WATU 😔 Kama wewe ni yule ambaye unataka kujibu kila mtu basi jua utajichelewesha . Kama wewe ni yule ambaye ukisikia ulivyosema kipindi haupo basi unakorofishana na uliowaacha basi jua unajichelewesha. Kama wewe...
  9. GENTAMYCINE

    Unafiki na Upuuzi kama huu ndiyo huwa unanifanya niwe na Hasira na Awamu hii ya Mama yenu

    THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has been instructed to suspend all operations involving arresting traders, as well as suspending inspections on electronic fiscal devices receipts for at least one month. Thobias Makoba, the chief government spokesman, late yesterday that this was the first...
  10. Mzalendo Uchwara

    Tuache Unafiki: Bashe alichukua hatua sahihi kumaliza tatizo la sukari. Hongera Dr. Tulia kwa kumlinda na kulinda maslahi ya nchi

    Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit. Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa...
  11. GENTAMYCINE

    Acha Unafiki ni Nguvu Kazi ipi unayoitetea hapa wakati walipokulilia na Kodi Kero na Kodi Komoa zako uliwajibu Kidharau wahame wakaishi Burundi?

    Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema jinamizi la ajali nchini limezidi kuwa kero huku kutofuata sheria akitaja mojawapo wa chanzo kikuu, huku akiwataka maofisa usalama barabarani kutoangalia namba za gari ni la Serikali au binafsi sheria itumike sawa kwa wote. “Madhara yake tunapoteza...
  12. Mbahili

    Mtanzania lazima awe na chembechembe za unafiki 99% na uhalisia 1%

    Nilikuwa najiuliza maswali kibao. Mbona watanzania tunapiga vita vitu ambavyo tunahisi viko mbali wakati kiuhalisia tunavyo nguoni na damuni mwetu? Naomba nieleweke; hoja yangu ni ya kujenga na kufikirisha tu; Majuma kadhaa imepita tumesikia serikali imefungia taasisi fulani kwa kuleta vitabu...
  13. GENTAMYCINE

    Najiweka pembeni juu ya huu Unafiki na Kuonewa wazi wazi kwa KMC FC ili tu Simba SC yangu itengenezewe Mazingira ya Kimagumashi iwe Mshindi wa Pili

    Najua tu kuna wana Simba SC watanichukia kwa hili, ila ukweli ni kwamba TFF, TPLB na Simba SC wanaionea KMC FC.
  14. GENTAMYCINE

    Waziri Dk. Gwajima kumkamata huyo Dada wa Nyoka kwa Utapeli na kuwaacha Matapeli wa Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni ni Unafiki mkubwa

    Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
  15. GENTAMYCINE

    Yaani kuhamia CCM kutoka uliko ni mpaka umuombe Mungu? Tumpumzishe Mwenyezi Mungu kwa Unafiki wetu uliojificha

    Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo. Chanzo: @MwananchiNews Ngoja nami GENTAMYCINE...
  16. M

    Tetesi: Unafiki wa Lissu wamuweka pabaya, kamati kuu yamkalia kooni

    Kamati kuu CHADEMA imemuhoji Makamu Mwenyekiti na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Tundu Lissu kwa kuudanganya Umma kuwa haku kukubaliana na uamuzi wa kumwalika Rais Samia Suluhu Hassan kama mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika tarehe 8 Machi mwaka 2023...
  17. Chakaza

    Watu wa CCM wakitoa hoja za kupinga Muungano wanashangilia, nongwa ni pale anapotoa hoja Mpinzani hata bubu atapayuka. Unafiki Mtupu

    Ni mambo ya ajabu hiki chama cha kuendekeza ufisadi na uongo. Kuna kasoro nyingi sana za muungano, lakini jambo la ajabu ni kuwa kasoro hizo zikizungumzwa na kiongozi wa CCM basi anashangiliwa hadi wabunge wanataka kupanda juu ya meza. Ila hoja hizohizo zikiongewa na Mbowe au Lissu mpaka kina...
  18. Kaka yake shetani

    Uwoga umetengeneza unafiki nchi hii(uchawa na kujipendekeza)

    Kuna steji imefika au ni matokeo ya uwoga uliopo nchi hii sijui umetengenezwa na muendelezo wa watawala. Ukiangalia matendo yaliyopo kwenye kuuliza ukweli au makosa ni kama wewe ndio umekuwa kosa,kuanzia kwenye utendaji mpaka wananchi wenyewe. Uwoga ulitengenezwa nchi hii umepata bidhaa mpya ya...
  19. mahindi hayaoti mjini

    Waarabu wakija kushtuka, tayari watakuwa wamemalizwa kwa unafiki wa Iran

    Iko hivi, kwa sasa israel hana sababu ya kuipiga tena gaza, kwakuwa jamaa wameshasalimu amri, na kuna harakati nyingi za maandamano na malalamiko kutoka kwa watu wa haki za binadamu na activits wengi kwa ajili ya maandamamo dhidi ya israel. Sasa Mazayuni bado wanataka kuimaliza kabisa Gaza na...
  20. Msanii

    Mapigano yanayoendelea Gaza na unafiki wa Dunia

    Duniani kote kila Bara kuna mapigano yanayoendelea huku kukiwa na ushawishi sifuri kwenye kusitisha hizo vita. Ninasema mapigano kwa sababu sehemu kubwa ya mapambano hayo yametokana na ushawishi wa makundi yanayolenga kufaidika na vita hizo. Kinachoendelea Ukraine na Urusi ni vita kamili kwa...
Back
Top Bottom