usa

  1. britanicca

    USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

    Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu Amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi...
  2. JanguKamaJangu

    Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani

    Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali. Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19...
  3. L

    Star wa Basketball USA Magic Johnson akiwa na mwanae wa kiume

    Huyu mwamba yuko na mwanae wa kiume. Kuna kitu hakiko sawa.
  4. M

    Ziara ya Mkuu wa Nchi huko USA imetugharimu walipa kodi kiasi gani?

    Niliwahi kusikia mahala kuwa mkuu wa nchi yetu akiende nje ya nchi tu kwa siku inatumika mil 500. Sasa hizi wiki mbili ni sh ngapi zimetumika? Hii ni ziara ya kikazi au yupo vakesheni?
  5. J

    CCM: Taarifa Kuhusu ROYAL TOUR 2022

    Taarifa ya CCM Kuhusu Uzinduzi Royal Tour Jumatatu, April 18, 2022 #ChamaImara #KaziIendelee
  6. Lady Whistledown

    USA: Elon Musk anunua 9.2% ya hisa za Twitter

    USA: ELON MUSK ANUNUA 9.2% YA HISA ZA TWITTER Hatua hii inamnafanya Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla kuwa mbia mkubwa wa kampuni, karibu mara nne ya ukubwa wa hisa za mwanzilishi Jack Dorsey ambazo ni 2.25%, kulingana na ripoti ya forbes Ununuzi huu unakuja wiki kadhaa baada ya kuishutumu Twitter...
  7. bernard10

    Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv

    Jeshi la Urusi, Limethibitisha kwa njia ya video SHAMBULIZI lao huko Magharibi mwa lviv karibu na mpaka wa Poland ambalo shambulizi hilo lilipigwa kwa njia ya Rocket lililenga ghala la mafuta (fuel Depot) jumamosi. Wazili waulinzi wa Urusi alisema eneo hilo lilikuwa likihudumia majeshi y...
  8. lee Vladimir cleef

    Biden hakukosea ndio mpango uliokuwepo, ila ametoa Siri kizembe. USA walimshindwa Castro, watamuweza Putin?

    Kwa kifupi Biden hajaropoka TU,Bali amejikuta akitoa Siri kwa kukosa kifua. Ni kama yule Rais alosema wanajeshi wakiwa vitani halafu akatokea msaliti wanajeshi humshughulikia.mda mfupi baadae Kuna mtu mmoja akamimimniwa vipande vya vyuma mwilini. Rais huyo alijikuta anakosa kifua na hatimae...
  9. M

    If invassion of Russia on Ukraine is a War Crime,...what do we call invasion of USA in Irac &Afghanstan Etc??

    For decades, the US and its Western allies have been violently and frequently meddling in the Middle East. Beginning with the clandestine overthrow of democratically elected leaders, moving on to financing violent extremist groups, and morphing into full blown invasions of entire countries, the...
  10. Sky Eclat

    Afrika inasomesha vijana kwa pesa za walipa kodi, wakihitimu wanapata kazi USA

  11. Bata batani

    Ni kwanini NATO na USA wanaliogopa kundi la Wagner Group kutokea Urusi

    Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la Wagner Group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi. sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na...
  12. lee Vladimir cleef

    Ulinganifu wa vita kati ya USA na Iraq dhidi ya vita kati ya Urusi na Ukraine

    Vita hizi zote zinaitwa operation. USA waliita operation desert storm. Urusi waniita operation maalumu. USA wakisema Iraq Ina silaha za maangamizi WMD hivyo inyang'anywe. Urusi wanataka Ukraine isijiunge na NATO,kwa vile Ukraine kakataa ombi la Urusi la kutojiunga NATO Urusi kaona basi...
  13. M

    USA WORLD DEMOCRACY TOUR: MH!!!!!!!

  14. Mr Dudumizi

    Kwanini Ukraine haikuomba kuwa sehemu ya USA ili kuepusha huu ujinga unaoendelea sasa?

    Habari zenu wana JF wenzangu.. Ndugu zangu kinachoendelea leo huko Ukraine kinatokana na ujinga wa viongozi wa nchi hiyo kushindwa kujiongeza mapema huko nyuma ili kuepuka uvamizi huu unaofanywa na Urusi katika ardhi yake. Ikumbukwe na ifahamike kwamba USA ni Super Power ktk dunia hii, na...
  15. K

    Wachambuzi wa siasa za kimataifa naomba mnijibu maswali yangu haya kuhusu taifa la USA

    Mnafahamu kuwa kwa Sasa mgogoro baina ya Ukraine na Urusi ,unaonekana kuwa Kati ya Urusi na Marekani? Yaani sasa hivi ni majibizano kati ya Joe Biden na Vladimir Putin? Kwanini Marekani kashikia bango mgogoro huu? Kwanini Urusi anashauri NATO isiiunge Ukraine? Lakini kwa Nini Marekani...
  16. Koffi Annan

    Mwanamke Mghana alivyojifungua mtoto kwenye ndege kuelekea USA

    Safari ya ndege iliyotarajiwa kuwa yenye utulivu kutoka Accra Ghana kuelekea Marekani iligeuka kuwa uzoefu ambao mwanamke mmoja mjamzito kutoka Ghana hatausahau maishani mwake, pamoja na wasafiri waliokuwemo ndani ya ndege ya Marekani United Airlines chapa UA 977. Mwanamke mjamzito alipata...
  17. GRAMAA

    Katiba inasemaje kama ikitokea Rais na Makamu wake wote wakifa kwa pamoja?

    Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu. Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja? Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu? Kama inawezekana familia moja...
  18. DocJayGroup

    Mtanzania Anarudishwa Bongo Kutoka Marekani. Ana USD 10,000 (23M Tshs) Tu. Mnampa Ushauri Aitumieje?

    Jamaa alipatwa na misukosuko ughaibuni na makaratasi yake ya uhamiaji yakaharibika kabisa. Badala ya kuendelea kuishi USA pasipo kujua mbele wala nyuma, ameamua arudi Tanzania akapambane huko. Anafanya kitu kinaitwa voluntary deportation ambayo badala ya kuzolewa na kurudishwa kwa lazima...
  19. Sky Eclat

    Life of Kwame Nkrumah when he joined Lincoln University in USA

    When Nkrumah entered the United States of America to begin his studies at the Lincoln University, he had not enough money to pay his fees for the first semester neither enough money to caretaker for his living expenses. Due to this financial difficulty, Nkrumah began to by and sell fish in the...
  20. Patrick Girigo

    Give Liberty or Give me Death - By Henry Patrick 1777 ( One of founding father of USA)

    Kama wote tunavyofahamu, Marekani ilikaliwa/Ilitawaliwa na Uingereza kwa zaidi ya miaka 150 (1510-1776) baadaye Kizazi cha 3 kilianza kupigania Uhuru wao dhidi ya babu zao. Kijana mmoja aitwaye Henry Patrick 1775 aliandika andiko akisema Nipe Uhuru au unipe Kifo/uniue" Alikuwa anawaandikia...
Back
Top Bottom