Saa 48 zilizopita urusi amerusha ndege za kivita karibu na pwani ya Marekani na Canada kutokea baharini upande wa Jimbo la Alaska kitendo kilichoikasirisha sana marekani na kuita ni kitendo cha uchokozi kutoka kwa urusi .
Safari hii hii marekani ajiandae kuonja utamu wa vita. Rais Putin...
Greetings.....
The diagram you see reveals the history of a powerful Death Cult that has ruled over Earth for all recorded human history. The timeline is trisected and proceeds from top to bottom.
Since I assume you have already heard or read about the many topics mentioned on the diagram, I...
Mdahalo (debate) utaanza saa 10:00 alfajiri ( Saa za Afrika Mashariki) siku ya Jumatano na itaenda hadi around saa 12asubuhi..
Kwa watakaotaka kufuatilia, TVs zote za dunia CNN, BBC, FOX NEWS, ALJAZEERA, CBS, ABC, SABC, SKYNEWS nk nk zitarusha live mdahalo huo...
Maana sielew, nimeomba zaidi ya mara mbili kwanzia mwaka Jana, nchi ya kanada na marekani kwa wakati tofauti kotee nakuwa unsuccessful
Ndugu zangu mnafanyaje kupata wenzetu maana Kila kigezo ninacho mpaka bank statement yangu imenyooka vzr tu Ila linaenda lofa la kigoma porini huko linapata...
Mzuka umepanda.
Sio mbaya kujifunza kwa aliye Fanikiwa.
USA 🇺🇸 wamepeleka kikosi hiko ili kupata uzoefu wa kupambana na drone na Electorinical war fare.
Zama za kupigana vita Ofisini zimesha wadia
The U.S. Army has formed a new unit to learn from Ukraine's experience with drones and...
Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris...
Kwa wale wa wisdom mnafahamu kuwa kuna hizi zinazotengenezwa zipo nyuma ya nani? kuna uwezekano raisi wa marekani kuwa mwanamke na si trump. kumbukeni.
---
Did The Simpsons hint at Kamala Harris as US President way back in 2000
The Simpsons is once again credited with predicting a major event...
Senior DP Members USA wamethubutu Kukataa Biden asigombee kwa kuona hana Uwezo, je, na Senior MCC Members in AZT nao wataweza Kumkataa Mtu 2025?
Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024
Kwani wengi wao ukikutana nao Wanamkataa Mtu Fudenge kabisa ila mbele ya Mic...
Katika kujiandaa na Olympic leo USA anacheza na S Sudan. Mpaka sasa South Sudan anaongoza 43-30 dakika 5 zinebaki kuwa half time.
USA ina mastaa wa kutosha. Bron, Curry, Embiid, ADavis na wengine wengi.
Final score USA 101-S Sudan 100
Today(Monday) USA vs Germany
Nchi yao imevamiwa na wahamiaji haramu. Wauaji, wabakaji, maharamia na wagonjwa wa akili kutoka kwenye majela ya vichaa. Ameahidi anaenda kukata mzizi wa fitina wa tatizo hili akichaguliwa.
Na kwenye uchumi, viwanda na biashara ya kimataifa ameahidi anaenda kumaliza exploitation ya mataifa...
Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka kumuua Trump na kuitaka Serikali ya Marekani kuheshimu misingi ya Democrasia.
Ni kwa bahati mbaya hawa...
Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
Mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.
3. Hata kwenye mapenzi napo bado...
Habari wanna jm
Leo napenda nionge na vinaja 20s mpaka 35 ni kwa ufupi
Moja ya mambo muhimu ni mahusiano je mwanamke gan sio wa kuwa na mahusiano nae kabsa ?
✓kama hawez kumud gharama za kusuka na anapenda kusuka 3x a month
✓Mwanamke muomba pesa za kula
✓kijana usiwe na mwanamke amepanga...
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema...
Karibu katika speacial thread ya Copa America 2024 inayoendelea kule USA,
Tutakua tunaendelea kupeana updates hapa kwa yanayoendelea
Mpaka sasa ni Team tatu pekee zimeonyesha kiwango cha juu sana katika mashindano haya
Argentina
Uruguay
Colombia
Brazil ameanza haya mashindano vibaya kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.