picha zinaoneka wasailiwa wamelala Usaili unaendelea lakini hali sio nzuri wanaumia zaid ni wale waliomaliza miaka ya nyuma .
Any way tusubiri ripoti ya waziri.
Soma Pia: Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili
ENGLISH TEACHERS TANZANIA
As a teacher preparing for a written aptude test in English or Written Test ,
it’s important to start with a clear understanding of the key areas that will be or are preferably to be assessed.
As an English teacher, you need to be familiar with a wide range of...
Huu uzi ni mhimu kwa mwenye mapenzi mema na watakaofuata watusue tusu la usaili.
usiogope kutupa tips za nini umekutana nacho wakati wa kusailiwa, Maswali, uzoefu na taratibu zingine.
Ndugu kuwa shuhuda ili vijana watusue, usiogope tiririka... Karbu.
Kesho rasmi walimu wanaanza usaili, na usaili huu utaendelea hadi tarehe 24 mwezi wa pili. uzi huu umeandaliwa mahsusi ili kuwa jukwaa la kushirikiana mawazo, maswali mliyokutana nayo, changamoto mlizopitia, na uzoefu wenu wa mtihani.
Lengo ni kuwasaidia wenzetu wanaotarajia kufanya usaili huu...
KUHUSU USAILI WA WALIMU
Inasemekana kuwa wanatakiwa kuwa na documents zenye majina yanayofanana. Hii inamaanisha kuwa vyeti vya taaluma na vile visivyo vya taaluma vifanane majina. Yaani kama cheti Cha kuzaliwa kina majina full pasipo initial na vya taaluma view vivyo hivyo.
Sasa concern yangu...
umesubiri kwa muda mrefu then simu hyo “Fika kwenye usaili siku fulan muda huo” umejipanga vzur kusali sana Nondo zimekaa..
Unafika kwenye uwanja wa usaili unakutana na mwenzio pia amekuja kwenye hiyo hiyo Interview.. hapo kuna Kuwaga na watu kazi Yao ni kukupotezea direction tu yan anakupoteza...
YALIYO NYUMA YA PANZIA APTITUDE TEST TEACHING POSITION
FO MATERIALS
Click the Link Below to Get the Complete Guide for Free in Your Email:
👇👇👇👇👇👇👇
https://docs.google.com/document/d/1foJQ2GghLGSldEkj3DjdTMNeHv4fbHST4Waw0yf6BdM/edit?usp=drivesdk
JOIN OUR CHANEL
👇👇👇👇👇👇...
MASWALI YA KISWAHILI
Tumia maswali haya kama njia ya kugundua nguvu zako (strength) na udhaifu wako (weakness) kuhusu uelewa wa somo na matumizi ya mbinu za ufundishaji, na si kama kipimo cha "possible."
Maswali Haya ni ya Jumla
Hata hivyo, ili kupata majibu na msaada mwingine wa mentorship...
*THE FOLLOWING ARE THE APTITUDE TEST PRACTICE FORMATS
1. THEY ARE SUBJECT-SPECIFIC
Focusing on teaching methodology and application mastery assessments.
To answer effectively, you should have subject-specific knowledge and be familiar with teaching pedagogical issues.
2. THEY ADHERE TO THE...
Kwa wale ambao wamekosa mambo ya msingi na taarifa muhimu kuhusu usaili hasa kada ya elimu, usijali! Zipo njia mbili za kuhakikisha hupitwi tena:
1. Tembelea Jamii Forums
Hapa utapata makala zenye mwongozo wa kina na taarifa za msingi kuhusu usaili. Fuata link hii...
Waombaji ajira za ualimu waitwa usaili. Usaili huo utafanyika kati ya january 14 mapaka 24 mwezi februari 2025.
Ikumbukwe kuwa usaili huo uliahirishwa tangu october 17, 2024.
Soma zaidi
<<< WAOMBAJI AJIRA ZA UALIMU WAITWA USAILI 2025
Wakuu naombeni mwenye kuelewa dondoo za usaili kuandika (written) kwa kada editor ii anisaidie nipate mawili matatu yanatayojisaodia kukabiliana na mtihani wao.
Ni jambo la ajabu lakini la kweli.
Mojawapo ya tangazo lililowekwa katika tovuti ya ajira portal na mara zote kabla hujaweza ku apply system inakuambia ama kukukumbusha uhakikishe ume attach barua ya maombi ya kazi.
Binti huyu alikua na sifa zote kama kazi ilivotaka na pia system ilimuwezesha...
Habari zenu wadau, naomba kuuliza kama kuna mtu amefanya usaili wa kuandika hivi karibuni PSRS kada ya Tutorial Assiatant kwa huu mfumo mpya, je usaili unafanyika kwa computer kama wengine? mfano watumishi wa afya kama tulivyoona hivi karibu au kada Tutorial Assistant imebaki kama zamani, asante.
MWELEKEO WA MCHAKATO WA USAILI WA WALIMU SEKRETARIATE YA AJIRA: JE, NINI KINAENDELEA?
Na Josephat H
Interview And Carrer Coach
+255656480968
Dar Es Salaaam, Tanzania
👉Leo ni tarehe 28.09.2024, na ni siku chache tu tangu usaili ulipositishwa rasmi kupitia barua iliyotolewa na Katibu Mkuu wa...
Naombeni msaada mfano wa maswali kwenye written interview kwa waliowahi kufanya interview kama data analyst, pia system developer angalau tupate pa kuanzia
Juzi kati ilikuwa inapita barua mtandaoni ya kutaarifu kuahirisshwa kwa usaili wa kada ya ualimu. Sa mtandaoni kwenye status ajira portal haipo haionekani taarifa hiyo.
Ukweli ukoje waungwana?
Usaili wa walimu Umehairishwa mpaka hapo utakapotangazwa.
Afya mpaka leo hakuna Pdf.
Je, kipi kiko nyuma ya haya?
1. Serikali haina Hela.
2. Utumishi wamelemewa.
.
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.