Nna swali kidogo.
Kwa mwaka huu mfano 2024, ukawa una Million 1 tu ya kutumia kununua simu.
Ni bora kununua hizi simu za uwezo wa kati (mid-rangers) mfano Samsung Galaxy A55 mpya kabisa…au ni bora kwa gharama iyo iyo ukanunua flagship (high performance smartphone) ila used ya miaka miwili au...
Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki.
Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS...
The Deputy Speaker of the Parliament of the United Republic of Tanzania, Mussa Azzan Zungu, has called on the Ahmadiyya Muslim Community to continue collaborating with society to maintain peace in the country and to avoid individuals with personal grudges who aim to disrupt peace.
Zungu who is...
Tunauza Photocopy machines Canon Ir 2525i Used
Bei ni 2,500,000/- kwa moja
Tupo Zanzibar, tunaweza tuma Dar na hata mikoani ila gharama za utumaji zitakuwa juu ya mnunuzi.
Habari zenu wanajamvi, kama nilivosema
Nahitaji vifaa jenzi used lakini vilivyo katika hali nzuri kama vile bati za migongo mipana, nondo ml.12, gypsum, tofali n.k
Kwa bomoa bomoa inayoendelea kariakoo vitu hivyo vinaweza kupatikana kwa bei rahisi naomba mwenye connection ani-pm au aweke hapa...
...wakubwa naomba shule kidogo. Assume nahitaji kununua flagship phones (sina pesa ya kununua mpya) let us say Samsung Note 20, je utanishauri nichukue refub or used?
Mwenye shule poa atusaidie kuzielewa hizi products faida na hasara zake. Je performance zake mf kwa picha zina ubora gani?
Asante
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
Mods uzi usiunganishwe.
benz
bmw
carina
escudo
gx100
harrier
ist
kioo
landcruiser
magari
mark2
mazda
noah
pajero
picha
premio
raum
rav4
side mirror
spea
steelring
suzuki
taa
toyota
used
vitasa
vitz
voxy
wish
wishbone
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
benz
bmw
carina
escudo
gx100
harrier
ist
kioo
landcruiser
magari
mark2
mazda
noah
pajero
picha
premio
raum
rav4
side mirror
spea
steelring
suzuki
taa
toyota
used
vitasa
vitz
voxy
wish
wishbone
Howo tipper 371 used inauzwa, ni used kutoka China ina Hali Nzuri Sana, Karibu ofisini kwetu Kurasini opposite na diplomatic college,
Pia utapata offer ya kufanyiwa service ya truck Kwa mwaka mmoja
Karibu sana.
Price: million 127.5
☎️0715 128 827
Habari, naamini uko salama. Mimi ni agent natoa magari madogo na makubwa, container, loose cargo katika bandari ya Dar es Salaam.
Pia nauza magari used na chassis pamoja na container za 20 feet na 40 feet...kwa mawasiliano zaidi nichek +255764423726 wasap no.
Karibu Sana nikuhudumie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.