Habari wana-JF,
Kwa wale wakazi na wenyeji wa Jiji la Arusha naomba mnipe taarifa kuhusu maduka yanayouza laptop used & refurbished nzuri.
Nimeangalia online nimepata maduka kadhaa ila nataka kupata na mapendekezo kwa watu ambao mnajua maduka mengine.
Offer.
Kwa yeyote mwenyewe pikipiki ya umeme zile ndogo (electric scooter) used anayeiuza au hana uhitaji nayo kwa sasa na anaiuza hebu anicheki hapa nahitaji kwa matumizi ya nyumbani..
Itapendeza zaidi nikiipata dare salaam
Habari za leo wakuu,
Nimefika Tabora( toronto ) mjini. Hapa, kwa wenyeji naomba muongozo wapi wanauza simu mpya na used (samsung, google pixel, iphone) at a reasonable price katika mji huu?
Nb: Ukirecommend duka lako au mtu unayemfahamu ni vizuri pia.
Nikipata username za instagram ili...
Jipatie Howo tipper mende, tractor na spare parts zote za Howo.
Kwa bajeti ya Tsh Milioni 78 unajipatia Howo tipper mende used nzuri kabisa.
Mawasiliano: 0748270719
Karibu sana
Habari wa ndugu wa jamii forums , nipo hapa kuomba kwa mwenye mabati used yaliyo na hali nzuri awasiliane na mimi
Mawasiliano. 0672701329
Nahitaji pc 50 hivi
Asante...
Habari wana jf.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
👉 Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu.
👉 Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth.
👉...
wadau nahitaji kuchukua coaster used ili niingie kwa biashara ya usafirishaji kwa mtu mwenye uzoefu katika biashara hii naomba kufahamu bei za coaster na mchanganuo mzima katika biashara hii?
Habari wakuu,
Nauza mizani used ni nzito haina kipengele ina mawe yote
Imethibitishwa na wakala wa vipimo Tanzania
Ipo wilaya ya Hai
110k tu
0718569091
Vitambaa vya kutengenezea makanyagio na ubunifu wa mapambo yapo Kwenye kiloba cha kilo 25, njoo na ofa yako.
Location: Kigamboni (Kichangani)
Number: 0759448927.
Habari za leo wana JF.
Niko katika maandalizi ya kutafuta gari ya Mizigo kwa kazi Zangu za biashara ya mazao.
Biashara yangu ni kukusanya mazao toka maeneo ya vijijini maporini na sehem kama hizo Kisha kupeleka mikoani.
Kulingana na nature ya biashara hii, hulazimika kupita katika njia mbaya...
Kama uko Tabora na unauza tv inch 32 niambie nataka ilio tumika nataka kwa leo au kesho nitajie bei na aina ya tv na sehemu ulipo na pia kama una picha itapendeza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.