used

  1. Anastasia21

    Nauza Tank la Maji used

    Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/- Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
  2. Magari Bei Nafuu

    Car4Sale Tunauza magari yaliyotumika kutoka Dubai kwa cash na Mkopo

    Pata gari yako kwa kuanzia kulipia kidogo kidogo au kwa 40% tu ya gharama nzima na upate mkopo wa 60%marejesho ndani ya miezi 12 mpk 24, ukikizi vigezo na utaratibu wote utapata gari yako ndani ya masaa 48 ya kazi Tunapatikana Dar es salaam kwa mawasiliano zaid Call or Whatssap (0719415519)...
  3. Doctor Mama Amon

    Fifteen dirty tricks being used by Dubai Investors to divide and rule Tanzania

    DP A Video Clip for DP World Foundation from Dubai Handing Over 'Futari ' Gifts to Mbeya Muslims in Tanzania I. Abstract Based on a rich history of treaty making in the world for the past 2000 years, we argue that, the following are the fifteen dirty tricks which were used to get the...
  4. BeiSawaNaBURE

    Computer4Sale Pata laptop dell latitude E6530

    PATA MALI KATIKA UBORA WAKE, ALIKUWA ANAITUMIA MCHINA, AMEIACHA KATIKA HALI NZURI HAINA DOSARI, SPECIFICATIONS Model ya PC: DELL Latitude E6530 Core i5 RAM 6 SSD 232 BEI ni TZS 450,000/= tu, Njoo Ukikimbia For Serious Buyers Only, call 0622440414
  5. L

    Kuliko kununua gari used Bongo bora usubiri uagize tu used Japan

    Kwa muda nimejaribu kutafuta hivi vigari vidogo kama IST, Vits , Allex nk Vingi madalali wanauza Mil 10 mpaka 13 almost bei ya kuagiza mil 14 - 16 Japani. Hapo ukishanunua Bongo jiandae tena na mil 2 za kurekebisha gari angalau uweze kutembelea. Kwa ushauri tu usikimbilie kununua gari used...
  6. M

    INAUZWA Used Diesel Generator and Spares

    Hbr Wtz wenzangu, kama title inavyojieleza ninauza used Dg kuanzia kva 15 na kuendele na spears pia zipo mawasiliano ni 0710881879.
  7. micky judah

    INAUZWA Nauza spear used za magari ya Europe

    Kwa mahitaji ya spear used za magari ya Europe iwe Audi, BMW, BENZ,Vw, Ranger rovers Iwe fundi & tajiri kwa mahitaji yeyote ya spear parts used na bora wasiliana nasi 0613010190
  8. Dr. Zaganza

    Natafuta kioo used cha samsung note 9

    Habari wakuu Kama una kioo au unamjua mwenye nacho, nicheki kwa 0713 039 875
  9. NEGAN

    Tsh. 300,000/- ipo mfuko wa shati, nani aniuzie simu yake iliyotumika?

    Naam pesa taslimu Tsh. 300,000/= ipo nahitaji kupata simu used kutoka mtumiaji wa Tanzania achana na hizi used from Dubai. Leta ofa yako tufanye biashara 🤝🏽
  10. CABANA

    Nahitaji freezer used.

    Salama wandugu......nahitaji freezer used Yale ya biashara...njoo na ofa Yako tufanye biashara Leo Leo.
  11. BARD AI

    Dkt. Mwigulu: Magari 'Used' 31,970 yaliingia nchini mwaka 2022

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema hadi mwaka 2022 magari 12,012 yaliyotumika (used) hayakuruhusiwa kuingia nchini kutokana na kutokidhi viwango. Mwigulu amesema Shirika la Viwango Tanzania (TBS) lilikagua magari 43,982 yaliyotumika ikilinganishwa na magari 35,606...
  12. B

    Nimehamishiwa Dar es Salaam kikazi natafuta samani za ndani used(BUDGET TSH 1M)

    Bujeti yangu ni TSH 1M ninatafuta 1. Kitanda used bila godoro 2. Sofa zilizo kwenye hali nzuri 3. TV flat screen size yoyote 4. Friji used
  13. Superfly

    Naweza kupata PC kali kwa bei ya 400,000/=?

    Wakuu kwema? I hope mko poa Nina 400,000/= hapa nahitaji kununua PC, ningependa mnishauri kwa budget hii - Napata Laptop MPYA yenye uwezo gani? na wapi naweza kuipata? - Napata laptop USED yenye Uwezo gani? (Kutoka yale maduka wanayouza used laptops) Naomba mnisaidie katika hili wakuu...
  14. Mr Why

    Car4Sale Toyota Brevis Used Inauzwa Mwanza

    Toyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza. Inatembea vizuri haina kipengele Bei 2,500,000. Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka SOLD☑️
  15. Digxam-TZ

    INAUZWA Lowbed trail 4 exl used linauzwa

    Hili ni Trailer la mtumba kwajili ya kubeba mizigo ya Abnormal,ukubwa wa exle 4, liko Johannesburg South Africa, bei yake ya manunuzi pamoja na ushuru usafiri ni 160ml Tsh, wasiliana na kwa njia ya whatspp +27 71 821 9244
  16. Valencia_UPV

    Naomba kujuzwa namna ya kuingiza gari used toka Afrika Kusini

    Salam wakuu, Ikiwa umenunua gari Toyota Double cabin kutoka nchini South Africa unataka kuiingiza Tanzania utaratibu inakuaje wadau?
  17. SOWETO_MAN

    Nauza iphone 7 plain used ,Dodoma

    Habarini za muda huu wana jukwaa, nauza iphone 7 plain kwa bei ambayo ipo in mint(excellent) conditions kabsa na ina sifa zifuatazo: Iphone 7 plain 32 Gb Ram 4 Battery 100% 280k price, fixed...mawasiliano ni haya 0621599120
  18. profesawaaganojipya

    Wauzaji wa engine used

    Msaada wakuu,naomba kujua bei ya used,ya ENGINE YA INZ,Runx 1).full engine 2).mswaki 3).half engine 4).Gear box full.
  19. D

    Nahitaji used stabilizer Watts 10,000

    Wakuu, nina uhitaji wa kifaa hicho kiwe ktk ubora ambao bado kinaweza kutumika kuendeshea mashine, kwani nimekutana na changamoto ya umeme pungufu kwenye shughuli yangu. Weka Bei na picha, karibu imbox
  20. M

    Nahitaji ps3 na ps4 used

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo, Mungu akinijaalia mwezi wa 7 nataka kufungua kibanda cha kupata angalau Mia 2 Mia 3 ili niweze kulea mke wangu(sijamuoa) na mtoto wangu huku nikiendelea na masomo yangu ya shahada ya kwanza. Hivyo basi jamani naomba kutangaza kuwa yeyte mwenye ps3 au ps4 used...
Back
Top Bottom