Tunatakiwa kutambua kuwa viumbe KE hata wafanyiwe kitu gani hawaridhiki.
Jambo la kufanya ni ku-focus na maisha yako, jipende, kula bata, jali watoto wako (kama unao).
Wanaume tunakufa mapema kutokana na stress za wake zetu, kelele nyingi, kuchapiwa n.k Ili tuishi maisha marefu tu-focus na...