KWENYE MFUMO DUME HAKUNA KITU INAITWA USHOGA.
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.
Nimeona andiko la Kaka Mshana Jr akionesha masikitiko yake kuhusu janga la ushoga ambalo kwa kiasi linaongezeka hapa nchini. Nikaona nami niseme KITU.
Familia, koo, makabila na mataifa yanayoendekeza mfumo dume...