ushuru

  1. Mparee2

    Ushuru wa maegesho Mijini

    Nimeambiwa ushuru wa maegesho unakatwa mijini kuanzia saa moja na nusu hadi saa kumi na mbili jioni (07h30 hadi 18h00) 1. Sasa kama ushuru unalipwa kwa Lisaa (shs 500); Kwa nini wasiishie saa kumi na moja (17h00) ili walio lipia wapate muda wa kutumia walicholipia ; hii ni kama tunataka kuwa...
  2. BARD AI

    Wafanyabiashara wadai Ushuru umechangia Kondomu kuadimika Kenya

    Wafanyabiashara wameilalamikia Serikali kwa kuweka Kodi kubwa kwenye uingizaji wa bidha hiyo hali inayosababisha uhaba mkubwa nchini kote Kenya inahitaji Kondomu Milioni 455 kila mwaka wakati Serikali ikinunua na kusambaza Kondomu Milioni 150 pekee, pia imeripotiwa kwa miaka 2 iliyopita...
  3. JanguKamaJangu

    Mama lishe walikimbia soko la Kisutu, warudi mtaani kisa ushuru wa shilingi 500

    Uongozi wa soko la baba na mama lishe Kisutu jijini Dar es Salaam wamesema Serikali iwashughulikie kundi la mama lishe na baba lishe ambao wanaondoka sokoni hapo na kurejea mitaani kwa kigezo cha kushindwa kulipa ushuru wa shilingi mia tano. Akizungumza nasi katibu wa soko hilo, Bakari Hussein...
  4. N

    China imeondoa ushuru kwa bidhaa za Tanzania

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Kwa mara ya kwanza Jamhuri ya watu wa China imepitisha uamuzi wa kuondoa kodi (Zero-Tarrif) kwa asilimia 98 ya bidhaa zinazotoka Tanzania kuanzia Mosi Disemba 2022. Msamaha huu kwa bidhaa za Tanzania ni matokeo ya juhudi za Rais Samia katika kukuza diplomasia...
  5. BARD AI

    Moto wateketeza ghala lenye mizigo ya magendo na waliokwepa ushuru Tanga

    Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa Omary Mgumba, ghala lilikuwa na mizigo ya Mamlaka ya Mapato (TRA) ikiwemo Vitenge vilivyokamatwa kwa Magendo baro 370 pamoja na Sukari, Mafuta ya Kula, Baiskeli na Pikipiki Kamanda wa Jeshi la Zimamoto Mkoa, Fatuma Ngenya amesema wamefanikiwa kuudhibiti Moto ulianza...
  6. BigTall

    Zanzibar: Waziri wa Fedha aelezea sakata la Mbunge Toufky Turky, asema amekamilisha kulipa ushuru wa Marcedes Benz G Wagon, ampongeza

    Baada ya awali kuelezwa kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ipo mbioni kuuza mali za Mbunge Toufky Turky ambaye ni Mfanyabiashara aliyedaiwa kushindwa kulipa ushuru wa Gari aina ya Marcedes Benz G Wagon aliloliingiza Nchini Januari 2022, fafanuzi umetolewa. Waziri wa Fedha na Mipango wa...
  7. mirindimo

    Ushuru unaolipa nao unakatwa Tozo

  8. Mwande na Mndewa

    Mwembamba akutana na Zakayo mtoza ushuru

    MWEMBAMBA AKUTANA NA ZAKAYO MTOZA USHURU., Ndugu yangu mwembamba nikupe siri kali, ukiwa mkubwa usifanye kama ngosha kuwasumbua sumbua "wanene" wanaokuweka mjini. Ukiwasumbua "wanene" kuwadai kodi ni sawa na kumkumbatia papa nyangumi ndani ya maji halafu utake kumuua,atakuua wewe. Ukiwa mkubwa...
  9. Notorious thug

    Kisa cha Zakayo mtoza ushuru na Mwigulu Nchemba kwa ufupi

    Zakayo kwa Kiebrania Zakai(msafi,mnyoofu) alikua mkuu wa watoza ushuru na tajiri, alipata kibali cha kutoza kodi na mapato na kiasi kilichozidi alikiingiza mifukoni mwake. Aliishi maisha ya kifahari na kuponda mali. Zakayo alimsaliti Mungu na taifa lake . Wakati Yesu...
  10. P

    Sungusungu Kariakoo wanakusanya ushuru na kutoa risiti ya kuandika na mkono, hii ni halali?

    Kila mwezi tarehe 1 tu wamefika kuchukua chao kila duka huku wakitoa risiti ya kuandika na mkono hii ni halali kweli? Ni Kariakoo hapo, wanatoka ofisi ya Serikali ya mtaa wa misheni kota, yaani tangu nihamie mtaa huu najionea maajabu tu.
  11. Nyamboboy

    Ushuru wa walking tractor(powertiller)

    Husika na kichwa cha mada hapo juu Kwa yeyote anayejua ushuru wa bidhaa hapo juu kwa kuagiza kutoka nje naomba msaada. Natanguliza shukurani
  12. I

    SoC02 Sera za kodi, ushuru na miundombinu bandarini zinavyozorotesha uchumi wa nchi

    Habari wana JF Napenda kuwashirikisha wanajamii wenzangu juu ya uchumi wa nchi ya Tanzania kudhoofika na kuendelea kukua kwa kiwango kidogo sana kwa kila mwaka ni kutokana na kuwa na sera za kikodi na ushuru ambazo zinawavunja moyo wawekezaji na wafanyabiashashara wengi kupelekea kudorora...
  13. mirindimo

    Ukikuta bidhaa ya Tanzania nchini Kenya inakuwa imelipiwa ushuru mkubwa sana

    Ukikuta bidhaa ya Tanzania nchini Kenya inakuwa imelipiwa ushuru mkubwa sana ama wakati mwingine biashara za Tanzania zinazuiwa kabisa Kenya, ni kwa nini? Kwa anaejua sababu tafadhali
  14. Lycaon pictus

    Watoza ushuru wa enzi za Biblia

    Kuna sehemu Yohana aliwahubiria watoza ushuru. Walimuuliza. "Sisi ni watoza ushuru. Unatushauri tufanye nini?" Yohana aliwajibu, "Msitoze zaidi ya kiasi kilichowekwa." Zamani kulikuwa kuna kitu kinaitwa tax farms(mashamba ya kodi). Tajiri anaifuata serikali ya Roma na kuomba tenda ya kukusanya...
  15. J

    Vipi vitambulisho vya machinga havina muendelezo? Basi walipe ushuru kwa halmashauri

    Wakuu habari, Kama mnavyojua Rais Magufuli alileta kitu kilichoitwa Vitambulisho vya Machinga mwaka 2019 Vitambulisho hivi ambavyo vililipiwa 20,000 vilipelekea ushuru ambao machinga walikuwa wakilipa kwa Halmashauri kufutwa, na badala yake wangelipa hiyo 20k kila mwaka. Sasa ni miaka 3...
  16. L

    Hainan: Kijana Mwafrika anafurahia sera ya kupunguza na kusamehe ushuru ya bandari ya biashara huria ya Hainan

    Kingsford na wenzake walikuwa wakijadili mpango wa biashara katika eneo la uvumbuzi na ujasiriamali wa mtandao wa internet la Fuxing City, huko Haikou, mji mkuu wa mkoa wa Hainan. Kijana huyu kutoka Ghana alianzisha kampuni ya biashara ya kimataifa ya Kingsford ya Hainan mjini Haikou, na kuwa...
  17. Kurunzi

    Ushuru wa Parking za Magari ni Kero

    Jana nikiwa mapumziko nikapokea Meseji Kutoka TARURA kuwa nadaiwa kiasi cha 6500/= nikatumiwa na Control no ya kulipia , chaajabu kila nikitaka kulipia nakutana na deni tsh 23,500/= nikaamua kusitisha kulipa kwanza, mpaka leo nilipolipa nikakuta ni 6,500.
  18. CONSULT

    Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!

    Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! ! Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD) Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki...
  19. A

    Kuna uwezekano TRA idara ya Ushuru na Forodha wanamhujumu Rais Samia

    Inawezekana vipi toka asubuhi mpaka saa 10 hii mifumo ya TRA ya kulipia kodi haifanyi kazi? Hakuna uwezekano kwamba wanamhujumu mama?
  20. Roving Journalist

    Msamaha wa Ushuru kwa Watumishi wa Umma

    1.0 Utangulizi Kipeperushi hiki kinatoa maelezo kuhusu taratibu muhimu ambazo watumishi wa umma wanatakiwa kuzingatia wanapohitaji msamaha wa ushuru kwenye vyombo vya usafiri (Magari na pikipiki). Maelezo haya yanazingatia sheria husika za kodi pamoja na Matangazo ya Serikali yaani GN. Na. 520...
Back
Top Bottom