Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ili saini mkataba wa makubaliano ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) ya China ambao uligharimu zaidi ya Sh. bilioni 31 na ulipaswa kukamilika Julai 2024.
Hayo yalisemwa Dar es...
Hellow wakuu,
Leo niliona uzi humu mdau mmoja akiomba msaada wa dawa asili za kuondoa tatizo la kukosa usingizi Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka
Nimeona nianzishe uzi huu ili kila mtu aone na aelimike ikibidi asaidike,
Kukosa usingizi sio...
habari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.
mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.
NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa pombe japo sikuwa addicted sana nilikua naweza kupitisha hata week bila kuvuta wala kunywa...
CCM hakuna mtu anawanyima usingizi kama Lissu. Hata siku ile Lissu anachukua fomu CCM walipata taabu sana. Wanamjua Lissu kuwa si mwepesi wa kukubali ujinga kwa lugha yoyote ile. Wakati ule maridhiano yakiendelea, Lissu aling'amua mapema kuwa kinachoendelea kwenye maridhiano ni danganya toto tu...
Sisi ni wanafunzi tunaosoma Shahada ya Utoaji Dawa za Usingizi na Ganzi Salama (NURSE ANAESTHESIA) Shahada hii inachukua miaka minne mpaka kuhitimu.
Dawa hizo ni mhimu sana katika Huduma za Kiafya hasa katika sehemu ya vyumba vya upasuaji (theater), kwa wagonjwa mahututi, emergency, clinics na...
Anonymous
Thread
haki
hii
katika
maboresho
salama
serikali
shahada
usingizi
wanafunzi
wanaosoma
zao
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽
Binafsi nna mda mrefu situmii (kunywa) chai kama sehemu ya mlo wangu wa asubuhi.
Kwa7b CHAI imekuwa inanipa usingizi baada ya kuinywa, hivyo baada ya kunywa tu uchovu hunijia na ni lazima nitafute sehemu ili nilale ili kuondoa uchovu huo unaoletwa na unywaji wa CHAI...
Kuna hii hali usiku usingizi ukikata naanza kufikiria stori kuhusu mimi endapo ningekuwaga na nguvu za ziada na utajiri mkubwa na uongozi vile ningefanya mambo yangu. Wakati mwingine stori nazirudisha nyakati za sekondary classmates wa sekondary ndo huwa nawa include sana sijui kwanini huwa...
Wakuu,
Kwa mara ya Kwanza ndo naexperience Ile hali ya kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi.
Nilikua naskiaga tu kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu, nina marejesho, bado bills za kulipa bado michango .
Yaani usiku silali usingizi ninao Sana Ila...
Watafiti kutoka kituo cha utafiti wa usingizi cha Chuo Kikuu cha Loughborough Nchini Uingereza wamesema Wanawake wanahitaji muda mwingi zaidi wa kupata usingizi kwasababu wanatumia zaidi akili zao kuliko Wanaume.
Profesa Jim Horne kutoka Chuo hicho amenukuliwa akisema “akili za Wanawake...
Huyu ajiita injinia aliyesomea DIT ,huyu sijui wakili msomi huyu CPA,yule sijui nani sijui ila jana wamelala na viatu.
Mzee Magoma weka namba ya mpesa tuanze kukuchangia,Wewe ni generation Z wa kizazi cha zamani,
a) Jiwekee msimamo ratiba yako ya kulala kama hakuna dharura nyingine iwe saa fulani Mpaka saa fulani. Hili ndo jambo kubwa la kwanza.
b) Mchana usichoke choke kizembe fanya fanya mazoezi mapema tu kabla haijaingia usiku sana.
c) Punguza au jiepushe na pombe, caffeine, energy drink, sigara...
Nachokisema Nina uzoefu nacho sana nataka ujue ukweli kwanini mtu anafikia hatua anakunywa pombe kila siku na mtu wa hivyo usimdharau jua anakumbwa sana na changamoto ya kukosa usingizi usiku anakumbana na sleep paralysis inayomtesa sana kuacha pombe inahitaji msaada sio wote wanakunywa ukaona...
Binafsi niliwahi kusinzia kwenye usafiri wa daladala hadi kupitilza kituo nilichokusudia kushuka. So, sikuona kama ni jambo la kushangaza sana.
Lakini leo hii Anti yangu ananisimulia kwa kushangaa alichokishuhudia kwenye daladala huko Dar es salaam, ati ameketi kwenye siti na pembeni yake kuna...
Nipo zangu nimegoma kulala nasubiri uteuzi na utenguzi. Mimi nawakiliisha Mawazri wengi waliokata tamaa na waliopoteza focus kwa sababu awajui mteuaji anaambiwa nini na nani.
Nitaendelea kulala mchana na kukesha usiku hadi mkeka wa mawaziri utoke. Endapo utatoka na jina langu likawepo si...
Wengi tunamfahamu kama Zahara ila majina yake ni Bulelwa Mkutukana, alikuwa ni mwimbaji wa nyimbo kutoka Afrika Kusini, mtunzi wa nyimbo, na mpiga gita mzuri sana. Katika Kijiji cha Phumlani, alizaliwa Novemba 9, 1987, mtoto wa kike, ni katika jimbo la Eastern Cape nchini Afrika Kusini, huyu ni...
Naomba mniweke sawa juu ya hali nliyoona pale uhamiaji Kurasini.
Kila kibanda cha photocopy kuna maandishi huduma za kisheria na mhuri wa wakili zinapatikana hapa.
Inadhalilisha taaluma yetu kabisa na pia vishoka wanabakia humo kwa kutunzwa na hao mawakili wenye mihuri yao humo stationeries...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.