usingizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dkt. Biteko: TANESCO hamtalala usingizi hadi wananchi wapate Umeme

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kufikiri kila itakayoweza kutatua tatizo la upungufu wa Umeme Nchini na kama wasipofanya hivyo atahakikisha hawalali usingizi Pia, Dkt. Biteko amekiri kuwa TANESCO inakabiliwa na...
  2. Sipati usingizi wiki ya 2 sasa

    Wajuvi wa mambo habari zenu, Ni wiki ya 2 sasa kausingizi kamenipotea kabsaa, yaani sipati usingizi mchana, sipati usingizi usiku. Hadi nafikiria na kushawishika kugonga tena konyagi labda kanaweza jitokeza kitu ambacho nimefanikiwa kukiacha. Najaribu kujichunguza labda kuna jambo linanitatiza...
  3. MPENZI wako alishawahi kulala usingizi wakati mna-do?

    Nipo na shosti hapa analalamika kuwa Wakati Wana do na mpenzi wake, mpenzi wake akalala kifuani kwake mpaka akamuamsha Sasa ananiuliza shida NI nini?! Mpaka mwanaume analala na haujawahi kutokea Eti unamsaidiaje shosti wangu??
  4. R

    Je, Serikali bado imelala usingizi mzito wakati ajali inamaliza wananchi wake na kuwaachua ukilema mamia?

    Inafikirisha sana kusikia kila leo kumetokea ajali na vifo vya abiria vikiwa vingi sana hadi unajiuliza, je serikali inashirikiana na madereza pamoja na wamiliki wa mabasi kutengeneza ajali? Je, mabasi haya kabla ya kusafiri/kuanza safari zinakaguliwa na chombo gani na kuruhusu waendelee na...
  5. Mohammed Deif: Mfahamu kiongozi wa Hamas anayewanyima usingizi Israeli

    Kamanda wa jeshi la Hamas Mohammed Deif alitoa wito kwa Wapalestina kila mahali kujiunga na operesheni ya kundi hilo, muda mchache baada ya wapiganaji wa kundi lake kuvamia Israel na kusababisha maafa mabaya zaidi. "Tumeamua kukomesha makosa haya ya Israel kwa msaada wa Mungu, hivyo adui...
  6. Usingizi nakosa kwa ajili yake

    wakuu Salam✋ nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani. natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe. I love you so much money penny...
  7. Makamba na genge lake wamekurupuka kwenye bei ya mafuta, na benki kuu nao wapo kwenye usingizi wa pono

    Nimeshtushwa na hatua za waziri Makamba na Ewura kukurupuka kwa kuongeza bei ya mafuta kwa kisingizio cha eti, ‘kuna uhaba wa dola nchini’. Nauita ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu yeye Makamba na Ewura hawana mamlaka ya kisheria kuzungumzia uhaba wa dola kwenye uchumi, hiyo ni kazi ya benki kuu...
  8. Mikataba ya Bandari na DP World, SGR imeanza kuwanyima usingizi CCM

    Mkataba wa usimamizi wa bandari kati ya Tanzania na kampuni ya Dubai unampa Rais Samia Suluhu na Chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukosa usingizi usiku huku upinzani ukiendeleza kampeni za kuibua hisia za kisiasa. Na kabla ya mzunguko ujao wa uchaguzi utakaoanza mwaka ujao, Rais ambaye...
  9. F

    Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

    Habari wana jamvi? Kama kichwa kinavyojieleza nimeanzisha thread hii ili itusaidie sisi kujua je hizi ndoto zinatofautiana au sawa kwa watu sawa au wanaoishi maeneo tofauti lakini zinakuwa na maana moja au ni tofauti? Andika ndoto yako ya usiku wa leo hata siku zijazo utakazoota hii...
  10. F

    Jinsi ya kulala usingizi mtamu kila siku

    Usingizi mrefu na usio katikakatika ni muhimu sana kwa afya ya mwili, akili na roho. Mtu mzima anapaswa kulala si chini ya saa 8 kwa siku. Zingatia yafuatayo ulale usingizi mrefu na mtamu. 1. Oga kabla ya kulala 2. Kula chakula chepesi na kidogo walau saa moja kabla ya kulala. 3. Usinywe maji...
  11. Nilivojifunika na mchanga msasani beach ili nipate usingizi,

    Kila ninacho kiandika humu huwa ni maisha yangu halisi Basi tuende moja kwa moja kwenye mada, ilikuwa ni mwaka 2014 baada ya kutoka mkoani na kujikuta nikiishi maisha ya kutokuwa na mahali pa kuishi, Nikajikuta naingia kwenye shughuli za beach boy bila kutarajia, Ratiba yangu ilikuwa...
  12. Rais Ruto anasema hapati Usingizi kwakuwa Wakenya Wana Maisha magumu, je, Wengine inakuwaje Wanaupata na Kunenepeana hovyo?

    Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha. Chanzo: Gazeti la The Standard. Nami GENTAMYCINE Rais wa JamiiForums namjibu Rais Mwenzangu wa Kenya Ruto kuwa napata mno Usingizi...
  13. F

    Sipati usingizi mpaka niwaze wanawake

    Usingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho. Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
  14. DOKEZO Ongezeko la Wahamiaji na Usalama wetu: Je, Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania vimelala Usingizi wa Pono?

    Wasalaam nyote! La mgambo likiliia ujue kuna jambo. Mnisamehe kwa kuanza na utangulizi wa jazba yote ni maumivu ya uzalendo. Tanzania ni nchi ya ajabu sana kila Jambo lipo kimazoea, nitoe rai na angalizo uhamiaji haramu kupitia mipakani hasa Mipaka na Malawi, Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda ni...
  15. Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

    Jamani wanaume wenzangu mimi mcanada nimeoa tayari mwanamke wa kichaga tuna miaka 6 kwenye ndoa na tumefanikiwa kupata watoto wawili katika harakati zangu za maisha nikafanikiwa kuja canada na baadae nikamvuta mke wangu na mtoto wetu wa kwanza wakafika canada na baada ya miaka miwili baadae...
  16. Masturbation inasababisha kukosa usingizi?

    Habari kwenu wanajukwaa. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, hivi sasa yakiwa majira ya saa 7: 07 usiku nimeona iwe vyema kuandika uzi huu. Ni kuhusu madhara hasi ya kujichua ama masturbation kama inavyofahamika kwa kimombo. Nikiri tu kwamba mimi nimekuwa mdau wa masturbation kwa zaidi ya...
  17. Sina usingizi

    Nilikuwa nimelala naota nyoka wananitembea usingizi umekata naogopa hapa sana 😭😭😭 siwezi lala tena
  18. Wakati ATCL imelala usingizi wa pono Rwandair waongeza ndege nyingine aina ya Aibus A330-200

    Source: RwandAir- Ndege hiyo mpya ikiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kigali. Shirika la ndege la Rwanda Rwandair Ijumaa ilopita ilipokea ndege ingine mpya kubwa ya Airbus A330-200 kutoka Ufaransa. Ndege hiyo itakuwa ikisafiri masafa marefu kwenda barani Ulaya na Mashariki ya Kati. Lakini...
  19. Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 kutoka kwa Barick Gold Mine

    Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 (Bilioni 70) kutoka kwa Barick Gold Mine kwa ajili ya ujenzi madarasa nchi nzima hasa kwa ajili ya Wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 watakaoanza masomo katika muhula ujao wa masomo Rais Samia ameeleza kuwa kwa sasa wanafunzi watakaomaliza masomo...
  20. TTCL wamelala usingizi

    Hivi nini kinawafanya wasisambazie watu Internet majumbani? Wateja wakienda wana ambiwa Njaya hazipo; kwa miaka sijui saba hata Dar hawajamaliza? Nawashauri tena; kujumlisha gharama za kumfungia mtu akazilipia (mtu alipie kabla ya kufungiwa) na hivyo kuzikusanya na kununua Nyaya) au niseme...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…