utamaduni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Librarian 105

    SoC03 Maadili na uwajibikaji ukokotezwe katika utamaduni wa Mtanzania kustaarabisha mifumo ya kisiasa na kijamii nchini

    UTANGULIZI Ukarimu ni mfano mmojawapo wa kete wanayotumia wanasiasa na viongozi wa serikali kusisitiza Watanzania kuuenzi utamaduni wa Mtanzania. Kimsingi ni malengo yetu sote tuufikie ustaarabu wa kijamii ambao binafsi siuoni ukikidhi kikamilifu vipengele vya utamaduni huo. Isitoshe una kasoro...
  2. M

    SoC03 Kuongeza Uwajibikaji na Uongozi Bora: Mabadiliko ya Hatua kwa Hatua

    Utangulizi: Katika sekta yoyote, uwajibikaji na uongozi bora ni mambo muhimu katika kuhakikisha ufanisi na mafanikio ya shirika. Kuchochea mabadiliko ya uwajibikaji na utawala bora ni jambo la msingi katika kuboresha utendaji na kukua kwa kampuni. Katika andiko hili, tutachunguza hatua...
  3. Tukuza hospitality

    SoC03 Utamaduni wa Kujiuzulu ni Uungwana na Njia Bora ya Uwajibikaji

    Utangulizi Katika mambo magumu katika nchi nyingi zinazoendelea hasa za Bara la Afrika, ni kujiuzulu au kwa maneno mengine, kuachia ngazi kwa viongozi katika nafasi wanazozishikilia pale ambapo mambo yanaharibika katika taasisi wanazoziongoza. Ninapozungumzia juu ya kujiuzuli au kuachia ngazi...
  4. Ramsey255

    SoC03 Michezo na utawala bora

    Mabadiliko katika Nyanja ya Michezo na Kukuza Utawala Bora na Uwajibikaji. Utangulizi: Michezo imekuwa na athari kubwa katika jamii kwa miongo kadhaa sasa, na mabadiliko katika nyanja ya michezo yamekuwa na nguvu kubwa ya kuleta utawala bora na uwajibikaji. Makala hii itazingatia jinsi...
  5. E

    SoC03 Tujenge utamaduni wa kujali vipaji ili tutanue wigo wa maendeleo

    Kipaji ni mtaji pekee ambao kila binadamu huzawadiwa na asili. Kila mtu anauwezo wa kipekee kufanya jambo au kitu Fulani. Na, ili uwezo huo (kipaji/kipawa) uweze kukua na kuendelezwa na kuleta matokeo chanya kwa mhusika na jamii, mazingira yana mchango mkubwa. Kama ilivyo kwa punje ya muhindi...
  6. Mwl.RCT

    SoC03 Utamaduni wetu, Utambulisho wetu: Kuchochea Mageuzi katika Sekta za Utamaduni, Maliasili na Utalii

    UTAMADUNI WETU, UTAMBULISHO WETU: KUCHOCHEA MAGEUZI KATIKA SEKTA ZA UTAMADUNI, MALIASILI NA UTALII Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa wa utamaduni, maliasili na vivutio vya utalii. Sekta hizi zina umuhimu mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii...
  7. L

    Wanafunzi wa taasisi ya Confucius katika chuo kikuu cha Dar es Salaam Tanzania wajifunza utamaduni wa sikukuu ya Duanwu

    Tarehe 21 Juni, wanafunzi wa shule za upili wa Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Tanzania (UDSM) walitembelea chuo kikuu cha wazi cha Jinhua, mkoani Zhejiang, China, ambapo walijifunza utamaduni wa sikukuu ya jadi ya China –Duanwu. Sikukuu ya Duanwu ni moja ya sikukuu nne...
  8. L

    Wanafunzi wa shule za upili Tanzania wajionea mvuto wa utamaduni wa China

    Juni 20, wanafunzi wa shule za upili wa Tanzania walioshiriki kwenye kambi ya majira ya joto ya Taasisi ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) walijionea kwa undani mvuto wa urithi wa utamaduni usioshikika wa China. Shughuli hiyo ya kiutamaduni iliyoandaliwa na Chuo cha Utamaduni wa...
  9. benzemah

    Rais Samia atoa angalizo kwa NGO's, ataka Masharti ya wafadhili yaendane na Maadili, Utamaduni wa Tanzania

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa tahadhari kwa wamiliki wa taasisi zisizo za kiserikali na asasi za kiraia zinazotoa misaada nchini kuhakikisha wanazingatia mila, tamaduni na maadili ya Watanzania. Samia ameyasema hayo leo Jumapili Juni 25, 2023 katika kilele...
  10. K

    Utamaduni wa Rushwa ndiyo tatizo kubwa

    Rushwa na adui wa taifa. Nitoe mifano miwili 1. Undeshaji wa mabasi ya mwendo kasi una rushwa kiasi cha viongozi kuharibu mfumo wa kununua card za ticket. 2. Bandari nayo ufanisi mdogo ni hawa hawa viongozi wetu kupitisha mizigo ya marafiki bure. Hawa waarabu wanakuja na kutumia mifumo ile...
  11. Ojuolegbha

    Wizara za Utamaduni, Elimu na Utumishi zakutana kujadili Maendeleo ya Kiswahili na Michezo

    Makatibu Wakuu wa Wizara za Utamaduni, Sanaa na Michezo, Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia pamoja na Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wamekutana kujadili maendeleo ya lugha ya Kiswahili na michezo Juni 8, 2023 Mtumba Jijini, Dodoma. Lengo la kikao hicho ni...
  12. Mwachiluwi

    Mwanaume alivyo katika maamuzi na maisha yake ki ujumla ni matokeo ya utamaduni

    Hellow africa Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika kuwa wanaume ni wabinafsi,waongo, wanyonyaji, watesaji, wababe, hawataki kusaidia kazi za nyumbani na mengine mengi Ukweli upo hivi Culture imemtengeneza mwanaume kuwa jasiri na mtoa maamuzi ya mwisho katika familia ndio maana ata kama...
  13. Mkurugenzi Wa Mashirika

    Usaili wa Kuandika kwa Nafasi ya Afisa Utamaduni II (Cultural Officer grade II)

    Habari wapendwa, Kuna ndugu yangu ameitwa kwenye usaili nafasi ya Afisa Utamaduni II (Cultural Officer Grade II) anauliza kama kuna yeyote alishawahi kuitwa kwenye usaili wa kuandika kwa nafasi hiyo ni maswali gani yanapendelewa kuulizwa kwenye mtihani wa kuandika?. Natanguliza shukrani huku...
  14. Ojuolegbha

    Mussa Zungu: Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo wametukumbusha mbali sana

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azan Zungu amewapongeza Uongozi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kuweka bidhaa ambazo ndizo wanazifanyia kazi na kusema imewakumbusha mbali sana. Naibu Spika Mhe. Zungu amesema hayo Juni 05, 2023 jijini Dodoma wakati...
  15. Kichuguu

    Kwanini Watanzania tunajenga utamaduni wa kubanana?

    Watanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihada za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine bila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe." Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala...
  16. Idugunde

    TANESCO: Hatuhusiki na kukatika umeme kwa Mkapa. Alaumiwe waziri wa Utamaduni na Michezo

  17. W

    Utamaduni wetu ndio adui yetu

    Nawasalimu ndugu zangu, nimekuwa kama msomaji wa hili jukwaa kwa miaka kumi Sasa, na Leo nikaona Bora niwe mwanachama, namimi walau kwa uchache wa uelewa wangu nitoe mchango wangu. Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema “we become adapted to the lack of use of our basic human resources as a results...
  18. RedPill Prophet

    Sheria za Tanzania kuhusu ndoa zibadilishwe kulingana na mabadiliko ya Utamaduni na jamii

    Sheria za Tanzania kuhusu ndoa kuwa Mwanaume anatakiwa kulea na kuitunza familia peke yake bila pesa za mkewe kutumika inatakiwa ibadilishwe kutokana na mabadiliko ya kijamii kwa sasa maana kipindi kile mwanaume ndo alikuwa sole provider wa familia ila kutokana na mapinduzi ya kijamii ambao...
  19. NetMaster

    Dini si imani, Mimi mkristo nimekubali kuoa ndoa ya kiislamu, ndoa ya kikristo inampa kiburi mwanamke na ni ngumu kusuluhisha matatizo

    Kwa kipindi kirefu nimekuwa nasita kuoa, kwa umri wangu wa miaka 28 nimeona ni wakati sasa niwe na ndoa official, Si mara ya kwanza kufikiria hili jambo, ni tangu nipo 25 nafikiria ila sheria za ndoa za kikristo zilikuwa zikinipa hofu kubwa mno hasa kwa tunayojionea kwa wahanga, Ni lazima...
  20. La Quica

    Tujenge utamaduni wa kupendeza (kujipenda), kutoka out na kula vizuri

    Heri ya Pasaka. Iko hivi, imekuwa kama tamaduni kwetu kuwa siku za sikukuu ndio mtu atavaa vizuri, atakula vizuri na atatoka out. Jana wakati natoka kwenye mishe zangu nikamuita boda wangu anipeleke home nikaangalie chama langu Liverpool likimenyana na Arsenal. Jamaa kafika asee alikuwa...
Back
Top Bottom