Mbona hawakususa mechi zao za azam na biashara kubadilishwa muda?
Waache kudanganya watu, utopolo wamekimbia kipigo cha mbwa mwizi kilichokuwa kinawasubiri leo taifa, na kwa taarifa tu, kipigo kipo pale pale.
Ningeomba tff na bodi ya ligi waiadhibu utopolo kwa kukiuka kanuni, sheria ifate...