Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki.
Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300.
Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili...
Uturuki imesema kuwa, imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi
Uturuki imemkamata dada mkubwa wa kiongozi wa Islamic State (IS) aliyeuawa Abu Bakr al-Baghdadi kaskazini magharibi mwa Syria, maafisa wa Uturuki wanasema.
Vyombo vya habari, Reuters na AP vilimnukuu ofisa mmoja...
Mapambano yazuka nchini Syria kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki
Wanajeshi wa Syria wamekabiliana kwa mara ya kwanza na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki wakisaidiwa na mashambulizi ya makombora kaskazini mashariki mwa Syria. Hayo yameelezwa na kundi...
Serikali ya Tanzania yasema haina ushahidi wa kutosha kuzitia hatiani shule za Feza zinazodaiwa kumilikiwa na raia wa Uturuki anayetuhumiwa kujihusisha na jaribio la kupindua Serikali ya Uturuki.
Serikali ya Uturuki inadai wamiliki wa shule hizo na baadhi ya wafanyabiashara wanafadhili ugaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.