Leo UVCCM hawajuhi mbegu ambazo wanapanda zitakuja kuwagarimu baadae?
Leo UVCCM hawajuhi miaka inayoenda au miaka ya mbele vijana wanaenda badilika?
Je uovu, mateso ya watanzania hawayaoni, siku wakija omba uongozi ikiwemo ubunge, udiwani, je wakiambiwa mlikuwa mnatetea wala rushwa...