Waziri wa Kilimo, Mali Asili, Mifugo na Uvuvi, Mmanga Mjengo Mjawiri amefika kuchukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar.
Mmanga anakuwa mgombea wa 18 kuchukua nafasi hiyo kupitia CCM.
WATAALAMU wa vyombo vya uvuvi nchini wataanza kuajiriwa kitaifa na kimataifa, baada ya Bunge kuridhia mkataba wa kimataifa wa viwango vya mafunzo na utoaji vyeti kwa wafanyakazi wa vyombo vya uvuvi wa mwaka 1995
Mawasiliano, Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, alisema kuridhiwa kwa mkataba...
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, na Wakala wa Vipimo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 4 kama zilivyo ainishwa katika tangazo hili.
MVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II...
Makujumu makubwa ni:
1. Kuanzishwa mabwawa ya samaki kila Wilaya na kuwa na species mbalimbali
2. Kusimamia uzalishaji wa samaki kwa kuzingatia taratibu za kisayansi
3. Kutafutà masoko ya bidhaa za samaki kwa kuzingatia mahitaji yaliyopo
4. Kuandaa takwimu za samaki pamoja na mahitaji ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.