Wananchi wa kila kada wamepiga kelele na kushauri mkuu wa nchi amfute kazi January Makamba maana tangu aingie Wizara ya Nishati kila kitu kimeenda mrama. Bwawa la Nyerere ambalo kama lingekamilika Juni 2022 lingekuwa msaada mkubwa kwa Watanzania na kuleta ahueni ya maisha maana gharama za...
Alijua wazi kabisa huwezi kufanya mambo mawili magumu kwa wakati mmoja, akaona aache cheo kikubwa kabisa cha uwaziri mkuu ili kwenda kutimiza adhima yake ya kujiendeleza kielimu huko nchini Yugolavia ya wakati ule.
Wanzetu hawa utaona leo ni waziri na kesho amedoctorate sasa huwa utafiti...
Wizara ya Katiba na sheria ni msimamizi wa majadiliano ,mikataba na maduala yote yanayohusu sheria. Kabudi alipokuwa Waziri alikuwa mshauri Mkuu wa mambo haya. Kutumbuliwa kwake means ameshindwa kutekeleza Wajibu wake.
Najiuliza, kazi mpya anayoyokwenda kufanya ataifanya bila kuelekezwa au...
Ninapenda kutumia jukwaa hili kumpongeza waziri wa michezo Nape Nauye.
Hizi pongezi ni mahususi kwa Nape kwa sababu ni moja ya viongozi walioweza kusimamia haki na ukweli kwa kulipa gharama kubwa ya kupoteza nafasi yake ya Uwaziri.
Funzo: Viongozi mnaoteuliwa simamieni haki bila kujali kama...
Hotuba yake hii ya kanisani aliingiza siasa ambazo ziliibua mjadala wa ubaguzi kwa kusema "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo Ikulu Dar es Salaam wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19
Amesema "Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda...
Dr. Emmanuel Nchimbi akiwa Waziri wa Mambo ya ndani ndipo iliposhamiri matukio ya kuteswa waandishi wa habari ikiwemo kifo Cha Mwangosi huko Iringa.
Baada ya kuonekana Hana Jambo lolote alilofanikiwa kwenye Wizara hiyo na baada ya kumuunga mkono Lowasa chama kikamkataa.
Akazunguka kidogo Kwa...
Mtu ambae ana mawazo mgando anaweza kuuliza huyu jamaa labda hana akili timamu! Amejua vipi akili za wanaChato?
Kwa ufupi nimekaa Chato kama wiki nzima ili nishuhudie tukio la kuzimwa mwenge maana zilikuwa ni mbio maalumu. Ok zimeisha.
Mimi nikasema sitageuka home(kapuni) nikapita mitaa ya...
Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi
THISDAY CORRESPONDENT
Musoma
THE former Minister for Defence and National Service, Prof. Philemon Sarungi, has denied any personal involvement or criminal wrongdoing in the controversial dealings surrounding the Buhemba gold mine in Mara Region.
Sarungi recently came under sharp criticism...
Watu wanasema, lile genge linaloitwa huko mitandaoni "Suk.... gyeng"
Walijimilikisha hii nchi na yule mwendazake.
Waziri Kalemani atumia kivuli cha ‘maagizo kutoka juu’Jamhuri August 18, 2021 Waziri Kalemani atumia kivuli cha ‘maagizo kutoka juu’2021-08-18T13:17:24+00:00
Na Mwandishi Wetu...
Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?
Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?
Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote...
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Akiwa kama Waziri wa fedha ana majukumu mazito ya kumsaidia Rais kukuza uchumi wetu na kuongeza pato la mwananchi mmoja mmoja. Ni wazi uchumi wetu umedorora na unahitaji juhudi kubwa sana huku mambo mengi yakitukabili, kuna wastaafu, watumishi wanataraji nyongeza mishahara, miradi mikubwa...
JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuunda baraza jipya.
Mbatia amesema, hatua hiyo itamsaidia Rais Samia kuunda Serikali yake.
=====
JAMES...
Komredi Polepole amesema kamati kuu ya CCM imeelekeza mkutano mkuu wa chama uitishwe haraka kujaza nafasi ya mwenyekiti iliyoachwa wazi baada ya John Magufuli kufariki.
Hivyo basi mkutano mkuu utaitishwa wakati wowote kuanzia leo.
Maendeleo hayana vyama
Dkt. Emmanuel John Nchimbi (24 December, 1971) alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani Desemba 2013, ni sababu zipi zilipelekea kujiuzuru?
Dkt Nchimbi ni nani hasa?
Elimu yake ya Msingi aliianzia jijini Dar es Salaam katika Shule ya Msingi Oysterbay kati ya mwaka 1980 – 1986
Dkt. Nchimbi...
Waziri ni cheo kikubwa sana, si cheo cha kufafanua hoja mitandaoni ni cheo cha kushughulika na changamoto za Wizara na kuzitatua.
Mwigulu ameshindwa kuzuia hisia zake, ameshindwa kujua yeye siyo mwenezi wa chama na jamii anayoiongoza haipaswi kushuhudia akitukanwa mitandaoni.
Hii Hali...
Nachukua muda mwingi kuangalia maisha ya ndugu zetu wanapopewa vyeo na wanapovuliwa madaraka. Kigwangala alikuwa moto sana na harakati nyingi akiwa Waziri, Leo ameondolewa nilitegemea aendelee japo kupost positive things watu waige watekeleze lakini amejikita kwenye push up.
Hii maana yake...
Wana Jf kwa jinsi tulivyo katika kipindi kigumu ambacho kimezua hofu kwa kila mtu ni wazi kuwa Waziri wa afya na naibu wake hawastahili kuwepo kwenye hii nafasi mpaka sasa.
Mwaka jana bila kupepesa macho Dk Faustine Ndugulile alieleza ukweli umma wa Watanzania kuwa kujifukisha hakuwezi kuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.