Je hii ilikuwa Tamthilia, hekaya ama uhalisia?
Je inaweza kuwa vyote vitatu?
Mazingira yalikuwa kijijini.. Na Ngoswe alienda huko kama afisa wa serikali kuhesabu wanakijiji kwenye zoezi la Idadi ya watu maarufu kama sensa, miaka hiyo ya sabini na ushee...
Ngoswe akazama penzini na mmojawapo wa...