uzinduzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pascal Mayalla

    Live on TBC: Revo wa TIC Azungumzia Uzinduzi wa Kituo cha Pamoja, TeIW Utakaofanywa na Waziri Mkuu Majaliwa 25 Sept. Mlimani City

    Watch TBC live ! https://www.youtube.com/live/WG68iDTH28I?si=g2NmH5hKoui5ZSRX Anayezungumza ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Wawekezaji wa TIC, Bw. Revocatus Arbogast Rasheli. Kwa vile sio wote wenye access na TBC saa hizi, nitawaletea kwa uchache yale ya muhimu aliyozungumza. Mkurugenzi...
  2. Roving Journalist

    Naibu Waziri, Sagini ashiriki katika uzinduzi wa Shule ya Sekondary Kirumi, awazungumzia viongozi waliokwamisha mradi

    Wanafunzi Kijiji cha Kirumi Kata ya Bukabwa katika Wilaya ya Butiama Mkoani Mara wamepunguziwa mwendo baada ukamilishaji wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kirumi iliyoanza kujengwa tangu mwaka 2003 kwa nguvu za Wananchi ambayo ilikuwa hitaji kubwa la muda mrefu kwa Wananchi. Hafla hiyo fupi ya...
  3. R

    Mbarali wamegoma kumsupport Mizengo Pinda uzinduzi wa kampeni za Ubunge

    Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa: Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili...
  4. BARD AI

    RC Chalamila asitisha uzinduzi wa Soko la Zakhiem baada ya kushtukia upigaji kodi za Vizimba

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, amesitisha uzinduzi wa Soko la Mbagala Zakhem baada ya kubaini uwapo wa madalali waliochukua fedha za watu kwaajili ya kuwauzia vizimba. Kufuatia taarifa hizo, Chalamila ametoa wiki moja na kumuagiza Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kwa kushirikiana na...
  5. Roving Journalist

    Rais Samia: Katika laini za simu Milioni 61 zilizopo nchini, ni milioni 33 pekee ndizo hutumia Internet

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mkongo wa Mawasiliano wa Baharini (Submarine Cable) wa 2 Afrika na Teknolojia ya Mawasiliano ya Kasi ya 5G ya Airtel tarehe 10 Agosti, 2023 Mbezi Beach Tanki Bovu - Kituo cha 5G ya Airtel...
  6. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Bwawa la Maji la Muko (Bilioni 1.9) Kijiji cha Mengo Kata ya Ndalambo Jimbo la Momba

    Waziri wa Maji Jumaa Aweso tarehe 01 Agosti, 2023 amezindua mradi wa Maji wa Bwawa la Muko wenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.9 lililopo katika Kijiji cha Mengo Kata ya Ndalambo ndani ya Jimbo la Momba. Bwawa la Maji la Muko lina uwezo wa kuchukua Maji Lita Milioni 166,386,474 na kuhudumia...
  7. Gulio Tanzania

    Sijapendezwa na uzinduzi wa jezi za Simba kuwekwa majina ya viongozi

    Ni jambo la kushangaza kwa kile kilichofanyika na club ya simba kuchanganya mpira na siasa Nilipendezwa na wazo la club ya simba kutambulisha jezi yao kwenye mlima mkubwa zaidi Afrika hivyo kufanya kuwa kivutio kikubwa kinachotambulika dunia nzima niliona ni jambo jema Leo mida ya asubuhi...
  8. J

    Jezi zozote hutengenezwa kulingana na uwezo wa walaji(wanunuzi)

    Mashabaki wengi huwa wanapenda kulalamika kuwa jezi sio bora ila leo napenda kuwapa neno kidogo. Jezi zozote hutengenezwa kulingana na uwezo wa walaji(wanunuzi) ni kama simu tu jinsi tunavyoona zinavyouzwa kwa bei tofauti n hapo kinachotofautiza bei ni quality. Huwez kupata high quality jersey...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Updates: Uzinduzi wa Kishujaa wa jezi ya Mnyama Simba Sc

    Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari. Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo. Jioni ya leo Simba kuandika Historia Tanzania na Duniani. Tutaendelea kuwaletea matukio zaidi kuelekea...
  10. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Mradi wa Umeme Jimbo la Peramiho

    UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI JIMBO LA PERAMIHO Mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. JENISTA J. MHAGAMA ameendelea na Ziara Katika Kata ya Parangu Kijiji Cha Litowa. Mhe. Jenista Mhagama Katika Ziara Jimboni Peramiho...
  11. J

    JK ampongeza Rais Samia maandalizi uzinduzi programu ya uwekezaji sekta ya maji Tanzania 2024-2030

    JK AMPONGEZA RAIS SAMIA MAANDALIZI UZINDUZI PROGRAMU YA UWEKEZAJI SEKTA YA MAJI TANZANIA 2024-2030 Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Global Water Partnership Southern Africa (GWPSA) na Mwenyekiti...
  12. Mwande na Mndewa

    Hayati Rais John Pombe Magufuli akumbukwa kwenye uzinduzi wa Ikulu Mpya Dodoma.

    HAYATI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AKUMBUKWA KWENYE UZINDUZI WA IKULU MPYA DODOMA. Leo 10:15hrs 21/05/2023 Hayati Rais John Pombe Magufuli alituonyesha na kutufundisha ya kwamba,kuwa Rais na kufanya vizuri haihitaji uwepo madarakani miaka kumi! kazi uliyotumwa kuifanya kwa miaka 10...
  13. F

    Mbowe hujahudhuria uzinduzi wa ikulu mpya, who knows siku moja waweza kuishi Chamwino

    Uzinduzi wa ikulu mpya Chamwino umefanyika leo ambapo viongozi mbalimbali wamehudhuria. Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Freeman Mbowe hakuhudhuria. Wakati uzinduzi unaendelea Mbowe na viongozi wengine wa Chadema wameendelea na operation +255 huko Kasulu mkoani Kigoma. Hongera...
  14. The Burning Spear

    Hayati Magufuli alivyowacheka wazungumzaji uzinduzi wa ikulu Chamwino

    Naona mmejitahidi Sana kukwepesha kwepesha UKWERI...... Naomba niwaambie watanzania Wengi hawaoni hayo majengo au Ile halaiki kichwani mwao wakisikia uzinduzi wa ikulu Dodoma....... Hii ndo picha inayokuja kichwani mwao siyo hayo majebgo meupe. Meupe...... Jingine Mmefanya vizuri kutomtaja...
  15. Sifael Mpollo

    Rais Samia azindua rasmi Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma

    Leo tarehe 20 Mei 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan ataongoza uzinduzi rasmi wa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma ambapo Rais wa JMT na watumishi wengine watahamia katika Ikulu hiyo. Sherehe hiyo ya kihistoria inatarajiwa kuhudhuriwa na takribani watu 2,500...
  16. Upepo wa Pesa

    Mbona sijawahi kusikia Rais akizindua teknolojia mpya Tanzania?

    Leo nilikua naangalia Rais wa Uturuki akizindua ndege mpya ya vita yenye teknolojia ya kisasa! Nikajiuliza.. Mbona huku kwetu tunasikia rais anazindua jengo mara kituo cha afya mara mradi wa maji mbona sijawahi sikia rais anazindua teknolojia mpya? Au sisi hatuna watafiti/wanasayansi? Je...
  17. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign

    UZINDUZI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN DODOMA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameizundua rasmi kampeni ya msaada wa kisheria inayoitwa Mama Samia Legal Aid Campaign kwa mkoa wa Dodoma Alhamisi (Aprili 27, 2023) huku akiwataka watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama...
  18. Zulu Man Tz

    Uzinduzi wa Mchakato wa Maandilizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

    Utangulizi. Dira ya 1 ya Maendeleo ya Taifa ni ya Mchakato wa mwaka 1969 ambayo ilitoa tathmini ya Maendeleo kuanzia Mwaka 2000-2025. Takribani miaka 22 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilikuwa ikitekekeza dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025. Tume ya uratibu, uhariri, uandishi...
  19. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Jukwaa la Uwekezaji Wanawake Kiuchumi Kata ya Makongo

    UZINDUZI WA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KATA YA MAKONGO Mbunge Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dar Es Salaam na Mwanzilishi wa taasisi ya Tisha Mama Foundation, Mhe. Mhe. Janeth Elias Mahawanga amekuwa mgeni rasmi katika kuzindua rasmi Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Kata ya...
  20. Stephano Mgendanyi

    Ghati Zephania Chomete ashiriki uzinduzi wa daraja la mto Mori & Wamaya

    Mbunge wa Viti Maalum kutokea Mkoa wa Mara Ghati Zephania Chomete tarehe 01 Machi 2023 ameshiriki Mkutano wa Uzinduzi wa Daraja la Mto Mori & Wamaya Katika Kata ya Kirogo Wilayani Rorya Mkoani Mara. Madaraja hayo yamegharimu zaidi ya Shilingi za kitanzania Bilioni 1.5. Ikumbukwe kuwa katika...
Back
Top Bottom