Habari wakuu,
Natumaini mko poa. Nina ndugu yangu wa karibu, ni mtoto wa baba yangu mkubwa ambae anatafuta kazi ya udereva wa malori au gari za kawaida. Ana Leseni class C1,C2 na C3.
Ana uzoefu wa zaidi ya miaka 10 wa kuendesha malori na magari ga kawaida, alikua kwenye kampuni moja ya...
Dr. Faustine Ndugulile naamini amepwaya pale mawasiliano, kasi ya mabadiliko ya teknologia ukilinganisha na uwezo wake kiubunifu kwenye ili eneo amepwaya kabisa.
Waziri wa michezo Bashungwa wizara yake imemkalia vibaya. Hana hoja au maelekezo mapya yakimkakati kwenye sekta ya michezo. Ukiona...
Inajulikana kuwa katiba mpya inahitajika na wengi.
Wapongezwe Chadema kwa kuchukua jukumu la kuanzisha na kuratibu msukumo wa kurejelewa kwa mchakato huu muhimu wa kupatikana kwake.
Hatua hii isiyokuwa na chembe ya ubinafsi iliyojaa dalili zote za hatari, ni ya kupongezwa sana na kila mpenda...
Habari wanajamii?
Mimi ni S jinsia Ke, umri miaka 28, elimu yangu ni shahada ya Uuguzi bado sijapata leseni ila nategemea kuipata mwezi wa 7 mwaka huu,
Naomba kazi yoyote kwa sasa inayoweza kuniingizia kipato muda huo nikisubiria leseni na ajira, Nina uzoefu huu;
1) Naweza kukutafutia...
Habari wanajamvi?
Mimi ni jinsia Ke, umri miaka 28, Elimu shahada, sekta ya afya, fani ya Uuguzi, bado sijapata leseni hivyo imekuwa ngumu kwangu kupata nafasi kwenye hospitali kwa kujishkisha muda huo nikiwa nasubiria kupata leseni yangu ambayo uwezekano wa kuipata ni mwezi wa 7 mwaka huu.
Kwa...
Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Yapata miaka 2 kwenda mi3 sasa, nimekuwa na uhusiano wa kimapenz na Tomboy (Binti Massawe), ni binti mzuri sana yuko smart pia.
Huyu binti ni mshikaji sana na yuko real kwenye mapenzi, najivunia sababu mimi ndiye mpenzi wake wa kwanza na...
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini, uadilifu ili kutengeneza uzalendo.
Kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara...
Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 29,nna mke na mtoto mmoja, elimu yangu ni kidato cha nne naishi Dar.
Nimejitokeza hapa kuomba kazi utakayo ona naweza kufanya kwako kulingana na uzoefu nilio nao.
1. USAFI WA KAWAIDA AINA ZOTE
Naweza kufanya usafi wa kawaida nyumbani...
Moja kwa moja, naombeni mnisaidie ninataka kuhama hapa nilipo kwenda Bariadi na nataka nikifika kule nifanye biashara ya juice, bisi na matunda kwa delivery.
Je, aina hii ya biashara ninayofikiria kwa maeneo yale nimewaza sawasawa? Kama sio nipe mbadala, mtaji wangu ni 1M?
Habari za Jumapili wadau? Naomba tupeane uzoefu wote humu, men & women, siku ya kwanza unaanza kutumia mpira kufanya mapenzi ilikuwaje, ulipata changamoto zozote ?! Zipi? Ulifanyaje/ mlifanyaje kuzitatua na mwenzako mkiwa eneo la tukio. Naanza kusimulia kwa upande wangu, mimi nilikuwa kidato cha...
Wakuu habari za kazi, Naomba msaada wenu wa kupata kazi ya udereva, mtu yeyote mwenye conection anisaidie, nilisomea veta leseni yangu ina madalaja A B D E, pia nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama cv yangu inovyo onesha, naendesha magari madogo, na truck.
Call/WhatsApp, 0766428475...
Mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu, naomba anitajiechangamoto zake. Nataka kununua miongoni mwa gari hizo. Najua humu wapo wazoefu na ambao wamewahitumia miongoni mwa gari hizo.
Nawasilisha
Habari ya leo wapendwa,
Mimi ni mjasiriamali najihusisha na usafi wa aina mbalimbali nimejikita zaidi katika uchafu sugu.
Mfano:
1.Masink yote yaliyo kuwa na uchafu sugu Kama unjano ama kufubaa nang'arisha na kurudisha kuwa jipya kabisa.
2.Tiles za ukutani ama za chini zilizo na...
Baada ya Amos Makalla aliyekuwa Katibu wa uchumi na fedha wa CCM Taifa kuteuliwa kuwa RC na kuletwa Mbeya kujifunza uongozi na baadaye kushindwa na kutimuliwa , akaletwa kada mwingine aliyeitwa Chalamila , huyu alitolewa kwenye ukatibu wa ccm Iringa , huku akiwa hajui lolote kuhusu uongozi zaidi...
Mimi ni mwalimu wa secondary najishughulisha na shughuli ndogo ndogo huku natafuta kazi. Katika mojawapo ya shule ninazoomba naambiwa kama kujitolea nafasi ipo. Sijawahi kujitolea tokea nimemaliza chuo(3years ago).
Naomba kufahamu kutoka kwenu wadau, kuna uwezekano wa kupata kazi husika kama...
Mafundi ujenzi, plumbers, carpenters wenye uzoefu wanahitajika.
Wawe wenye kuijua kazi zao na kuweza kusimamia wengine wasio na uzoefu. Wakiweza kufundisha itakuwa ni plus.
Location yetu ni Misugusugu, Kibaha, Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Kazi zinaweza kuwa za kusafiri na kuhamahama.
Kwa maelezo...
Kutokana na vijana wengi kupitia changamoto mara baada ya kumaliza masomo. Nimeona niandike uzi huu ili kutoa nafasi ya kubadilishana uzoefu na taarifa mbalimbali kuhusu changamoto ya ajira na kujiajiri.
Ningependa kupata maoni mbalimbali ya wadau kwa maana wanafunzi, watafuta ajira, waajiri...
Habari wakuu.
Naomba kufahamu zaidi juu ya hili jiko la kupikia. Nipo Mwanza naweza kulipata wapi? Kampuni gani nzuri? Wenye uzoefu wa kulitumia vipi lipo vzuri? Nini hasara zake? Bei yake ipoje (One plate and two plates?)
Asanteni.
Haya ndugu na marafiki, nakuja kwenu ili nipate uzoefu wa Honda CR-V uzuri wake na changamoto zilizonazo, mambo yakienda sawa nataka kumiliki gari hii.
Nawakilisha kwa maoni zaidi.
Honda CV-V
Unapoongoza watu ambao wanakuzidi elimu kuna changamoto yake, unakuwa hujiamini, unakuwa mwoga na hatimaye kushindwa kufanya maamzi sahihi.
Ifike mahala wafanyakazi waliojiendeleza kielimu wapewe ukuu wa idara.
Mfano:
1- Walimu Wakuu wa shule za musingi wawe na elimu ya degree, wenye degree...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.