veta

Veta (transl. Hunt) is a 1986 Indian Telugu-language period action film starring Chiranjeevi, Jaya Prada and Sumalatha in the lead roles. The film was made by Samyuktha Movies, whose earlier blockbuster was Khaidi. The movie is based on Alexandre Dumas' 1844 novel The Count of Monte Cristo. The successful team of director A. Kodandarami Reddy, composer K. Chakravarthy and writers Paruchuri brothers was repeated in this movie as well. The movie was dubbed into Hindi as Farrar Qaidi.

View More On Wikipedia.org
  1. buffalo44

    Naomba Msaada wa Mawasiliano ya DIT-ICT, VETA TEHAMA

    Hello wakuu Nina program ya mafunzo ya kutengeneza vitu mbalimbali vya umeme (Repair and Maintenance) Simu, Kompyuta kwa vijana waliokosa njia mbadala ya kujipatia kipato. Ninaomba kama kichwa cha habari kinavyojieleza msaada wa mtu yoyote mwenye mawasiliano ya wahusika wa Kitengo cha TEHAMA...
  2. morechil

    Naomba ushauri wa Kozi hizi za Veta

    Naomba ushauri vip kuhusu hizi course veta ipi soko lake liko vizuri 1. Electrical installation 2. Auto Electrical 3. Motor vehicle mechanic
  3. Hot27

    Msaada: Kozi gani (ya muda mfupi) nzuri kwenda kujifunza VETA?

    Habari za wakati huu ndugu, jamaa na marafiki humu ndani ya JF. Mimi ni kijana (22) Nimetoka chuo mwaka huu ila nina nia ya kwenda VETA kuchukua fani yoyote ambayo inaweza kunisaidia. Kwa mafikirio yangu nilihitaji kwenda kusomea udereva wa magari madogo. Naombeni ushauri juu ya kozi...
  4. chiembe

    Ushauri: Katika strategy ya kiuchumi na kielimu, Tanzania itoe Scholarships za kwenda china, hasa kwa waalimu wa VETA, na vyuo vya kati

    Sio siri, wenzetu hawa set up ya elimu yao imejibu tatizo la ajira. Ni kawaida kuwasikia wafanyabiashara wa Tanzania wanaoenda China wanakwambia kwamba nenda na sampo tu, mengine mchina anamaliza. Hawa elimu yao Institute mahitaji ya jamii. Nashauri waalimu na wanafunzi wa elimu ya kati...
  5. K

    Don Bosco Dodoma na Abc College Arusha vs VETA, which is the best to study?

    Wadau,, nimeambia kunavyo vya ufundi Donbosco Dodoma na chuo cha Abc Arusha.Nwuliza je kunawatu wamesoma hivi vyuo? Na je elimu yao ikoje ukilinganisha na kusoma VETA. Asante
  6. Roving Journalist

    Ujenzi Chuo cha Veta Rukwa wafikia 90% ukiwa umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 6

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi Chuo cha VETA cha Mkoa wa Rukwa kilichopo katika Kijiji cha Kashai, Kata ya Momoka, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Julai 16, 2024, ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Rukwa. Rais amesema kwa sasa mkoa...
  7. Kyambamasimbi

    Vijana mliofaulu Form six nashauri nendeni VETA kuliko kwenda vyuo vikuu kupoteza muda na gharama zisizo za lazima

    Habr wanjf. Kwa upendo kabisa naomba kuwashauri wazazi wenzangu, ni vyema kuwa na maono ya mbali kuhusa safari ya maisha ya vijana wetu,kama kijana amefaulu form six au form four ni vyema aende VETA akapate ujuzi utakaomfanya Aishi kuliko kutafuta Sifa kwamba Nina Degree isiyo na faida, Huku...
  8. P

    Barabara ya makutano ya VETA na Chang'ombe hakuna mataa na taa za barabarani hazifanyi kazi, ni hatari kwa wananchi

    Wakuu kwema? Majuzi nilipita njia hii nikienda kuswampa Saba Saba, wakati wa kurudi ndio nikaona changamoto hii, barabara eneo hili zimekaa vibaya sana, kama siyo mwenyeji ni rahisi sana kusababisha ajali. Hakuna mataa ya kuongozea magari, hivyo magari yanaenda hovyo kila mtu akiwa na lengo la...
  9. ismaili sogora

    SoC04 Serikali iwaangalie wahitimu wa vyuo vya ufundi stadi VETA kwa kuwapatia nyenzo za kuwawezesha vijana kuendeleza fani zao

    Kutokana na ukosefu wa ajira katika nchi yetu ,Elimu ya ufundi stadi imekuwa mkombozi wa vijana wengi sana ndani ya nchi yetu kwani wamejengewa uwezo wa kazi mikononi mwao lakini uwezeshwaji wa vijana kimitaji ili waendeleze shughuli zao za kiufundi kwa kufungua karakana zao binafsi na kufanya...
  10. M

    SoC04 Kujenga vyuo vya VETA na kutumia wataalamu wetu wazawa

    Tanzania ya miaka 15 ijayo inapaswa kuwa nchi yenye mfumo imara wa vyuo vya ufundi stadi (VETA) ambao unatoa mafunzo yanayokidhi mahitaji ya soko la ajira. Kuimarisha vyuo vya VETA ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu, kwani itasaidia kutoa wataalamu wenye ujuzi na maarifa yanayohitajika...
  11. chamng'asi

    Asome Fani gani VETA Kati ya hizi zifuatazo?

    Salaam! Kijana wangu kahitimu kidato cha nne, Ana division FOUR ya point 26, Nimeazimia kumpeleka VETA asome fani yoyote ambayo kwa sasa ni marketable, Naomba Ushauri wenu kati ya hizi zifuatazo ipi aisome? 1. Truck Mechanics 2. Heavy Duty Mechanics 3. Electronics 4. Machine Tool Maintenance 5...
  12. Mappy Bunga

    SoC04 Serikali ifanye mabadiliko Elimu ya Vyuo vya Ufundi VETA: Electrical Installation, Electronics na Programmable Logic Controler (PLC) kiwe kitu kimoja

    Tunaona kuna wabunifu walishatokea ambao hawakuwa na elimu ya kutosha kuweza kuendeleza vipaji vyao. Hii italeta maendeleo makubwa sana kwa Elimu ya ufundi upande wa Engineering. Endapo kama serikali itafanya mabadiliko kwenye Elimu ya mafunzo ya ufundi wa Electrical Installation, Electronics...
  13. Jamii Opportunities

    Vocational Teacher II– Refrigeration and Air conditioning (Re-Advertised) – 3 post at VETA

    POST VOCATIONAL TEACHER II – REFRIGERATION AND AIR CONDITIONING (RE-ADVERTISED) – 3 POST EMPLOYER Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) APPLICATION TIMELINE: 2024-05-16 2024-05-29 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i) To prepare instructional plans and schemes of training...
  14. Mr mawaya

    SoC04 Jinsi kunufaika na mavuno ya VETA kwa Serikali

    UTAGULIZI VETA ni moja ya taasisi zinazo milikiwa na serikali ya jamuhuri ya muungano ya Tanzania,veta ni tasisi ambayo unazarisha watoa huduma na mafundi wa fani mbalimbali. Mafundi wa veta wamafundishwa vizuri kulingana na maitaji yetu. Pia veta unazarisha mafuti wenye uwezo wa kufanya kazi...
  15. Ghettominds

    SoC04 Leo, 1967 na Kesho

    Ninaandika story hii nikiwa ghetto, hivyo hii ni story ya Ghettominds. Hivi karibu kumekuwa na ongezeko la lawama kwa serikali na vijana wa nchi hii. Imekuwa ni kama mpira wa mchezo wa tennis kwani hakuna anaetaka kukaa na kitenesi hivyo basi kuishia kutupiana tuu kitenesi. Kitenesi nacho...
  16. Umkonto umsizwe

    Chuo Gani tofauti na veta chang'ombe wanatoa course ya generator service and repair

    Habari members Naomba kufahamu kama kuna chuo chochote tofauti na veta chang'ombe ambacho wanatoa course ya generator service and repair na vigezo vyao Asante 🙏
  17. Lady Whistledown

    CPA Anthony Mzee Kasore Ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu VETA

  18. Jaji Mfawidhi

    CCM [Kilimanjaro] yavuna watoto wa VETA zaidi ya 100 kuwaahidi ajira!

    Leo 9-3-2024 Uongozi wa SENETI VYUO NA VYUO VIKUU (M) KILIMANJARO, Umezindua Tawi jipya La Idara ya Vyuo Chuo Cha VETA. Katika Uzinduzi Huo wa Tawi la Chuo Cha NVTC kwa sasa kinaitwa VETA kilichopo Moshi Mjini, Zaidi ya Wanachama Wapya 120+ Walisajiliwa Kwenye Mfumo wa Kielektroniki na Kupewa...
  19. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi VETA, Machi 2024

    PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT REF.NO. CAC. 79/126/01/489 2nd March, 2024 VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of the Vocational Education and Training Authority (VETA), Public Service Recruitment Secretariat...
  20. L

    VETA wamemtakia Heri ya Kuzaliwa Rais mpaka leo hii tangazo lipo kwenye web yao

    Hivi ni sahihi kuendelea kuwa na Tangazo hilo mpaka leo? Mie ninafikiri Tangazo la hivi sio baya kutolewa just at the same Day kwenye Media na kisha siku zinazofuata basi lisiwepo! Haid nimejisikia vibaya pengine Taasisi yangu nimekosea kutoliweka kwa web Tangazo hilo! Twampenda Rais wetu...
Back
Top Bottom