vifaa

  1. Zilipa

    Vifaa vinauzwa vya keki

    Vyote 300000 Mawasiliano 0782524405
  2. hp4510

    Nahitaji kufahamishwa maduka ya vifaa vya ujenzi Kariakoo

    Mwenye kujua maduka ya Vifaa Vya Ujenzi ambayo bei zake ni rafiki Sana Kariakoo anipe direction
  3. Erythrocyte

    Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima

    Huu ndio uongozi , Tukisubiri vya ALIBABA tutakwama
  4. M

    Vifaa vya Kamera Go Pro Vinauzwa

    p
  5. M

    Njia pekee ya kuzuia CORONA Tanzania Ni kuzuia watu kuingia na kutoka nchini

    Ethiopia waligoma kuzuia safari China, Kuna cases 104 mwafrica 1 amekufa, Congo pia. Marekani wameshazuia, sisi haya mambo ya urafiki tuacheni, naiomba serikali nipo chini ya miguu yake wazuie safari zote, huu ugonjwa Ni mbaya. Corona ikija kutuua au kuua ndugu zetu CCM haitapona, nasema...
  6. Dr. Zaganza

    Vifaa vya ofisini vinauzwa

    Habari wakuu. Vifuatavyo vinauzwa: Laptop mpya lenovo, 320gb, 4 gb ram, 4 hours battery -295,000 Min laptop , ya kuunganisha na umeme direct - 150,000 viti vya plastic 2 pc - 20,000 Printer hp 2130...
  7. Erythrocyte

    Video: Mbunge wa Mbeya Mjini akabidhi vifaa vya kisasa vya michezo kwa timu za soka

    Mh Joseph Mbilinyi leo amekabidhi vifaa vya kisasa vya michezo kwa timu za soka jimboni kwake Kwa awamu ya kwanza timu zilizonufaika ni pamoja na: 1. Airport Rangers (Kata ya Iyela) 2. Stone fire (Maaga) 3. Iganzo fema club (Iganzo) 4. Iwambi FC (Iwambi) 5. Iyunga boys (Iyunga) 6. Itende FC...
  8. T

    Nawezaje kuzuia wafanyakazi kuiba vifaa vya ofisi?

    Wakuu habari za muda huu, Kuna kaofisi nategemea kuanzisha hivi karibuni ambapo nategemea kuajiri vijana nitakaoweza kuwalipa cash kwa mwezi, sasa ninapokwama ni kwamba hiyo ofisi itakuwa na mashine za kazi ambazo hao vijana watakuwa wanatumia kuingia nazo mtaani kufanya mauzo na kisha jioni...
  9. Sky Eclat

    Zote ni ghorofa tofauti yake ni vifaa vya ujenzi

  10. J

    Marekani yaipongeza serikali ya Rais Magufuli, yatoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi kwa JWTZ

    Serikali ya Marekani inayoongozwa na Rais Donald Trump imefurahishwa na utendaji wa serikali ya awamu ya 5 na imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi. Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na magari ya kisasa ya kijeshi. Sherehe ya makabidhiano imefanyika katika viwanja vya kambi ya jeshi...
  11. Roving Journalist

    Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Dk. Akwilapo, afungua programu ya mafunzo ya ICT kwa wakufunzi wa wanafunzi wenye mahitaji maalum

    Katibu mkuu wa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia , dk Leonard Akwilapo leo tarehe 27 January 2020, amefungua programu ya mafunzo ya matumizi ya tehama na vifaa saidizi kwa wakufunzi. Wa vyuo vya ualimu na waalimu wa sekondari wenye mahitaji maalum dar es salaam Wakufunzi hao wapatao 140...
  12. Ngatele

    Mamlaka za afya zichunguze vifaa vya kuua vidudu vya maambukizi (Sterilizers) kwenye saloon za wanaume

    Hapo nyuma nilikuwa na mazoea ya kwenda saloon fulani ambayo nilikuwa nimeizoea kama ilivyo kwa watu wengi. Mara zote nilipokuwa nanyolewa mashine ya kunyolea ilikuwa ikitolewa kwenye sterilizer ambayo huwa wakati wote kitaa cha ON (Chekundu) kinaonesha kuwa ipo ON na kwa hiyo ina maanisha...
  13. K

    Uwezo wa vifaa vya kijeshi vya Mmarekani kutazamwa upya?

    Hivi inawezekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote. Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
  14. Walter karoli joseph

    Ni wapi naweza kupata vifaa vya kutengenezea mvinyo?

    Wana JF family naomba msaada sehemu ambayo naweza kupata vifaa vya kutengezea mvinyo kama vile air lock, champagne yeast, fermentation bucket, wine preservative, siphon tube na yeast nutrient. Please naomba msaada wenu kwa duka lolote lililopo hapa Dar es Salaam.
  15. state agent

    Mashine za NIDA zote wilaya ya Arusha zaibwa

    Mkuu wa Wilaya ya Arusha Jery Muro ameiambia ITV muda mfupi kuwa mashine za kutengeneza vitambulisho vya utaifa wilayani humo zote imeibiwa usiku wa kuamkia leo. Taarifa hiyo imekuja muda mfupi baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kutoa ratiba ya kuandikisha na kusajili vitamburisho...
Back
Top Bottom